National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Za chini yake anapata kwa hiyo beiMil 60 haitoshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za chini yake anapata kwa hiyo beiMil 60 haitoshi
Bwana uyo mtu ana Mil 60 ajipush hadi 100 apate RR 2020Za chini yake anapata kwa hiyo bei
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tuko wengi mkuu.Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
izo rangi za rims zake tu, hua napata genye balaaNjoo hapa
Umesema vyema.Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
Nuksi mpelekee Yesu ni fundi acha kabisa🤣Vipi lile lako unaliuza kwa bei gani nije nitoe nuks ndugu yangu🤣🤣🤣🤣
Ishi maisha yako mkuu.Kuna hiyo stage yaani kinachopatikana ni cha siku hiyo hiyo ,😀😀 yaani unakua huna utofauti na mbwa, "ridhiki ya mbwa ipo miguuni mwake"
Tunafeli hapa ndugu .Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"[emoji849]
Kula like nyingi mkuu. Watu wengi hawajui kuhusu FACT hii. Binafsi Yesu keshaniondolea nux hata mimi sasa na drive.Nuksi mpelekee Yesu ni fundi acha kabisa[emoji1787]
Upo sahihi kabisaa, Kujenga tabia ya kutembelea maeneo ya waliofanikiwa huwa akili inatanuka sana na kukupa mzuka wa kuzidi kupambana.Umesema vyema.
Kuna siku nilipita sehemu nikaona vijana waki spend nikasema kumbe inatakiwa niwe napita sana haya maeneo ili kuona ni kiasi gani I am missing out...aisee kuna watu wapo ktk njia ya pesa anyway ni life
Mimi inanifanya nionekane siko serious kabisa hapa duniani😂😂😂Nyuzi kama hizi hua zinanifanya kujitafakari sana "How useless I am"🙄
Ameen 🤝🤝🤝Nuksi mpelekee Yesu ni fundi acha kabisa🤣
Double cab ndio mwake sana!Njoo hapa
Mil 60 anaweza pata V8 zile J100 au J200 version za mwanzo.
achukue harrier new modelView attachment 2436282
Chuma Kama hiki kua automatic,Ni upotevu wa rasimali fedha.Gari zipo nyingi sema ni uchaguzi na mfuko uongezeke kutokana na kodi...
Kwa nini mkuu...Chuma Kama hiki kua automatic,Ni upotevu wa rasimali fedha.