Possibly coz waitaliano sigara kwao ni kawaidaNilikuwa shabiki wake mzuri lakini baada ya kugundua ni mvutaji mkubwa wa sigalla ajabu nimejikuta napoteza hata ile hali ya kusikiliza kazi zake.!
Asipokuwa makini miaka 20 mingi sana kwake, ajifunze kutoka kwa Nasib.ama huenda aina ya mwanamke aliye naye ndio chanzo cha hiyo tabia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pakiti 2 kwa siku?!!! Khaa hilo ni Jiko aisee!Mara nyingi sana,pia nyuma ya pazia kuna mdau wangu yuko pale anamaliza pakiti2 kwa siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..
1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..
Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..
Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....
Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..
Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi hawa mameneja wa wasanii,huwa wana skills za umeneja kweli au ni title tu?maana ukitamka neno meneja kwa sisi ambao tuko kwenye corporate world tunapata picha tofauti kabisa.Nimepewa data hapa huyo dogo anayemtaka harmonize awe meneja anaitwa rajabu mchopa...
Kwenye IG anatumia mchopa_the_bestboy
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni shauri hivi we haujawahi kupewa ushauriKWANINI USIFATILIE MAMBO YAKO? YEYE AKIVUTA SIGARA KINACHOKUUMA NI NINI??? KWANI ANAKUOMBA PESA YA KUNUNUA EMBASY?????
Amefanya kazi gani nzuri uyo?Maurizio Sari coach wa Chelsea anafanya kazi yake vzr pamoja na mafegi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umenishangaza, kwani kati ya Hamornize na Meneja nani kamwajiri mwenzake? Hapo ni kuwa Meneja kafukuzwa kazi.Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kama ni hivyo basi na mambo yakiwaendea kombo tusichangishwe. Kila mtu abebe mzigo wake mwenyeweWabongo bhana...kwanin kila mtu asiangalie mishe zake!? Kuzisaka azisake peke ake kwenye kutumia umpangie wew how comes. Mtu mzima anajua anachofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaahaahaa. ..nomaNi sawa na kusema Rais kazinguana na Waziri wa Viwanda... lengo lake ampe hiyo position rafiki yake anaitwa Kitwanga
senseless, to me
Mkuu havuti ni swaga tu ,ila WCB wanavuta bangi hasa diamondHuyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..
1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..
Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..
Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....
Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..
Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...
Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo unaakili sasa ,Jamani yule ni msanii hata anavyovaa anavaa wanavyotaka watu,vijana wanapenda ulevi afu wafanikiwe ukiwa na image hiyo unakuwa role model waoWala usishangae, wameshaamua kuharibu vijana.
Anajua fika sio inshu sana kujichora km.mlevi au mvutaji tena akijua anafuatiliwa sanaa.
Anafanya ivo akijua kundi.kubwa la vijana nyuma yake watamfuata mioyon wakisema "Kama. Superstar anavuta nakunywa. Sembuse mimi???"
Wala msiwashangae,, tena usiku yeye havut wala hamywi ila anajiigizia kuvutw nakunywa.