Ushauri: Iundwe Kamati huru kubaini chanzo cha nyufa JNHP maana kuna harufu ya uhujumu uchumi

Ushauri: Iundwe Kamati huru kubaini chanzo cha nyufa JNHP maana kuna harufu ya uhujumu uchumi

Nakupa siku nzima tuletee jina la ‘project manager’ wa huo mradi kutoka team ya TANESCO.

Achilia mbali wataalamu wengine waliopo kwenye team yake.
Kwanza huelewi unachokiongea.

Kwanini "project manager" awe wa Tanesco? Toka lini 'client anakuwa na "Project Manager"? Project manager ni mtu wa mkandarasi. Client anaweka "Consultants kutegemea na mradi ulivyo, "main contractor" ambae ni Arab Contractors anaweza kuwa yeye ndiye Consultant pia".

Watanzania mnasikitisha sana kwa ujinga wa kujifanya mnajuwa kumbe hamjuwi. Soma:





Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kwanza huelewi unachokiongea.

Kwanini "project manager" awe wa Tanesco? Toka lini 'client anakuwa na "Project Manager"? Project manager ni mtu wa mkandarasi. Client anaweka "Consultants kutegemea na mradi ulivyo, "main contractor" ambae ni Arab Contractors anaweza kuwa yeye ndiye Consultant pia".

Watanzania mnasikitisha sana kwa ujinga wa kujifanya mnajuwa kumbe hamjuwi. Soma:





Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
How do you certify the quality of work done then?

Mradi unatumia wataalamu wengi wa TANESCO kila siku katika technical works, how does the organisation allocate the numbers appropriately without affecting their own operations, considering it has other modernisation projects nationwide.

How does TANESCO learn from this mega project kama wao wenyewe hawana watu wanaofuatilia kazi.

Kwanini waseme wana team ya usimamizi; halafu wewe useme hawana.

How do they know if the ‘project plan’ inafuatwa kama wao hawapo site na wala hawana wataalamu wakukagua tasks tofauti za mradi.

Unadhani consultant atafanya kazi mwenyewe bila ya wasaidizi.

Acha kuropoka mambo usiyoyaelewa.

Ni kwamba wanaropoka tu ukiwasikiliza tunafanya mambo kisayansi; wakati hata project manager hawana, wala hiyo team.

Hakuna kipya utakuja nacho zaidi ya kuniletea porojo tu za kuunga on whatever makes sense in your head; wakati uhalisia wa jinsi mambo yanavyofanyika huko huna hata abc za project management.

👋
 
Wakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.

Ni hayo hayo kwa SGR, ilikuwa tayari Wachina waanze kazi.

Lakini kiufundi inarekebIshika vizuro tu, sema gharama na muda wa kumalizika vinaongezeka.

Cheap is expensive.
Mhh inavyoonekana mwendazake alikuingizia mimba si Kwa kumchamba huko kama demu mwenye mimba ya miezi 6
 
kuna kipindi waziri kalemani alionekana kwenye tv akimlalamikia mkandarasi kwa kujenga chini ya Kiwango kwa kujenga nguzo chache kwenye ukuta wa bwawa tofauti na inavyotakiwa na kuweka wasimamizi wataalamu wachache .
Unaweza kushare nasi video hiyo tafadhali🙏
 
Hebu engineers waje kutupa taaluma hapa, hivi si kuna kile kipindi kinaitwa defects liability period ambapo mkandarasi anatakiwa kurekebisha shida zote zilizojitokeza kabla ya kukabidhi final? Au nimekosea? Mimi siyo engineer.
Wakulaumiwa ni engineer Herse mana karud jana toka Rwanda!
 
Wakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.

Ni hayo hayo kwa SGR, ilikuwa tayari Wachina waanze kazi.

Lakini kiufundi inarekebIshika vizuro tu, sema gharama na muda wa kumalizika vinaongezeka.

Cheap is expensive.
Duniani kuna vituko, yaani Bwawa la Nyerere JPM alilikuta akavuruga mchakato wa ujenzi?, serious au hujui usemacho?
 
Pamoja na angalizo hilo la UZALENDO ulilotoa hapa, hiyo "Tume Huru" toka Bungeni itaanza kuota yenyewe kama uyoga?

Hata kama ni kuwa na matumaini mkuu 'Rabbon', haya matumaini katika hali hii iliyopo sasa wewe unayatoa wapi?

Yaani kweli kwa moyo wako wa dhati katika hali tuliyomo sasa hivi kuwa na matumaini ya kuwapata watu ambao watafanya kazi kizalendo chini ya mfumo usioruhusu uzalendo?

Mimi sielewi matumaini haya unayatoa wapi hasa!

Haya, kwa namna ya muujiza, hiyo tume kweli iundwe, hayo yatakayoibuliwa na timu ya namna hiyo yatapelekwa wapi kufanyiwa utekelezaji wa mapendekezo ya tume?

