Ushauri: Harmonize wa WCB acha au punguza uvutaji sigara, itakupeleka pabaya

Ushauri: Harmonize wa WCB acha au punguza uvutaji sigara, itakupeleka pabaya

Nilikuwa shabiki wake mzuri lakini baada ya kugundua ni mvutaji mkubwa wa sigalla ajabu nimejikuta napoteza hata ile hali ya kusikiliza kazi zake.!
Asipokuwa makini miaka 20 mingi sana kwake, ajifunze kutoka kwa Nasib.ama huenda aina ya mwanamke aliye naye ndio chanzo cha hiyo tabia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Possibly coz waitaliano sigara kwao ni kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamakonde kwa bangi utawaweza wapi!
 
Safari ya sigara huzaa safari mbili

Moja, huzaa safari ya utasa au ugumba (vyovyote itakavyokuwa). Ukizingatia kijana mdogo bado hana hata mtoto kuharibu uzazi wake kwa masigara inasikitisha.

Mbili, huzaa safari ya bangi na mwishowe ni kuchizika na kupoteza dira, tunasikitika kijana mwenye kipaji hivi tutampoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..

1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...

Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..

Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..

Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....

Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..

Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...

Sent using Jamii Forums mobile app

KWANINI USIFATILIE MAMBO YAKO? YEYE AKIVUTA SIGARA KINACHOKUUMA NI NINI??? KWANI ANAKUOMBA PESA YA KUNUNUA EMBASY?????
 
Nimepewa data hapa huyo dogo anayemtaka harmonize awe meneja anaitwa rajabu mchopa...
Kwenye IG anatumia mchopa_the_bestboy

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi hawa mameneja wa wasanii,huwa wana skills za umeneja kweli au ni title tu?maana ukitamka neno meneja kwa sisi ambao tuko kwenye corporate world tunapata picha tofauti kabisa.
 
Mtoa mada " wasanii na vilezi ni muumini na sala ... usipoteze muda wako sana " kumshauri hivyo aisee hawezi kukuelewa ...

Hivi unajua kwanini proffesor j alikuwa anaitwa mzee wa mitulinga ..!?

Sitetei kuwa ni jumbo zuri ... lakini natamani walau ungejua maana ya kutaka umaarufu ni nini !? Hakuna mtu anaye taka umaarufu halafu asiache kufunga mana na roho ya tamaa na starehe ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIGARA AMEANZA KUVUTA TANGU TUPO NAE HAPA KARUME.USANII UMEMKUTA AKIVUTA SIGARA
 
Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Hapa umenishangaza, kwani kati ya Hamornize na Meneja nani kamwajiri mwenzake? Hapo ni kuwa Meneja kafukuzwa kazi.
 
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..

1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...

Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..

Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..

Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....

Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..

Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu havuti ni swaga tu ,ila WCB wanavuta bangi hasa diamond
 
Wala usishangae, wameshaamua kuharibu vijana.


Anajua fika sio inshu sana kujichora km.mlevi au mvutaji tena akijua anafuatiliwa sanaa.

Anafanya ivo akijua kundi.kubwa la vijana nyuma yake watamfuata mioyon wakisema "Kama. Superstar anavuta nakunywa. Sembuse mimi???"


Wala msiwashangae,, tena usiku yeye havut wala hamywi ila anajiigizia kuvutw nakunywa.
We ndo unaakili sasa ,Jamani yule ni msanii hata anavyovaa anavaa wanavyotaka watu,vijana wanapenda ulevi afu wafanikiwe ukiwa na image hiyo unakuwa role model wao
 
Back
Top Bottom