minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium?Lissu ni mkimbizi wa hiyari huko Ubelgiji. Hawezi kushiriki siasa za Tanzania, ndio masharti ya ukimbizi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium?Lissu ni mkimbizi wa hiyari huko Ubelgiji. Hawezi kushiriki siasa za Tanzania, ndio masharti ya ukimbizi wake.
Kesho CHADEMA wasipowafukuza akina Mdee watambue kuwa CHADEMA inafariki ghafla kama CUF ya Lipumba na kitakuwa chama cha hovyo kupata kutokea Duniani kote hata TLP NCCR na CUF ya Lipumba vitakuwa juu yaoWengi hawafahamu kwamba kwasasa "DEREVA" gari limeshamshinda, linayumba yumba barabarani tu (Things Are Out Of His Hands And Out Of Control).
Na kawaida gari linapomshinda dereva basi kila atakachotaka kufanya ili kulikweka sawa na kila anavyopapatua, ndio anapo haribu zaidi na kulitoa nje ya barabara.
Sasa hivi kila mtu anajifanya mjuzi kuliko dereva, na ndio wanazidi kumchanganya na kumptoteza kabisa dereva. Huyu kawasha end-cator, yule kapiga honi, huyu kakunja sight-mirror zote (Waziri Wa Mambo Ya Nje alichokonoa mambo vibaya. AG na SPEAKER leo ndio "WAMECHOMOA BETRI" kabisa).
Kwa tulipofikia, gari linasubiri sababu tu lianguke na kuua abiria. Hakuna hatua yoyote ya kuliokoa gari wala kumsaidia dereva. Zaidi ya kumwomba mungu idadi ya wafu na majeruhi iwe ndogo.
● Kwa wenye akili na maarifa (hata wana CCM wenyewe) ndio maana wamekaa kimya na kujiweka pembeni. Wanatazama tu. Wanajua impact itakayotusibu kama taifa.
● Cha kujiuliza,
1) Kwanini siku ya leo "SERIKALI IMEONESHA INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???
2) Na kwanini bunge (Speaker) ameonesha "INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???
■ Nchi ina mihimili mitatu. Mihimili miwili tayari (Serikali na Bunge) vimeshakuwa "BIASED". Umebakia mhimili mmoja tu "MAHAKAMA".
■■■ Kwanini nasema "KWA TULIPOFIKIA, GARI LINATAFUTA SABABU TU YA KUANGUKA NA KUUA ABIRIA"???
Principle kuu ya utawala,
"Binaadamu ana mahitaji makuu, ambayo ni "Chakula, Matibabu na kuijua kesho yake". Binaadamu hawatawaliwi kwa nguvu bila hayo matatu na utawala ukafanikiwa.
Nature ya binaadamu, akiwa ameshiba basi anakua binaadamu na anatawalika kirahisi, ila akiwa na "NJAA" anakua mnyama na muogope kama Covid-19 au HIV AIDS!!!
JIBU.
Sisi kama taifa, asilimia 98% ya raia wanalalamika hali ni ngumu kupita kiasi (Hawana pesa kukidhi "Kupata chakula, matibabu na hawaijui kesho yao). Serikali nayo haina pesa kujiendesha yenyewe kupelekea kuongeza kodi kwa raia wasio na kipato.
Raia wangekua na pesa ya kukidhi mahitaji yao. Basi dereva angefanikiwa kuliweka gari sawa.
Hili ni "TIME BOMB (BOMU)" linalosubiri muda tu ufike liripuke.
USHAURI KWA CHADEMA.
Wakikaidi "VITISHO VYA A.G NA SPEAKER" na wakafanya maamuzi ya kuwafukuza "UWANACHAMA" hao 19 waliosaliti, kisha wakaongeza "PRESSURE ZAIDI". Dereva watamchanganya zaidi na kupindua gari ndani ya muda mfupi sana.
Wakiamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite (Wasipo wafukuza hao wasaliti 19 uwanachama) basi gari litapunguza kasi kidogo, pengine dereva akajitambua na gari litadondoka upande waliokaa wao na kuwaua (Chama kitakufa na kupoteza wanachama kama CUF ya Lipumba).
