USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

Wakifukuzwa uniiteeeeee.
Achana na tumbo wewe.
 
Anawafukuza nani wakati wana baraka za mbowe?
 
Yaani niache posho ya gari zuri,malazi na mafao 100% uhakika huku wengine wanalilia mafao, si ni upumbavu.Hongera sana Kamanda Mdee.
 
Zitto mbona alikuwa mbunge wa mahakama kwa mda mrefu
 
Kuna uwezekano hata wakifukuzwa uanachama ndugai akawalinda waendelee kihudhuria bungeni, ref yule mbunge alievuliwa ubunge lakini ndugai alimkingia kifua na aliendelea kuhudhuria bunge
Hawa ni wabunge wa Ndugai siyo wa chade
Bora ndugai awalinde hizo ni nafasi za wanawake kwanini wanaume watumie mfumo dume kuwanyanyasa wanawake
Kwanini wasipewe wanna CCM wenzako?
 
Hata Halima Mdee!! Loh, kweli usimwamini mtu kwa 100%.

CHADEMA lazima isimamie inachoKiamini. Bila ya kujali kama CCM itaendelea kuvunja katiba na kuamua kuendelea kuwaweka Bungeni wanachama hawa waliokisaliti chama au vinginenvyo, ni lazima hatua madhubuti zichukuliwe. Wasaliti hawa wote wafukuzwe uanachama mara moja. Wakaongeze nguvu ya UWT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu itakuwa na baraka ya chama,Mnyika anawachota akili tu kuwazuga.

Jinsi Mdee alivyo mtiifu kwa Mbowe, huo ubavu wa kuenda kinyume na mkondo wa maji hana.

Yawezekana Mbeligiji ndo kaingizwa mkenge hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…