Ushauri: Kila ninachoomba ananipa isipokuwa muda wake, nifanyeje?

Mimi nipo kwenye mahusiano na mwanaume yapata miaka mitatu, kabla sijamkubalia alikuwa muda mwingi tunawasiliana ila nilipoanza nae mahusiano tu alibadilika; akawa bize muda mwingi na akipata mapumziko atatumia kuangalia mpira tu...
Unavyopewa ndio vimechukua huo mda wake so chagua upewe mda au vitu ni suala la kuamua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…