Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeenda mbali kote huko? Sema tu Mbowe, Lema au Sugu..mmojawapo angeshinda tu!! Saivi waala isingejadiliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeenda mbali kote huko? Sema tu Mbowe, Lema au Sugu..mmojawapo angeshinda tu!! Saivi waala isingejadiliwa
Leo unamponda kamanda??.View attachment 1633810
Hapa ni kabla njaa haijapanda kichwani
Chama kinaweza kufa kama ni cha kufa, ila wapinzani tupo imara zaidi.
Wamfukuze na yule malaya wa Sumbawanga
sasa ccm haitoki madarakani mpaka 2100
Na. Kama wanabaraka za chama utasemaje..!?Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.
Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Mkuu wananchi wakiamua kuiondoa itaondoka hata kwa mawe tu bila bunduki.
Hivyo msijipe matumaini ya kidkitecta ila CCM haitaondolewa na SACCOS ZA KUPIGIA DILI KUPITIA SIASA.
FafanuaCDM watakuwa wajinga kufukuzana uanachama
Mwanamke na siasa wapi na wapi!Acha dharu wewe boya
ccm inapendwa na wananchi bro, pale ccm itakua imetumbukia they are very quick to make changes! ndo maaana hata mkiambiwa muandamane mnabaki wenyewe, kwa kifupi mnachopigania ni uongo na upuuzi tu, kamalizia degree yako cheti cha form 2 hakitakusaidia chochote
Weka documents za risitiNi vigumu kuwafukuza kwani mbowe kala Rushwa tokea CCM kauza chama na dalali wa mchongo kala chake tayari ni pesa ndefu imetumika kufanikisha hilo, pesa iliyotumika ingeweza kujenga viwanda zaidi ya 100 na Hosptal za rufaa kibao lakini ccm kwa hofu ya vikwazo vya kimataifa wameamua kuitumia kuwanunua chadema wapenyeze wabunge ili bunge lionekane ni bunge la ki demokrasia huku kwenye vile viti 10 vya Rais atamteua chadema mwanaume mmoja pia
Slaa hakufukuzwa na wala hajawahi kufukuzwa bali alijiondoaKama Slaa alifukuzwa nani atashindikana?
Ulifukuzwa kwa kutofata sheria kwako! Wenzako wanatimiza takwa la kikatiba! wewe ni wa BAWACHA?Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.
Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Mbona chama hakikufa sasa?Slaa hakufukuzwa na wala hajawahi kufukuzwa bali alijiondoa
Kumbe bado upo? Mimi nilidhani wewe saa hizi ungekuwa umeshakunywa sumu na kupumzika in peace![emoji28]
Kwahiyo unataka kukihama chama?
sasa ccm haitoki madarakani mpaka 2100
Mimi nagegendwa na siasa nashiriki vizuri kabisaMwanamke na siasa wapi na wapi!
Kwani umechoka kugegedwa?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app