Uafrika hasa hasa Uanzania ni laana!Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uafrika hasa hasa Uanzania ni laana!Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
Sisi tunafungua mafremu, ndio akili zetu zimekomea hapo.Wenzao wa India sasa hivi wanajiandaa kupeleka chombo chao kwenye JUA (sun), hawa wa kwetu wao mission yao ni kusaka mavazi yanayofanana na sare zao kwa raia!!
Jamaa mabwege sana
Jeshi linaloonea raia ni jeshi lililokosa ubunifu1. Kiituo cha mafuta (JKT Suma Fuel Station)
2. Mradi wa fremu za maduka Kawe/Lugalo
3. Uuzaji wa sare za jeshi na vyeo (ranks) kwenye maduka yao (Lance coplo, coplo, sergeant, staff sergeant, Lieutenant, and captain).
Sasa wanataka kukusanya sare za kijeshi zenye kufanana na zao ijapokuwa sare za majeshi yote duniani huwa hazifanani kamwe kwa sababu zina (concealed military code) sijui wanataka kuzipeleka wapi wakati jambo la busara ilikuwa sare hizo kuteketezwa hadharani kwa usimamizi maalum na rekodi kuwekwa kimaandishi.
Ni mbaya sana kwa jeshi la wananchi kuanza mikwaruzano na raia wa nchi husika mwisho wake huwa sio mzuri
Tatizo la kuwa na jeshi la form four failuresNdiyo level ya elimu yao, utafiti qa kisayansi hawana uwezo wala ujuzi wala wataakam.
Inaitwaje?Brand yao ya maji sijui iliishia wapi, wana hadi Pharmacy ya Wholesale Mwenge..
Jeshi na Biashara za uchuuzi..
Tusubiri tuone....
Sijui, walikuwa kwenye final touches.Inaitwaje?
La TZ ni la sita duniani ????????JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk
Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?
Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?
Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?
Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?
Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.
Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Wana kiwanda cha Maji pia,lakini vilevile ni mabingwa wa kupasua vitofa kwa vichwa na kuchapana na mirunda mgongoni wakati wa sherehe za kitaifa.JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk
Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?
Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?
Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?
Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?
Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.
Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Hivi hizo pesa CAG huwa anakagua mahesabu yake au ndiyo Bakishishi ya Wakulungwa!Brand yao ya maji sijui iliishia wapi, wana hadi Pharmacy ya Wholesale Mwenge..
Jeshi na Biashara za uchuuzi..
Tusubiri tuone....
Kama kule Gabon na Niger au siyo![emoji1787][emoji1787]Uko sahihi mkuu,jeshi letu kuitisha press kwasababu ya nguo binafsi inanisikitisha sana...... Press ya taasisi kama jeshi letu inatakiwa waje na jambo mahususi lenye impact Kwa jamii
Wao hayo hayawahusu Mkuu. Wanathamini zaidi mavazi kuliko mambo ya msingi. Yaani kwa akili zao hizo wako radhi kutetea sare na nembo zao kuliko hata lengo lao la msingi ambalo ni KULINDA MIPAKA YA NCHI IKIWEMO BANDARI, RELI, BARABARA KUU , VIWANJA VYA NDEGE n.k!Nimeshangaa sana jeshi kujikita kwenye biashara hadi za fremu, nchi za wenzetu majeshi yana idara za teknolojia na utafiti achilia mbali mambo ya silaha bali hata mambo mengineyo yanayohusisha sayansi na teknolojia. Nilitarajia jeshi liwe na idara iliyojikita kwenye uvumbuzi wa kiteknolojia na utafiti kwenye kilimo, mifugo, uvuvi, misitu, teknolojia za ujenzi, uchimbaji madini, gesi, mafuta, makaa ya mawe, vyombo vya moto, satellite/radar kwa ajili ya ulinzi, utafiti wa anga za juu nk.
Ili kuwezesha haya jeshi linatakiwa liwe na chuo chake cha sayansi na teknolojia ambapo watakuwa wanafundisha taaluma mbalimbali kwa vijana wenye ufaulu mkubwa ambao watakuwa recruited jeshini kuanzia kidato cha nne, kidato cha sita, na vyuo vikuu.
Kiwanda cha viatu wanacho, kipo pale kawe makao makuu ya JKT.Ajabu ni kuwa utakuta hawawezi hata kutengeneza viatu, nguo, kofia, mikanda, nk vya kuvaa wao wenyewe? Tena viatu wangeweza hata uzia raia na majeshi mengine, ya ndani na ya nje.
Hawa hapa sasa!!![emoji1787]JKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk
Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?
Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?
Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?
Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?
Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.
Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.
Nimeweka akiba ya manenoUnaogopa kipigo?
Usikariri kazi moja kama mnduku elewa neno kamaJKT wana clearing and forwarding company, wana kampunibya ulinzi, vituo vya mafuta, kampuni ya usafi , mabaa, kumbi za sherehe, na kampuni nyingine nyingi za kufyatua matofali, nk
Hivi kuna nchi gani ñyingine huko duniani ambayo jeshi lake badala ya kujikita kwenye tafiti za kisayansi na kiteknolojia inajikita kwenye biashara za kiraia?
Ugunduzi wa Internet na teknolojia nyingine nyingi umefanyika ndani ya majeshi. Sisi jeshi letu ambalo ni la sita duniani na halijawahi hata kujitengenezea kijiko cha kulia askari wake linafqnya biashara za kiraia ili ligundue nini?
Majeshi ya nchi nyingine yana vision za kusaidia nchi zao, jeshi letu hela zinazopatokana kwenye biashara zinaingia kwenye bajeti ipi wakati bajeti ya jeshi kwa asilimia 100 iko funded na serikali?
Zamani pale Kibaha kwa Mathias waliweza kubuni gari waliloliita NYUMBU. Ubunifu huo ulikomea wapi? Kwanini hamna muendelezo?
Haya yote ni matokeo ya jeshi kuwa la kisiasa zaidi badala ya kuwa taasisi inayojitegemea.
Bila kubadika jeshi letu litaendelea kujiita ni jeshi imara la sita duniani ili hali linatumia zana mtumba, teknolojia mtumba na akili mtumba.