Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Where is tindo?Vijana wa Chadema wamepigwa na Barafu hadi Huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where is tindo?Vijana wa Chadema wamepigwa na Barafu hadi Huruma
Bado tu akili haziwarudii tuu? Mdee ni kiongozi mkubwa ndani ya saccos iweje mnyika asijue kinachotokea? Wanawaona nyie nyumbu tuu ndo maana wanaropoka wanavyotaka kwa kujua hamna akili za kufikiria.Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”
Wafukuzwe na Nani? Labda SEMA wajifukuze.Wafukuzwe tu.
Madam unapamabana sana, wenzio wanakuzomea kisogoni.Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”
Anakwambia yeye ni mpinzani siyo mwana CHADEMA... [emoji23][emoji23][emoji23]Where is tindo?
Sure mi nahama na Lissu.Lissu aanzishe chama chake cha siasa
Kwamba wakapige mapambio kule ccm na akina pascal mayalla aka Njaa!!!Watimuliwe kabisa wakajiunge huko na kina Pascal Mayalla
Unasema hujawahi kuwa nani? Mkuu unakoelekea utaongea mambo ya kujidhalilisha bora upumzishe kwanza akili.Bahati mbaya sijawai hata kuwa mwanachama wa Chadema. Nilitokea kuikubali chadema kutokana na itikadi yake pamoja na kuwa na kadi ya ccm
Mimi ni mpenzi wa Chadema, sio mwanachama wa Chadema. Mimi ni mfuasi wa sera za Chadema na sio mwanachama wa Chadema. Mwanachama wa Chadema ni mtu mwenye kadi ya Chadema anayolipia. Mie Sina kadi ya Chadema na wala sijawahi kuwa nayoUnasema hujawahi kuwa nani? Mkuu unakoelekea utaongea mambo ya kujidhalilisha bora upumzishe kwanza akili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bahati mbaya sijawai hata kuwa mwanachama wa Chadema. Nilitokea kuikubali chadema kutokana na itikadi yake pamoja na kuwa na kadi ya ccm
Unayasema hayo coz upo nyuma ya keyboard,ingia field tujueHawa wapumbavu waoga wa maisha watimuliwe wote! Ila Mimi naona tatizo lipo kwa mdee na Bulaya, kwani wangekaa miaka mitano wasingeishi? Gademiti
Chadema wana sera?Mimi ni mpenzi wa Chadema, sio mwanachama wa Chadema. Mimi ni mfuasi wa sera za Chadema na sio mwanachama wa Chadema. Mwanachama wa Chadema ni mtu mwenye kadi ya Chadema anayolipia. Mie Sina kadi ya Chadema na wala sijawai kuwa nayo
Ah kaka wa ICC[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wacha bwana weeBahati mbaya sijawai hata kuwa mwanachama wa Chadema. Nilitokea kuikubali chadema kutokana na itikadi yake pamoja na kuwa na kadi ya ccm