Mechanical Engineer
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 230
- 131
Mambo murua! This is what we call flexibility! Halima is really flexible. Pongezi kwake![emoji848]View attachment 1633816
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo murua! This is what we call flexibility! Halima is really flexible. Pongezi kwake![emoji848]View attachment 1633816
Kujenga nidham na chama kinakufa njaa?Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na lidhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama. Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Hata ingekuwa ni wewe ungeenda tu,NJAA MBAYA....nje ya siasa hawana cha kufanya.
Bora mie mkulima....
Wakati ww umelala na mke wako nyumbani kwakoWasifukuzwe hao viumbe vya kuburudisha wanaume tu...Wanaume nenden mkakomae The Hague
KabisaNimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na lidhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama. Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
😧😧Hata ingekuwa ni ww ungeenda tu,
Umewahi kuwaza chadema itaishi vipi bira ruzuku?
Umewahi kuwaza chadema itawalipa nn wafanyakazi wake?
Au ww kazi yako ni kupiga kelele za tu kugoma bila kuwa na sln
Shukuru tu ungevunjika ungeandama ukavunjwa mbavu na askari halafu ukawa ICU unamuona Mdee anaapa kuwa mbunge si ungekufa kabisaTaarifa ya kina halima kuapa imenivunja moyo Sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua Wabunge wa Viti Maalum
Asema, "Niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua"
Ni kiasi gani watacontribute kuendesha chama. Fikiri tens kablanya kuandikaHata ingekuwa ni ww ungeenda tu,
Umewahi kuwaza chadema itaishi vipi bira ruzuku?
Umewahi kuwaza chadema itawalipa nn wafanyakazi wake?
Au ww kazi yako ni kupiga kelele za tu kugoma bila kuwa na sln
POA banaUpeleke kwa fundi maiko akuunganishie tena huo moyo
Uweke P.O.P Mkuu,Taarifa ya kina halima kuapa imenivunja moyo Sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kufukuzana uanachama haijawahi kuwa solution yenye kuleta tija
Nyie tulieni maisha yaendelee tu na wanasiasa wasiwape stress. Jiulize kwanini mpaka leo Aida hakuwa amefukuzwa?
Jiulize mpaka leo kwanini ACT wamemute kujibu barua kama hawatojoin SUK? Jiulize kwa nini kwenye press conference ya jana alikuwepo Lissu na Zitto tu? Mbowe na Mnyika walikuwa wapi?
Weka Milion mbili par person kwa watu 20 na kukaa bila pesa kabisa which is better?Ni kiasi gani watacontribute kuendesha chama. Fikiri tens kablanya kuandika