IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
- Thread starter
- #81
Lazima tutimize wajibu kuongoza wengineMtoa mada " wasanii na vilezi ni muumini na sala ... usipoteze muda wako sana " kumshauri hivyo aisee hawezi kukuelewa ...
Hivi unajua kwanini proffesor j alikuwa anaitwa mzee wa mitulinga ..!?
Sitetei kuwa ni jumbo zuri ... lakini natamani walau ungejua maana ya kutaka umaarufu ni nini !? Hakuna mtu anaye taka umaarufu halafu asiache kufunga mana na roho ya tamaa na starehe ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app