Ushauri: Gari ya milioni 60

Ushauri: Gari ya milioni 60

Nimekuekewa vizuri boss

Nili pendekeza hiyo huenda jamaa yake ana gari ingine ya kazi pia.. Kwenye bandiko kasema jamaa yake anataka "gari nzuri" sio gari ya kazi 😅😅😅 angesema anataka gari ya kazi nisingependekeza hiyo
Ukiona mtu anaomba ushauri ujue sio mtu wa magari.
Pili unaweza kununua gari ya kazi lkn ni nzuri mkuu
 
Njoo hapa
 

Attachments

  • ED04A53B-3840-4000-A4FB-E59BCA787037.png
    ED04A53B-3840-4000-A4FB-E59BCA787037.png
    17.2 KB · Views: 11
Back
Top Bottom