Ushauri: JWTZ/JKT wajikite kwenye tafiti za kisayansi na teknolojia. Wabuni silaha zao wenyewe

Ushauri: JWTZ/JKT wajikite kwenye tafiti za kisayansi na teknolojia. Wabuni silaha zao wenyewe

Kiduku anamuuzia Silaha Putin

Dunia nzima ikiongozwa na Marekani imejaa hofu

Biden aonya Hiyo ni dalili ya Vita ya Dunia
Hiyo sio biashara ya kiraia. Huwezi kuilinganisha biashara hiyo na biashara zinazofanywa na Jeshi la Tz
 
SELIKALI Inapoteza ma BILIONI na Hawa wapuuzi wasioenda shule
 
Baada ya SELIKALI kuwekeza kwenye Elimu kuwakomboa WATANZANIA Inawekeza kwa HAO VILAZA.
 
Una uhakika gan hawagundui
Vitu vingine ni siri sio kuona kwenye whatasp .
 
Mishahara wanayolipwa HAO jamàa ingeenda kwenye Elimu.

🧮Mitaaala Mipya.
🧮Dawati Kwa Kila MWANAFUNZI.
🧮VITABU.
🧮Maabala.
🧮Maktaba za KISASA.

Hakika Baada ya Miaka 50 Tanzania ingebadirika mno tungekuwa mbali sana.
 
JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk

Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?

Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?

Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?

Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?

Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.

Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Una hoja usikilizwe
 
Una uhakika gan hawagundui
Vitu vingine ni siri sio kuona kwenye whatasp .

JESHI la kishamba sana.


Wangekuwa na akili.

Maeneo Yao hayo karibu nusu ya nchi.

1. Wangepanda Miti ya mbao, madawati madaftari nk.
2. Wangependa Miti ya matunda.
3. Wangekuwa na Lunch kubwa za kufunga NG'OMBE , KUKU au MBUZI nk.
4. Wangeweza kuwa na kiwanda Chaadawati.
5. Wangeweza kupanda hata mboga mboga kiwalisha WATOTO mashuleni.
6. Mabwawa makubwa ya KISASA ya samaki nk.

TUNA JESHI LA MCHONGO
 
JESHI la kishamba sana.


Wangekuwa na akili.

Maeneo Yao hayo karibu nusu ya nchi.

1. Wangepanda Miti ya mbao, madawati madaftari nk.
2. Wangependa Miti ya matunda.
3. Wangekuwa na Lunch kubwa za kufunga NG'OMBE , KUKU au MBUZI nk.
4. Wangeweza kuwa na kiwanda Chaadawati.
5. Wangeweza kupanda hata mboga mboga kiwalisha WATOTO mashuleni.
6. Mabwawa makubwa ya KISASA ya samaki nk.

TUNA JESHI LA MCHONGO
Mmesikia mtu kataja Pharmacy ya Mwenge usisahau wana hospitali mbili zinazotambulika kwa hapa Dar Moja ya watoto ipo 'Mwenge Mpakani' na nyingine ni ya wakubwa ipo 'Lugalo' pale palipoitwa 'Colito Barracks'
 
Uko sahihi mkuu,jeshi letu kuitisha press kwasababu ya nguo binafsi inanisikitisha sana...... Press ya taasisi kama jeshi letu inatakiwa waje na jambo mahususi lenye impact Kwa jamii
 
JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk

Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?

Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?

Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?

Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?

Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.

Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Jeshi linasubiri bajeti ya kununulia silaha na zana bora badala ya kuspend kusaka vipaji vya wabunifu wa silaha na gadgets.
 
Ajabu ni kuwa utakuta hawawezi hata kutengeneza viatu, nguo, kofia, mikanda, nk vya kuvaa wao wenyewe? Tena viatu wangeweza hata uzia raia na majeshi mengine, ya ndani na ya nje.
Vyote ulivyotaja wanatengeneza wenyewe ... Nilikuwa Tabora nimeona vitu vingi vinafanyika sema ndio vile Kuna wahuni wanachukulia miradi ya jeshi Kama yao.
 
Yaani mnataka mtu atoke kwenye mentality ya kufanya huduma ya cuttering, kujenga fremu za maduka mpaka kutengeneza makombora kama North Korea?
20230906_075549.jpg
 
Mmesikia mtu kataja Pharmacy ya Mwenge usisahau wana hospitali mbili zinazotambulika kwa hapa Dar Moja ya watoto ipo 'Mwenge Mpakani' na nyingine ni ya wakubwa ipo 'Lugalo' pale palipoitwa 'Colito Barracks'
Nilipokuwa mtoto metibiwa sana ile hospitali ya JW Ujenzi pale Mwenge.

Hebu tujue hospitali mpya zilizojengwa na Jeshi.

Jeshi letu kikatiba halipaswi kushiriki siasa lakini CCM wsnalihusisha kwa mlango wa nyuma.

Swali dogo tu. Wale wanajeshi wakuu wa mikoa na wilaya, hawaingii kamati za siasa maeneo yao?
 
Back
Top Bottom