Wadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Duuu pole sana ila inaonekana anapenda pesa zakoMwanamke alimwambia best yake mtu mwenyewe hasikii nitampeleka wapi
Hujafa hujaumbika ndugu.Tufanye wewe ndo ungekuwa yeye ungekubali?
Hili swali linaweza kuwa innocent lakini limekaa kuchekesha😃Hizo tetesi umezisikiaje mkuu?
Wanaume huwa mnaongoza kuwakataa wanawake wenye kasoro usijitoe fahamu.Hujafa hujaumbika ndugu.
Mungu atakupa hitaji la moyo wakoWadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Sawa.Wanaume huwa mnaongoza kuwakataa wanawake wenye kasoro usijitoe fahamu.
Ninayo bila wasiwasiPesa unayo ya kutosha lakini?
Hatari mabinti wengi wakishaona husikii wanasumbua wanaambizana nitampeleka wapiDah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
Ndoa ina umuhimu wake bossAisee huyo ni tapeli, anakula tu pesa zako
KATAA NDOA, LINDA AFYA YA AKILI YAKO
Huyu mtu mzma kaniambia kashaolewa na ni ndugu yakevuta best yake oa... Hadi kukwambia hizo habari kuna connection kati yenu. Ukiishatangaza ndoa usirudi nyuma hata akirudi
Jiamini, jikubali, ukifanya hivyo na wengine watafanya hivyo kwa lazima. Ukijishusha na kuwa mbabaifu na wengine wana kushusha na kukufanyia ubabaishaji.Dah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
Nimeambiwa kwa sauti ya mdogo nina uwezo wa kusikia baadhi ya sauti
Me pisi nazipata sema huyu nimeambiwa tu anavyosema sina uhakikaJiamini, jikubali, ukifanya hivyo na wengine watafanya hivyo kwa lazima. Ukijishusha na kuwa mbabaifu na wengine wana kushusha na kukufanyia ubabaishaji.
Jiweke namna unataka, misimamo nk.