Ushauri: Gari ya milioni 60

Ushauri: Gari ya milioni 60

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    35.2 KB · Views: 19
Natumaini gari hili ni nzuri , jaribu kumshauri.

I'm sure gari ya ndoto yangu aisee!
Screenshot_20221212-151314.jpg
 
Achukue
1. Crown, Toyota
Na
2. Volkswagen Golf GTI
Na
3. Succed, Toyota

Hela inayobaki ihudumie hizo gari.
 
Ukikua utanielewa.
Tunakimbilia gari za low fuel consumption kwa ajili ya umaskini lakini ni gari ambazo huwezi kujivunia kuwa una gari ya mazingira yote.
Hizo ni gqri za lami tu.
Nyingi zina injini ndogo sana.
Nimekuambia unajua Kama Hilux Vigo ambazo ndo serikali inazitumia ni low fuel consumption?
 
Wakuu, salama?

Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60.

Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri.

Vile mimi sio mtaalamu wa hayo mambo nikaona niombe ushauri humu kwa niaba yake.

Gari anayotaka ni ya kutembelea.

Shukrani sana.
Toyota
Wakuu, salama?

Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60.

Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri.

Vile mimi sio mtaalamu wa hayo mambo nikaona niombe ushauri humu kwa niaba yake.

Gari anayotaka ni ya kutembelea.

Shukrani sana.
Kama ni gari ya kutembelea kwa Tshs 60Mil namshauri anunue Toyota Harrier 4WD New model, yenye chini 50,000 km ya mwaka kati 2014 na kuendelea; Utanishukuru
 
Toyota

Kama ni gari ya kutembelea kwa Tshs 60Mil namshauri anunue Toyota Harrier 4WD New model, yenye chini 50,000 km ya mwaka kati 2014 na kuendelea; Utanishukuru
Ni gari nzuri? Gharama yake haizidi 60m?
 
Bwana Yesu mtoto wa Mungu mwenye kila kitu mbinguni na dunia aliishi dunia miaka 33 bila gari, Baba yake ana kila kitu, wewe wasiwasi wako ni nini hasa? Si tumeambia hapa duniani tunapita? Wewe kula vizuri hili ndo la muhimu ongea na watu vizuri😊😁
Sawa duniani tunapita ndio,
Lakini hakikisha na hivo vitu vinapitia na kwako ndio hii kauli iwe valid.
Unauliza Mfilisiti unasema nini????
Yes hakikisha vinapitia na kwako.
Yesu hakua fukara maandiko yanatanabaisha hili.
Yesu Kupanda tu farasi kwa kipindi hicho ilikua ni moja ya usafiri wenye Gharama sana.
 
Back
Top Bottom