Kabisa relationships are about sex, goals achia yanga 🤣🤣🤣🤣sasa si wako kwenye mahusiano au wao ni kaka na dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa relationships are about sex, goals achia yanga 🤣🤣🤣🤣sasa si wako kwenye mahusiano au wao ni kaka na dada
🤣🤣🤣🤣Aiseee....dunia sio fair kabisaNa ukimpata mtu anakupa vyote ujue unakaribia kufa😀😀
sasa jeKabisa relationships are about sex, goals achia yanga 🤣🤣🤣🤣
😀😀😀Kabisa relationships are about sex, goals achia yanga 🤣🤣🤣🤣
Duh shem anafaidi sana jamanisasa je
tuliaaaaaaaaaaaaaaaaaDuh shem anafaidi sana jamani
Hujawah ona mtu analia Kisa mapenz😀😀Eti huwa analia [emoji28]hii nchi ngumu
Mie nimetulia bwana kwanza naoaparikaje wkati mtu mwenyewe mie kibamia...dakika mbili chwa chwa chaliiiii 😀tuliaaaaaaaaaaaaaaaaa
😀😀😀😀Mie nimetulia bwana kwanza naoaparikaje wkati mtu mwenyewe mie kibamia...dakika mbili chwa chwa chaliiiii 😀
Unavyopewa ndio vimechukua huo mda wake so chagua upewe mda au vitu ni suala la kuamuaMimi nipo kwenye mahusiano na mwanaume yapata miaka mitatu, kabla sijamkubalia alikuwa muda mwingi tunawasiliana ila nilipoanza nae mahusiano tu alibadilika; akawa bize muda mwingi na akipata mapumziko atatumia kuangalia mpira tu...