Kambulanga
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 261
- 97
Pia umri umesogea hivyo hakuna namna lazima achukuwe kilichopo mezani😀😀😀Mbowe kauza utu bila Aibu kisa ruzuku tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia umri umesogea hivyo hakuna namna lazima achukuwe kilichopo mezani😀😀😀Mbowe kauza utu bila Aibu kisa ruzuku tu
Kwani kuna sehemu nimeandika kuwa chama kitakufa?Mbona chama hakikufa sasa?
Nataka kuamini.Ndani ya chadema hakuna mwenye uwezo wa kumfukuza mdee huyo ni mbowe mdogo
Nataka kuamini.Ndani ya chadema hakuna mwenye uwezo wa kumfukuza mdee huyo ni mbowe mdogo
ccm oyee! kidumu chama cha mapinduzi 😂Bora itoke hiyo 2,100, nilidhani itakaa milele.
Nguvu wanayotumia CCM kipindi cha harakati za kampeni wangezitumia nyakati zote za madaraka yao hakika kila mtanzania angekuwa TAJIRI.
Hata hivyo umetumia kipimo gani ili kujua watu wanaipenda CCM?
#Piga spana huyo 😂 😂 😂 ,vispana vyenu vilikua vya plastikiMbona chama hakikufa sasa?
Poa#Piga spana huyo 😂 😂 😂 ,vispana vyenu vilikua vya plastiki
UnavyowashangiliaKwani kuna sehemu nimeandika kuwa chama kitakufa?
Yaani hii inchi kuna watu wanacheck namba huwezi kuwadhani wapo tu lakini mambo yao makubwaHaina kufeli[emoji95][emoji122]
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyeweNimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.
Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Fukuzeni hao kima manina zaoNimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.
Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.