Labda nikuulize, kwa miaka hii ya karibuni ni tume ngapi zimeundwa na kuwasilisha mapendekezo yao, ambayo yalitekelezwa kama yalivyotakiwa?
Kuna tume yoyote iliyoundwa ambayo hata matokeo ya tume uliyasikia?

Mimi nikupe tu pongezi ya kupenda taratibu zinazohitajika katika mambo kama haya zifanyike. Lakini kwa bahati mbaya sana kwetu sote, hakuna mazingira yanayoruhusu hayo unayoyapendekeza wewe.

Inaeleweka kwa nini watu bado wanashikilia na kuwa na kumbukumbu za kutenda mambo kwa taratibu zinazoeleweka, lakini ukweli ni kwamba nyakati hizi tulizomo ni tofauti kabisa.
Hatuna serikali inayoweza kufanya hayo unayoyapendekeza wewe kwa ufanisi unaotakiwa.

Ukitaka tume itaundwa, lakini hayo matokeo yake usiwe na matumaini nayo.
Umejibu Kwa ufasaha na UKWELI wa mazingira ktk uhalisia wake.

Nadhani tunahitaji kupiga hatua kuingia ndani ya ulingo kuliko kuwa watizamaji na washauri wanaopuuzwa!!

Ila tu wasijesema tunachanganya dini na siasa!!
 
Duniani kuna vituko, yaani Bwawa la Nyerere JPM alilikuta akavuruga mchakato wa ujenzi?, serious au hujui usemacho?
Usiingie kwenye mtego wake kuanza kutafuta wa kumlaumu.

Mada inajieleza, Tunataka Tume huru iundwe kuchunguza,

Mada haisemi nani alaumiwe Kwa Kutokea nyufa katika Kuta za Bwawa!!
 
Huo uwepo wa nyufa kautangaza na nani?
Unataka tusubiri kutangaziwa sio?

Tangazo la Tanesco Leo Umesikika au kusoma popote wakikanusha kuwepo Kwa nyufa katika Kuta za Bwawa?

Mbona umechelewa, tuko macho na Nchi yetu na pesa za umma!!
 
Ndiyo tatizo hilo, kitafutwe nini tena na tatizo linajulikana? Pafanyiwe ufundi tu.
Pafanyiwe ufundi gani? Ni lazima kwanza kipara na maharage wake watoswe kwa uzembe kushindwa usimamizi.
 
Tungekuwa na Serikali, upuuzi kama huu usingetokea na kama ungetokea, hatua kali sana zingechukuliwa dhidi ya wanaohusika.
 
No research no right to speak.

Nawashauri tumieni muda kidogo kufanya tafiti nyepesi ya kimtandao "simple internet research" kabla ya kuja kudanganyana. Nimeitaama hiyo video sijaona "concern" yoyote ya masingi iiliyooneshwa na engoineer anaetowa maelezo wala waziri biteko. Au tunasikiliza vitu tofauti?

Kuna wanaonesha wamelishika neno "nyufa" na hawajali hizo nyufa ziko wapi. Nyufa zinazoongelewa hazipigiki picha kama ule uharo uliosambazwa.

Yaani Watanzania mmeshindwa kuelewa maana ya nyufa za kwenye mwamba zinazofanyiwa "grouting" ambazo engineer anazielezea hapo. Hizo kwa macho hazionekani, huwa kwa siku hizi zinaonekana kwa vifaa maalum au vipomo maalum, mradi hakuna nyufa kwenye "diaphragm walls" silioni tatizo.

Huo unaoongelewa kwenye hiyo video ni uboreshaji wa kawaida sana kwenye ujenzi, kama vifaa vilivyowekwa vimeonesha "abnormality".

Mara nyingi kutokana na vipimo vya awali vya mwamba unaweza kuweka grouting kwenye "design" au ikaamuliwa kuwa "grouting" itafanyika au isifanyike baada ya kuwepo na "load" kwenye bwawa. Kwa ujenzi na vifaa vya siku hizi Uwepo au usiwepo, mara nyingi au mara zote hufanyika ujenzi ukifikia stage fulani.

Hilo mbona ni jambo la kawaida kwenye miradi yoyote ya ujenzi mkubwa. Soma:


Katika Mkataba FAKE wa Bandari ulitoa ushauri na kujitambulisha kama Mwanasheria mbobevu!!

Leo unaongea kama Engineer uliyebobea,

Sasa kuondoa huu UKANJANJA na sintofahamu,

Mada inapendeleza iundwe Tume huru kulichunguza jambo hili Kwa Maslahi ya walipakodi wataolipa Trilioni zaidi ya 6 za mradi.

Ni hatari kuwaacha Tanesco na mkandarasi pekee KUJICHUNGUZA!!
 
Ikiwezekana kamati hiyo huru ihusishe wataalamu Kutoka nje ya Serikali na nje ya nchi kupata UKWELI Ili kupendekeza solution sahihi.
Nje ya nchi kweli, kwa wazungu, sio nao hawakutaka bwawa lijengwe!
 
Back
Top Bottom