No_Worries
Member
- Sep 27, 2016
- 69
- 23
Hiyo biashara sio ya kuuliza, ni wewe tu na pesa zako uanze kupiga hela. Cha msingi ni kuwepo kwenye pilika pilika za watu,ila hapo pa kutokuwepo kwa vinywaji vikali ndipo utakapokosea,maana mdudu mwenzie "ngumu kumeza"
Daaa! Asante mkuu, ngoja nijilipue kujaribu si kushindwa!