Lazima tutimize wajibu kuongoza wengineMtoa mada " wasanii na vilezi ni muumini na sala ... usipoteze muda wako sana " kumshauri hivyo aisee hawezi kukuelewa ...
Hivi unajua kwanini proffesor j alikuwa anaitwa mzee wa mitulinga ..!?
Sitetei kuwa ni jumbo zuri ... lakini natamani walau ungejua maana ya kutaka umaarufu ni nini !? Hakuna mtu anaye taka umaarufu halafu asiache kufunga mana na roho ya tamaa na starehe ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Km anafanya ujinga lazima arekebishwemwambie huyo mdau wako aache kufatilia maisha ya watu.
Kwahiyo hapo unamuongoza nani ? ... harmonize au mkeo na watoto wako !?
KabisaHawa watu unajua hawana akili, anakula na kuvuta kitu kimeandikwa ni hatari kwa afya yake sasa wewe unadhani atakuelewa kwa kuandika humu? we mwache atakuja kujutia siku ile amepata madhara na kusema angejua..
Kwahiyo hapo unamuongoza nani ? ... harmonize au mkeo na watoto wako !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kick la Bashite kwa mara niyingine limekwama leo...huyu jamaa hana kazi?Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..
1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..
Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..
Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....
Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..
Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan katumia zakoanatimiza ule usemi wa;
Pata pesa tujue tabia yako.
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..
1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...
Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..
Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..
Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....
Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..
Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfuatilia nini bwana? Kwani yeye hajui kuwa sigara n hatari kwa afya yakeMara nyingi sana,pia nyuma ya pazia kuna mdau wangu yuko pale anamaliza pakiti2 kwa siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamo badilikaUnamfuatilia nini bwana? Kwani yeye hajui kuwa sigara n hatari kwa afya yake
Mwache ale/ avute. Hapo anatumia jasho/pesa zake we yanakuhusu nini!
Huyu n mtu mzima ana akili timamu mifano anaiona ipo mingi tu wapo wasanii wengi tu wameshakuwa mateja kupitia hzo njia. Acha afanye anachotaka pesa anazihangaikia kwenye majukwaa usiku na mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimesema anatumia zangu?!
Kila kifo kina chanzo, kama yeye atakufa kwa uvutaji wa sigara basi mwingine atakufa kwa malaria na vingine. We all live once, kila mtu afanye maisha yake ila usifanye kinyume na Mungu na sheria za duniani. Hakuna atakaye ishi milele.. let him be course he choose that way and everybody has his / her choice in life.
Sent using Jamii Forums mobile app