(Natoka kijiji cha jirani na rafiki yangu kwa miguu hapa, tumetoka kupata kilevi cha kienyeji mubashara, tunaelekea kijijini kwetu mwendo wa masaa 4, tukalale)
CHADEMA ipo ICU na dawa pekee ya kuiokoa juu ya janga la kushuka daraja ni kuwafukuza akina Mdee na watumwa wa kike walionunuliwa na Ndungai kwenda Dodoma Bungeni kwa njia haramu za kishetaniHahaha COVID-19 ni hatari kwa chama, hivyo waondolewe wote.
AiseeeView attachment 1633810
Hapa ni kabla njaa haijapanda kichwani
Kamanda jibu swali acha porojo 😂😂Umewasili kutoka chama mboga mboga?
Sisi na wao tunajua walipokengeuka.
Au utakuwa mmoja wa wanaowashwa washwa hali haliwahusu?
Wafukuzwe kwanza kwenye chama kwa kosa walilotenda ili kulinda nidhamu na heshima na katiba na maamuzi ya chamaMabibi na mabwana ku kikao cha kamati kuu kesho, dalili za kuhujumiana na kutishiana nyau hapa na pale zimeshaonekana.
Mambo ya msingi sana kuzingatiwa kwa kesho:
1. Hapa tulipo ni katika yatokanayo na uchaguzi haramu ambao proceeds zake haziwezi kuwa halali. Si zaidi wala si pungufu ya hapo.
2. Hayupo mtu awaye yote katika CHADEMA ambaye ni indispensable. Ukweli mchungu, makaburi yamejaa watu ambao walikuwa so much indispensable!
3. Maridhiano kama ambavyo CHADEMA imekuwa inaitisha kila uchao na mahasimu wake, ni muhimu pia yakafanywa kwa vitendo ndani ya CHADEMA yenyewe. Kama kina Halima wanatubu na kuomba kusamehewa, chonde chonde ndugu zangu.
4. Jitihada zifanyike kumwezesha Mh. Lissu kushiriki kesho kamati kuu hata kama ni kwa voice link. Ushauri na maono ya Mh. Lissu kwenye hili ni muhimu sana.
Wadau na wakaongezee kwa mustakabala mwema zaidi wa CHADEMA.
Hili ni letu. Si la chama mboga mboga. Wasituingilie tunaposafisha nyumba yetu. Nia na uwezo wa kulikabili hili vilivyo tunao na hatuhitaji msaada wao.
Amandla!
Mungu ibariki CHADEMA.
Wafukuzwe kwanza kwenye chama kwa kosa walilotenda ili kulinda nidhamu na heshima na katiba na maamuzi ya chama
Wakitaka kurejea Chadema waombe upya uanachama.
Hakuna maridhiano na wasaliti anayesaliti huku akijua kuwa anatenda jinai ukimuachia anaweza kutenda baya zaidi huko mbeleni kwa sababu ana bei tena cheap!
Hakuna anayefukuzwa hapo jimama26. Wakifukuzwa nitafute kesho hiyo hiyo nikupe zawadi [emoji2099][emoji2099][emoji2099]CHADEMA kesho msipowafukuza hawa wamama aisee mtakuwa mmetuvua nguo. Hawa wamekitia dosari chama. Wafukuzwe.
Waasi wanatakiwa kufukuzwa full stop
Wengi hawafahamu kwamba kwasasa "DEREVA" gari limeshamshinda, linayumba yumba barabarani tu (Things Are Out Of His Hands And Out Of Control).
Na kawaida gari linapomshinda dereva basi kila atakachotaka kufanya ili kulikweka sawa na kila anavyopapatua, ndio anapo haribu zaidi na kulitoa nje ya barabara.
Sasa hivi kila mtu anajifanya mjuzi kuliko dereva, na ndio wanazidi kumchanganya na kumptoteza kabisa dereva. Huyu kawasha end-cator, yule kapiga honi, huyu kakunja sight-mirror zote (Waziri Wa Mambo Ya Nje alichokonoa mambo vibaya. AG na SPEAKER leo ndio "WAMECHOMOA BETRI" kabisa).
Kwa tulipofikia, gari linasubiri sababu tu lianguke na kuua abiria. Hakuna hatua yoyote ya kuliokoa gari wala kumsaidia dereva. Zaidi ya kumwomba mungu idadi ya wafu na majeruhi iwe ndogo.
