No_Worries
Member
- Sep 27, 2016
- 69
- 23
Hiyo biashara sio ya kuuliza, ni wewe tu na pesa zako uanze kupiga hela. Cha msingi ni kuwepo kwenye pilika pilika za watu,ila hapo pa kutokuwepo kwa vinywaji vikali ndipo utakapokosea,maana mdudu mwenzie "ngumu kumeza"
upo mkoa gan
soko ni tatizo kubwa sana dar es salaam, kama unabiahsara kubwa lazima upitie kwa middle men, hao watanunua nguruwe wako kwa 5000 hadi 6500. tatizo lingine nililoliona dar kwa wale wanaosafirisha nguruwe wakiwa hai, ukishamfikisha dar kwa watu wenye mabanda na machinjio wanafanya udanganyifu kwenye mizani yao na wakati wa kuchinjwa wanakatia mabegani ili sehemu kubwa ya nyama ibakie kama sehemu ya kichwa maana ujira wa wachinjaji ni kuwaachia kichwa na miguu. jamani naona kuna tatizo kubwa sana la nguruwe sasa hivi. lakini changamoto hii wadau tuine kama fursa kwa kufiria kufanya packaging au kusindika na kufanya biashara nje ya nchi. kama kuna mtu anajua wapi tunawweza kupata soko la uhakika la nguruwe aniibox ili tufanye biashara ninanguruwe wengi tatizo soko la uhakikaWadau kuna hili wazo la biashara ya kununua nguruwe huko Morogoro kuchinja na kuleta hapa Dar, ofcourse itahitaji uwe na order kwenye vituo vya kuuzia nyama ya nguruwe, kwenye mabaa na watu binafersi.
Unanunua nguruwe wa 100 kg kwa TZS 300,000/- unachinja na kuondoka na nyama fasta hadi Dar unaanza kusupply. Unaweza beba wawili hadi wanne kutokana na usafiri unaotumia na maandalizi uliyoweka.
Kama wapo wadai ambao wanaielewa hii biashara mazuri na mabaya mnijuze tafadhali.
Samahani wa wadau ambao hii ni haramu kwao.
Natanguliza shukrani.
MKUU,ULIFANIKIWA?Wakuu,
Nampango wa kufungua sehemu kwa ajili ya kuchoma/kuroast kitimoto. Kwa ambaye anauzoefu wa biashara hii naomba ushauri tafadhali hususani kwenye vitu vya muhimu kuzingatia kabla ya kuanza na baada ya kuanza hii biashara.
Binafsi ninampango wa kufungua sehemu ambayo siyo bar ila ni karibu na taasisi ya elimu yenye wanafunzi wengi. Ugali, Ndizi, Kitimoto, vinywaji baridi ndivyo natagemea kuviuza (Pombe haitakuwepo).
Natanguliza shukrani.
View attachment 448509
MKUU,ULIFANIKIWAJamani wadau naomba kwa mtu yeyote hasa wa maeneo ya Mbeya, Iringa na Singida anipe details kuhusu upatikanaji wa Kitimoto, nataka nianze biashara yakununua kitimoto nakuwasafirisha Dar es salaam.
MKUU,ULIFANIKIWAHabari ya asubuhi wanajamvi
Katika harakati zangu za kuongeza kipato hasa kwa kuzingatia ugumu wa maisha ulivyo hivi sasa, nimevutiwa na biashara ya kufuga kitimoto kwa ajili ya kuuza ambayo nasikia inalipa sana.
Nimeandaa shamba tayari maeneo ya Kongowe lakini sina uhakika juu ya gharama halisi ya kuwakuza wanyama hao hadi kufikia maturity.
Naomba ushauri wenu juu ya hili. Nitaappreciate kama nitapata mchanganuo kuanzia vyakula madawa na gharama za kuwaingiza sokoni.
Napenda kuanza na nguruwe kumi wa majaribio.
Msaada wenu please!
AstaghfirullahHabari wakuu...mimi ni kijana mjasiriamali mwenye jiko la kupika kitimoto kimara...ninahitaji kupanua biashara yangu, yaani nifungue jiko lingine maeneo ya kimara mpaka mbezi mwisho. Hivyo ninaomba msaada kama una bar au unamfaham mtu mwenye bar eneo lililochangamka na anahitaji mtu wakufungua jiko...please ni pm
Natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ina maana gani mkuu?Astaghfirullah
sent from my Samsung S9 plus using jamiiforums mobile application.
Samahan kama nmekukera ila ulivyoona hyo heading ya thread usingefunguaAstaghfirullah
sent from my Samsung S9 plus using jamiiforums mobile application.
Habari wakuu...mimi ni kijana mjasiriamali mwenye jiko la kupika kitimoto kimara...ninahitaji kupanua biashara yangu, yaani nifungue jiko lingine maeneo ya kimara mpaka mbezi mwisho. Hivyo ninaomba msaada kama una bar au unamfaham mtu mwenye bar eneo lililochangamka na anahitaji mtu wakufungua jiko...please ni pm
Natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
We kama mtakatifu. Usingeifungua hii thread, sahizi ungekua unahubiri huko mtaan kwenuAstaghfirullah
sent from my Samsung S9 plus using jamiiforums mobile application.
Wajina lolo123 na Mimi ni lolowapi. Usijali pamoja mkuu.We kama mtakatifu....usingeifungua hii thread.....sahizi ungekua unahubiri huko mtaan kwenu