Ushauri: Kafaulu lakini anataka kuolewa

Ahsante mkuu...! Nimeongea nae saana ila anaonyesha alichokiamua yy ni kuolewa tu....! Na mimi nimeamua kubariki apate haja ya moyo wake, ila changamoto kisheria ikoje kuozesha binti aliyefaulu 4m4

Sheria haizungumzii mwanafunzi, bali binti alite chini ya 18yrs...

Km ni over 18yrs hata km ni mwanafunzi anaweza olewa vzr tu.

Ndio maana mwanafunzi wa chuo over 18 anaweza zaa chuoni na akaendea na shule...
 
Siku hizi waganga wa jadi wanavuruga sana ndoto za mabinti wengi
 
Hapa nawaza labda kumshtaki na kumchukulia hatua yule kijana anayemdanganya, pengine inaweza kuleta unafuu
Usifanye hvo utatengeneza chuki Kati yako na mtoto Ako na bado akaendelea kukataa kwenda shule.au akatishia kufanya vitu vya ajabu......muache aolewe lakini mpe sharti la kusoma akiwa kweny ndoa......atajifunza maisha ni nin atajifunza maneno ya mkubwa hayadondoki!!!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wala mimi sitaki aje kujuta na mbariki kiroho safi, maana ni maisha yake aliyoamua kuyachagua
Wewe siyo mzazi wake hakuna mzazi mwenye Akili za kipunbavu hivi..

Wewe ndiye kijana unayenrubuni huyo binti umekuja huku kujua athari zake huko baadae..

Hakuna baba mzazi wa hivi hakkuna. Hayupo
 
Wewe ndiye muoaji hakuna mzazi mwenye akili ya hivi wa kuleta jambo hilo jf. labda kama huyo mzazi ana miaka 25 kitu ambacho ni impossible kuwa na mtoto wa miaka 18.
 
Wewe siyo mzazi wake hakuna mzazi mwenye Akili za kipunbavu hivi..

Wewe ndiye kijana unayenrubuni huyo binti umekuja huku kujua athari zake huko baadae..

Hakuna baba mzazi wa hivi hakkuna. Hayupo
Ww toa ushauri kulingana na thread mkuu
 
Wewe bado hujaelewa. Ukitaka kuelewa tafuta binti aliomaliza form IV kwa ufaulu mzuri, halafu nenda kwao kajitambulishe unataka kumuoa.

Hapo ndio utaelewa kwa nini watu wanakwambia wewe sio baba mzazi.
Ww toa ushauri kulingana na thread mkuu
 
tumia u mama wako,
mtoto anaanzaje kukataa kile unachomwambia??

ulimlea vibayahuyo , ukampa uhuru wa kupitiliza

siku alivyokuja kumtambulisha ulipaswa kumtimua kama kikojozi

kama kweli hutaki aolewe
muite huyo kijana na umwambie hutaki bint yako aolewe unataka asome na kama anampenda sana asubiri amalize shule
 
Mzee baba Kuna vitu viwili ambavyo huji kufanikiwa kushauri maishani mwako labda Kama unataka kutafuta matatizo mengine.

1: Mwanaume mwenye pesa huyu hata umuambie Nini Kama hajaamua aiseee utapoteza muda wako.

2:Mwanamke Alie penda broo ukikutana na mtu wa hivi chukua siti kaa pembeni endelea kunywa mtori [emoji1][emoji1] Hawa watu wanawakanaga na kuwatukana Hadi wazazi wao ...ukifosi jua una Karibia milango miwili kufunguliwa jela au mochwari
 
Chochote utachoamua kinaweza kukugeukia mbeleni
 
Mpeleke kwa mtu mwenye hekima amshauri. Ni ukuni tu umemkolea umemchanganya akili. Akitenganishwa na huyo jamaa akili itamkaa sawa atasoma tu
 
Bila shaka mapenzi/kujamiiana (ndoa) mazuri sana kuliko masomo.. mbariki tu aka enjoy sarakasi ndoani
 
Wewe ndiye muoaji hakuna mzazi mwenye akili ya hivi wa kuleta jambo hilo jf. labda kama huyo mzazi ana miaka 25 kitu ambacho ni impossible kuwa na mtoto wa miaka 18.
We mwamba salute kwako kwa kufika mbali kimaono. Jamaa ndio muoaji amekuja kusaka justifications, mana hata anavyoongea na kujibu watu anaonekana kijana na hawezi kuwa na binti wa umri huo. Mwambie atafungwa akichaguliwa!
 
usingefuatiliwa na kwa sababu umeyaleta hapa ndo utafuatiliwa sasa na lazima ufungwe jela jinga sana
 
Aelewe elimu ni ufunguo wa maisha ila ndoa sio ufunguo wa maisha. Aangalie wanaojuta kuolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…