Joja empire
Member
- Aug 29, 2023
- 7
- 12
- Thread starter
- #41
Uhwiiiiiiii bad adviceMroge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhwiiiiiiii bad adviceMroge
MuacheMimi nipo kwenye mahusiano na mwanaume yapata miaka mitatu, kabla sijamkubalia alikuwa muda mwingi tunawasiliana ila nilipoanza nae mahusiano tu alibadilika; akawa bize muda mwingi na akipata mapumziko atatumia kuangalia mpira tu.
Hatuishi mbali sana ila kuonana inaweza pita mwezi mzima hatujaonana anaishia kupiga video call tu. Kila nikichukua uamuzi wa kumuacha analia na kuomba nisimuache eti ananipenda sana! Kila ninachokiomba ananipa isipokuwa muda tu, sasa mi nashindwa kufurahia mahusiano yangu cjui nafanyaje 😭
Nimekuelewa asanteElewa tu kwamba kabla hajakupata alikuwa malaika sasa kashakupata huna pa kwenda haangaike na wewe ya nini![]()
Ni hivi wenginee sio watu wa kujali sana hawafanani Kama anakupa hela ana kuheshimu tulia muda unataka uufanyie nini tafuta marafiki huyo sio rafikio
Asante nimekuelewaElewa tu kwamba kabla hajakupata alikuwa malaika sasa kashakupata huna pa kwenda haangaike na wewe ya nini[emoji2]
Ni hivi wenginee sio watu wa kujali sana hawafanani Kama anakupa hela ana kuheshimu tulia muda unataka uufanyie nini tafuta marafiki huyo sio rafikio
Hamuonani mwezi?? Je anakunyandua fresh? Maana wengine hutumia kivuli cha demu ili aonekane ana mahusiano kumbe shoga kwahyo atakupa vyote kasoro muda na sex au atakupa sex dhaifu, kwahyo hapo akili kumkichwa, ila kama yupo fresh ubize ni jambo la kawaidaMimi nipo kwenye mahusiano na mwanaume yapata miaka mitatu, kabla sijamkubalia alikuwa muda mwingi tunawasiliana ila nilipoanza nae mahusiano tu alibadilika; akawa bize muda mwingi na akipata mapumziko atatumia kuangalia mpira tu.
Hatuishi mbali sana ila kuonana inaweza pita mwezi mzima hatujaonana anaishia kupiga video call tu. Kila nikichukua uamuzi wa kumuacha analia na kuomba nisimuache eti ananipenda sana! Kila ninachokiomba ananipa isipokuwa muda tu, sasa mi nashindwa kufurahia mahusiano yangu cjui nafanyaje [emoji24]
Sana aisee mwanaume unaanzaje kulia kisa umeambiwa tuachaneEti huwa analia [emoji28]hii nchi ngumu
Ko mkuu unataka kushuhulikia mzigo nini... hahahahaYaani mwenzio kaongea kwa mafumbo...hiyo kusema muda wake akimaanisha jamaa hamgegedi. Bibie anataka de libolo jamaa anaishia piga video call tuu
Nikipewa naigegeda tuuKo mkuu unataka kushuhulikia mzigo nini... hahahaha
Ndii,maana keshafanya yote,option ni kumuacha,ila inaonekana haweziUhwiiiiiiii bad advice
Nakazia.Unavyopewa ndio vimechukua huo mda wake so chagua upewe mda au vitu ni suala la kuamua
Mmmh una mawazo hasi, khaaahAtakuwa anapelekewa moto; wanaume halisi tuko wachache sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuu ila watu, woiiiihHamuonani mwezi?? Je anakunyandua fresh? Maana wengine hutumia kivuli cha demu ili aonekane ana mahusiano kumbe shoga kwahyo atakupa vyote kasoro muda na sex au atakupa sex dhaifu, kwahyo hapo akili kumkichwa, ila kama yupo fresh ubize ni jambo la kawaida
Achana naye ukaoje jasho la jiweMimi nipo kwenye mahusiano na mwanaume yapata miaka mitatu, kabla sijamkubalia alikuwa muda mwingi tunawasiliana ila nilipoanza nae mahusiano tu alibadilika; akawa bize muda mwingi na akipata mapumziko atatumia kuangalia mpira tu.
Hatuishi mbali sana ila kuonana inaweza pita mwezi mzima hatujaonana anaishia kupiga video call tu. Kila nikichukua uamuzi wa kumuacha analia na kuomba nisimuache eti ananipenda sana! Kila ninachokiomba ananipa isipokuwa muda tu, sasa mi nashindwa kufurahia mahusiano yangu cjui nafanyaje [emoji24]