USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

MMELEWAA KWANN WATANZANIA WALIACHANA NA KUPIGA KURA WALIJUA UJINGA WAO WAKACHOKAA NA HAPO NDIPO TULIOJIANDIKISHA TUKAMALIZA MAPEMAA MAPEMAAAAAA
 
Hii miaka 5 ni migumu sana kwa wanasiasa wote na nchi kwa ujumla.

Kuna hesabu zimekosewa na jibu limeandikwa kwa wino.. ingekua penseli tungefuta tuandike upya.

Serikali ina wasiwasi, wabunge wanawasiwasi, waoinzani wana wasiwasi, wananchi nao wasiwasi.. wote hatujui kesho.

Kuna vitu vingi sana vitakufa.
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.

Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.

Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.

Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
 
🤣🤣🤣🤣

Hallima Mdee ni inner member wa ELITE CIRCLE TEAM ya CHADEMA tena kwa viapo VIKALI kama wale wafuasi wa ENCARTA COSTRA NOSTRA.....

Huyo HAFUKUZWI...
Huyo HAFUKUZIKI....
 
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.

Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.

Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.

Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
 
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.

Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama.

Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.

Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Kama kuna waliopoteza kazi serikalini kwa sababu ya chama basi hao watu hawana akili na wew ukiwemo.
 
NGO IMEWAZAA WEEEEE IDADI YENYEWE MMOJ NA RUZUKUU BDIE HIVYO NGOJA WAENDE TU WATOTO WALE UJI CHEZEAA WEWE...CHAMA CCM TU EENGINE NGOS
 
Chademaaaaaa oyeeeeeeee[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]

Maendeleo hayana chama.....
Naona leo chama cha mapoyyo wa matusi leo nyuzi nyingi mnalialia tu humu[emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu anatetea ugali wake.

Magufuri oyeeeeeee.
Kidumu chama tawala.
Zidumu fikra za Magu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
#wamelegea wenyewe.
 
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja...
Wamfukuze na yule malaya wa Sumbawanga
 
IMEISHAAAAAHIOOOO HAHAHAAAAAAA JANÀ NIMEKUNYWA DOMPO MBILI ZA KUCHEKA TU
NILIPOSIKIA
MM HALIMA MDEE NAAPA NITAKUWA

WATUUU WEWEEEEWEEEEWEEEEEWW
SIRIYENU NA HATA HUYOO KATIBU WAO ALIEKANA HAJYUI MAJINA ALIKUWA DODOMA BAADAYA KIAPO

SIASA MCHEZOMCHAFU KAMA PENALTI YA NAMUNGO
 
Back
Top Bottom