Ushauri: Harmonize wa WCB acha au punguza uvutaji sigara, itakupeleka pabaya

Ushauri: Harmonize wa WCB acha au punguza uvutaji sigara, itakupeleka pabaya

Mtoa mada " wasanii na vilezi ni muumini na sala ... usipoteze muda wako sana " kumshauri hivyo aisee hawezi kukuelewa ...

Hivi unajua kwanini proffesor j alikuwa anaitwa mzee wa mitulinga ..!?

Sitetei kuwa ni jumbo zuri ... lakini natamani walau ungejua maana ya kutaka umaarufu ni nini !? Hakuna mtu anaye taka umaarufu halafu asiache kufunga mana na roho ya tamaa na starehe ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima tutimize wajibu kuongoza wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..

1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...

Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..

Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..

Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....

Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..

Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kick la Bashite kwa mara niyingine limekwama leo...huyu jamaa hana kazi?
 
Km anafanya ujinga lazima arekebishwe

Sent using Jamii Forums mobile app

Mi nashangaa kuna RAIA wanajinasibu kwamba kaanza usiku nyingi!!?? Mbona alikua haonekani kubugia moshi kama sasa hivi, maimpe ndonga kwa kumsifia kaanza siku nyingi. Cha msingi aache fegi sio nzuri kwa afya. Ila yule mama was kiitaliano/kigiriki sio kabisa.
 
Jamani leo tarehe ngapi na mwaka gani? hii thread imeandikwa trh 4 mwezi wa 01 mwaka 2019 au naota? Konde boy konde boyyy
 
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa..

1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana
2. Mtumiaji wa pombe sana
3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana na Mr. Puazi ambaye ni Meneja wake...lengo lake hiyo position ampe rafiki yake wa karibu anaitwa Rajabu...

Kazi ukileta urafiki utapotea mazima kijana. Sasa hiyo sigara/ulevi itaanzisha safari nyingine ya kula unga..

Jifunze dogo we ni kijana mdogo sana achana na matumizi ya sigara sio sifa. Sio swala la kumsingizia we fuatilia page zake ni full sigara na ulevi..

Viongozi wa WCB kijana anapotea Chid Benz katokea hukohuko....

Hapa BASATA ndio wakati wao kuwasaidia wasanii kabla hayajawakuta madhara makubwa..sio kufungia nyimbo tuu..

Inaumiza kuona mtu kama Harmonize anapotea...

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20190202-080707.png
Screenshot_20190202-080407.png
Screenshot_20190202-080421.png
 
Mara nyingi sana,pia nyuma ya pazia kuna mdau wangu yuko pale anamaliza pakiti2 kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfuatilia nini bwana? Kwani yeye hajui kuwa sigara n hatari kwa afya yake
Mwache ale/ avute. Hapo anatumia jasho/pesa zake we yanakuhusu nini!
Huyu n mtu mzima ana akili timamu mifano anaiona ipo mingi tu wapo wasanii wengi tu wameshakuwa mateja kupitia hzo njia. Acha afanye anachotaka pesa anazihangaikia kwenye majukwaa usiku na mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamfuatilia nini bwana? Kwani yeye hajui kuwa sigara n hatari kwa afya yake
Mwache ale/ avute. Hapo anatumia jasho/pesa zake we yanakuhusu nini!
Huyu n mtu mzima ana akili timamu mifano anaiona ipo mingi tu wapo wasanii wengi tu wameshakuwa mateja kupitia hzo njia. Acha afanye anachotaka pesa anazihangaikia kwenye majukwaa usiku na mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamo badilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwache dogo atomboke ndo wakati wake nawe Mr Pua kwani msanii ni Harmo tu kachukue dogo mwanalumango huko uwe meneja wake
 
We utakuwa mvutaji sio kwa kumtetea huko. Lol
Kila kifo kina chanzo, kama yeye atakufa kwa uvutaji wa sigara basi mwingine atakufa kwa malaria na vingine. We all live once, kila mtu afanye maisha yake ila usifanye kinyume na Mungu na sheria za duniani. Hakuna atakaye ishi milele.. let him be course he choose that way and everybody has his / her choice in life.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom