USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

Wamfukuze na yule malaya wa Sumbawanga

Ha ha ha wakaSKAZ mmepamba moto.

Bosi wa chama bado hajaamua so tulieni.

Note:Umalaya ni mtu na mtuye anaweza kuwa baba yako mama yako wewe hata mumeo pia.

Hivyo tulieni tusikie kauli ya MH. MBOWE.
 
sasa ccm haitoki madarakani mpaka 2100

Mkuu wananchi wakiamua kuiondoa itaondoka hata kwa mawe tu bila bunduki.

Hivyo msijipe matumaini ya kidkitecta ila CCM haitaondolewa na SACCOS ZA KUPIGIA DILI KUPITIA SIASA.
 
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.

Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.

Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.

Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Na. Kama wanabaraka za chama utasemaje..!?
 
Mkuu wananchi wakiamua kuiondoa itaondoka hata kwa mawe tu bila bunduki.

Hivyo msijipe matumaini ya kidkitecta ila CCM haitaondolewa na SACCOS ZA KUPIGIA DILI KUPITIA SIASA.

ccm inapendwa na wananchi bro, pale ccm itakua imetumbukia they are very quick to make changes! ndo maaana hata mkiambiwa muandamane mnabaki wenyewe, kwa kifupi mnachopigania ni uongo na upuuzi tu, kamalizia degree yako cheti cha form 2 hakitakusaidia chochote
 
ccm inapendwa na wananchi bro, pale ccm itakua imetumbukia they are very quick to make changes! ndo maaana hata mkiambiwa muandamane mnabaki wenyewe, kwa kifupi mnachopigania ni uongo na upuuzi tu, kamalizia degree yako cheti cha form 2 hakitakusaidia chochote

Nguvu wanayotumia CCM kipindi cha harakati za kampeni wangezitumia nyakati zote za madaraka yao hakika kila mtanzania angekuwa TAJIRI.

Hata hivyo umetumia kipimo gani ili kujua watu wanaipenda CCM?
 
Ni vigumu kuwafukuza kwani mbowe kala Rushwa tokea CCM kauza chama na dalali wa mchongo kala chake tayari ni pesa ndefu imetumika kufanikisha hilo, pesa iliyotumika ingeweza kujenga viwanda zaidi ya 100 na Hosptal za rufaa kibao lakini ccm kwa hofu ya vikwazo vya kimataifa wameamua kuitumia kuwanunua chadema wapenyeze wabunge ili bunge lionekane ni bunge la ki demokrasia huku kwenye vile viti 10 vya Rais atamteua chadema mwanaume mmoja pia
Weka documents za risiti
 
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.

Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.

Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.

Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Ulifukuzwa kwa kutofata sheria kwako! Wenzako wanatimiza takwa la kikatiba! wewe ni wa BAWACHA?
 
Kumbe bado upo? Mimi nilidhani wewe saa hizi ungekuwa umeshakunywa sumu na kupumzika in peace![emoji28]

Kama aliondoka Slaa na sikunywa sumu, itakuwa hao wamama walioko bado cdm bila misimamo?
 
Uchaguzi umeisha. Tuunganishe nguvu kama taifa bila kujali vyama. Baada ya Mh.Halima Mdee na wenzake kuapishwa, ingependeza kesi zote dhidi ya wanachama wa vyama vya upinzani zifutwe na nchi ianze upya , hata ikionekana inafaa wabunge hawa wapewe nafasi za uongozi serikalini. Haitakuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo baadala ya kufikiria "kufukuzana" katika vyama.
 
Back
Top Bottom