Zikisha mtokea puani ndio aje aombe msaada kwa watu ndio unataka iwe hivyo?Wabongo bhana...kwanin kila mtu asiangalie mishe zake!? Kuzisaka azisake peke ake kwenye kutumia umpangie wew how comes. Mtu mzima anajua anachofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
....kazinguana na Mr puazi ambaye ni meneji wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kuachana na meneja sio tatizo ...ishu ni kuleta visa vya makusudi ili umpe kazi rafikiKawaida sana kubadilisha meneja kwa msanii na hata kampuni hufanya ivyo.
Sigara siyo yy wa kwanza kuvuta wala kuhalibikiwa.
Pambana na hali yako tu kiongozi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa wasanii wengi wanaishia kula unga...pia sigara ni hatari kwa afya
Nimepewa data hapa huyo dogo anayemtaka harmonize awe meneja anaitwa rajabu mchopa...Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...Ila kwa sasa ameanza kulewa sifa...
1.amekuwa mvutaji wa sigara sana
2.mtumiaji wa pombe sana
3.na watu wake wa karibu wanasema ameanza kibri....kazinguana na Mr puazi ambaye ni meneji wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana..
Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..
Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa...
Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi....
Viongozi wa WCB kijana anapotea chid benzi katokea hukohuko....
Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..
Inaumiza kuona MTU km harmonize anapotea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yako / yangu akivuta sigara haifuti ukweli sigara na pombe ni hatari kwa afya.Jitu linaandika hivyo usikute baba yake ndo mvuta sigara na pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto akilia wembe mpe banaBaba yako / yangu akivuta sigara haifuti ukweli sigara na pombe ni hatari kwa afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili hata kidogo basi, kwa hiyo baba yake akivuta ndo inatoa ukweli kwamba sigara ni sumu?Jitu linaandika hivyo usikute baba yake ndo mvuta sigara na pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa shabiki wake mzuri lakini baada ya kugundua ni mvutaji mkubwa wa sigalla ajabu nimejikuta napoteza hata ile hali ya kusikiliza kazi zake.!Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...Ila kwa sasa ameanza kulewa sifa...
1.amekuwa mvutaji wa sigara sana
2.mtumiaji wa pombe sana
3.na watu wake wa karibu wanasema ameanza kibri....kazinguana na Mr puazi ambaye ni meneji wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana..
Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..
Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa...
Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi....
Viongozi wa WCB kijana anapotea chid benzi katokea hukohuko....
Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..
Inaumiza kuona MTU km harmonize anapotea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Muache kijana afanye starehe zakeHuyu bwana yuko vizuri sana tena sana...Ila kwa sasa ameanza kulewa sifa...
1.amekuwa mvutaji wa sigara sana
2.mtumiaji wa pombe sana
3.na watu wake wa karibu wanasema ameanza kibri....kazinguana na Mr puazi ambaye ni meneji wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana..
Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..
Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa...
Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi....
Viongozi wa WCB kijana anapotea chid benzi katokea hukohuko....
Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..
Inaumiza kuona MTU km harmonize anapotea...
Sent using Jamii Forums mobile app