Ushauri: JWTZ/JKT wajikite kwenye tafiti za kisayansi na teknolojia. Wabuni silaha zao wenyewe

Ushauri: JWTZ/JKT wajikite kwenye tafiti za kisayansi na teknolojia. Wabuni silaha zao wenyewe

Nilishangaa Sana walipo sema ni jeshi la sita kwa ubora na wakati sijawahi kusikia wana teknolojia yeyote ile ambayo imetokea kwao kwa ajili ya ketengeneza silaha na vifaa vingine vya kivita, na teknolojia ndio uti wa mgongo wa jeshi kwa dunia hii ya kisasa,
licha ya kufanya wanayo fanya nadhani wawekeze nguvu zaidi kwenye kwenye teknolojia na tafiti mbali kwa ajili ya kuimarisha jeshi na maisha ya wananchi kama yafanyavyo majeshi katika nchi tunazoiga kwao Kila jambo kama Marekani na china,
 
Nikiangalia komenti nyingi humo za kuliponda jeshi letu unaweza shawishika kuwa hawa vijana labda wamejiunga wanazalisha na kutengeneza vitu vipya lakini utakapo kutana nao unaweza shangaa vocha wanaomba,wakiamka hawajui wanakoelekea na wengine wanatafuta network za siasa tu.Tusaidie taifa kwa kuchapa kazi inamaana zaidi kuliko kupiga tu domo na kejeli za kijinga kwenye taasisi inayoheshimika
 
JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk

Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?

Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?

Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?

Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?

Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.

Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Dunia ina nchi 195,umepitia majeshi yake yote kujua kama hayafanyi biashara.Mi sioni ubaya jeshi kuhudumia wananchi.Hospital za jeshi zimesaidia sana especial maeneo yenye uhaba.Sioni madhara yoyote wakimiliki hizo bar au vituo vya mafuta sababu hawalazimishi watu kununua kwao na hawajaacha kufanya kazi zao sababu ya hzo biashara.Pia ikumbukwe kuna kipindi wafanyabiashara maraia hugomaga au madaktari hugomaga pia.Kimbilio linakuwaga jeshini.
 
JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk

Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?

Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?

Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?

Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?

Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.

Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Juzi JCCMTZ wamebuni kutafuta sare,wakati wenzao nchi nyingine wanadeal na mafisadi wao wanatafuta sare ajabu sana.
 
Sio vibaya jeshi kufanya biashara sema jeshi letu linafanya biashara ndogo ndogo

Mfano fremu za kupangisha tena za kiwango cha chini mno unaweza kuita vibanda vya kupangisha
 
Nikiangalia komenti nyingi humo za kuliponda jeshi letu unaweza shawishika kuwa hawa vijana labda wamejiunga wanazalisha na kutengeneza vitu vipya lakini utakapo kutana nao unaweza shangaa vocha wanaomba,wakiamka hawajui wanakoelekea na wengine wanatafuta network za siasa tu.Tusaidie taifa kwa kuchapa kazi inamaana zaidi kuliko kupiga tu domo na kejeli za kijinga kwenye taasisi inayoheshimika
Hata hao wanajeshi ukikutana nao hawana time na wewe wanajuana wao kwa wao na especially wakiwa kundi moja maana wana kawaida ya kupangwa kimakundi makundi

Yaan in short wanajeshi hawana time na raia hawana time ya kuchangamana na raia sema tu basi
 
Yani ndio maama tunaota mvi bado wadogo sana kuna vitu vinakera sana yani JKT pamoja na mamiradi yote wameshindwa hata wanunulia vijana wetu majembe, uko makambini eti mtoto aende na jembe lake truck suti zake, short Pepsi yake
 
Yani ndio maama tunaota mvi bado wadogo sana kuna vitu vinakera sana yani JKT pamoja na mamiradi yote wameshindwa hata wanunulia vijana wetu majembe, uko makambini eti mtoto aende na jembe lake truck suti zake, short Pepsi yake
Na akishamaliza anaviacha huko huko hakuna anaerudi na majembe
 
Na akishamaliza anaviacha huko huko hakuna anaerudi na majembe
Wanatuona wajinga sana Raia ngoja sasa tuanze kuwa tunahoji na kuanika mambo yao maana wanakula kodi zetu pesa wanazopata zinaenda wapi
 
JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk

Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?

Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?

Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?

Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?

Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.

Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
La sita duaniani?
 
JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk

Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?

Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?

Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?

Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?

Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.

Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
1. Kiituo cha mafuta (JKT Suma Fuel Station)
2. Mradi wa fremu za maduka Kawe/Lugalo
3. Uuzaji wa sare za jeshi na vyeo (ranks) kwenye maduka yao (Lance coplo, coplo, sergeant, staff sergeant, Lieutenant, and captain).

Sasa wanataka kukusanya sare za kijeshi zenye kufanana na zao ijapokuwa sare za majeshi yote duniani huwa hazifanani kamwe kwa sababu zina (concealed military code) sijui wanataka kuzipeleka wapi wakati jambo la busara ilikuwa sare hizo kuteketezwa hadharani kwa usimamizi maalum na rekodi kuwekwa kimaandishi.

Ni mbaya sana kwa jeshi la wananchi kuanza mikwaruzano na raia wa nchi husika mwisho wake huwa sio mzuri
 
JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk

Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?

Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?

Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?

Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?

Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.

Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Wenzao wa India sasa hivi wanajiandaa kupeleka chombo chao kwenye JUA (sun), hawa wa kwetu wao mission yao ni kusaka mavazi yanayofanana na sare zao kwa raia!!
 
Kuna shughuli za uzalishaji wa silaha zinafanyika hapa nchi na hao wajeshi.
Ni zaidi ya miaka 10 sasa. Sema kuna mambo inabidi wayaache.
Issue ya cattering, usafi, ulinzi (suma JK) ni kama upigaji wa wakubwa na serikali imewaachia ili wajisahau wasije kuleta usumbufu
Kwamba wanatengeneza artillery shells?
 
Back
Top Bottom