● Kwa wenye akili na maarifa (hata wana CCM wenyewe) ndio maana wamekaa kimya na kujiweka pembeni. Wanatazama tu. Wanajua impact itakayotusibu kama taifa.
● Cha kujiuliza,
1) Kwanini siku ya leo "SERIKALI IMEONESHA INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???
2) Na kwanini bunge (Speaker) ameonesha "INTEREST KUPITA KIASI" kuhusiana na hawa wabunge 19.???
■ Nchi ina mihimili mitatu. Mihimili miwili tayari (Serikali na Bunge) vimeshakuwa "BIASED". Umebakia mhimili mmoja tu "MAHAKAMA".
■■■ Kwanini nasema "KWA TULIPOFIKIA, GARI LINATAFUTA SABABU TU YA KUANGUKA NA KUUA ABIRIA"???
Principle kuu ya utawala,
"Binaadamu ana mahitaji makuu, ambayo ni "Chakula, Matibabu na kuijua kesho yake". Binaadamu hawatawaliwi kwa nguvu bila hayo matatu na utawala ukafanikiwa.
Nature ya binaadamu, akiwa ameshiba basi anakua binaadamu na anatawalika kirahisi, ila akiwa na "NJAA" anakua mnyama na muogope kama Covid-19 au HIV AIDS!!!
JIBU.
Sisi kama taifa, asilimia 98% ya raia wanalalamika hali ni ngumu kupita kiasi (Hawana pesa kukidhi "Kupata chakula, matibabu na hawaijui kesho yao). Serikali nayo haina pesa kujiendesha yenyewe kupelekea kuongeza kodi kwa raia wasio na kipato.
Raia wangekua na pesa ya kukidhi mahitaji yao. Basi dereva angefanikiwa kuliweka gari sawa.
Hili ni "TIME BOMB (BOMU)" linalosubiri muda tu ufike liripuke.
USHAURI KWA CHADEMA.
Wakikaidi "VITISHO VYA A.G NA SPEAKER" na wakafanya maamuzi ya kuwafukuza "UWANACHAMA" hao 19 waliosaliti, kisha wakaongeza "PRESSURE ZAIDI". Dereva watamchanganya zaidi na kupindua gari ndani ya muda mfupi sana.
Wakiamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite (Wasipo wafukuza hao wasaliti 19 uwanachama) basi gari litapunguza kasi kidogo, pengine dereva akajitambua na gari litadondoka upande waliokaa wao na kuwaua (Chama kitakufa na kupoteza wanachama kama CUF ya Lipumba).
(Natoka kijiji cha jirani na rafiki yangu kwa miguu hapa, tumetoka kupata kilevi cha kienyeji mubashara, tunaelekea kijijini kwetu mwendo wa masaa 4, tukalale)
Kamanda jibu swali acha porojo 😂😂
Kesho mtashangaa macho yenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kesho kamati kuu iwe kama huyu, isilete ulegelege, ikileta ulegelege itafungua pandora box la usaliti juu ya usaliti mpaka chama kitabaki kuwa kama UPDP na wananchi watakiona kuwa hakiko serious!
View attachment 1635555
Wafukuzwe woteKesho kamati kuu iwe kama huyu, isilete ulegelege, ikileta ulegelege itafungua pandora box la usaliti juu ya usaliti mpaka chama kitabaki kuwa kama UPDP na wananchi watakiona kuwa hakiko serious!
View attachment 1635555
Hivi kati ya Timu Mbowe na Timu lisu nani ataibuka kidedea kwenye hii sakata?Mbona yameelezwa kwenye mada? Unakwama wapi kamanda? Kwa ufupi mbona angalizo liko wazi kwa kutambua uwepo wako?
"Hili ni letu. Si la chama mboga mboga. Wasituingilie tunaposafisha nyumba yetu. Nia na uwezo wa kulikabili hili vilivyo, tunao na hatuhitaji msaada wao."
Au ulidhani palipo andikwa "ku kikao" palikuwa pamekosewa?
Hivi kati ya Timu Mbowe na Timu lisu nani ataibuka kidedea kwenye hii sakata?
Chadema mapabde mawili rasmi!