Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Kwanza nikupongeze kwa kufikiria na kuamua kujiajiri,rafiki Yangu anafanya biashara hio na niliwahi kumuuliza akanijibu ni biashara nzuri sana ila faida yake ni ndogo sana na inahitaji mtaji mkubwa atlist 20 million.katon1 ya maji ina faida ya sh.200 tu na katon ya soda au juice ina faida hiohio ili uweze kupata faida lazima uuze atlist milioni 2 kwa siku na ili upate hio faida ya 200 lazima uletewe mzigo na gari ya kiwanda,ukikodi gari imekula kwako hutapata hiyo 200
 
Habari kwa muda mrefu nimekuwa natamani niafanye biashara ya vinywaj vikali kama Konyagi,k-vant,value heken yaani kifupi ni vya take away pasipo kuweka bear za chupa niuze jumla na rejareja natakiwa niwe na mtaji wa bei gan! , plz msaada kwa wenye ujuzi wa biashara hii.

Asante
 
Liquor store ya pombe kali inalipa sana ukipata maeneo yenye watu wengi na yaliozungukwa na bar au pub nyingi nyingi
 
Buashara ya Pombe ni 100% profit. Waislam ndiyo wafanyaji wakubwa wa biashara hii ingawa wao wengi wao si wanywaji
 
50m utaweza kujimudu, usisahau simba gin, shujaa, coffee spirit, shimha, na akina kitoko na banana.
 
Buashara ya Pombe ni 100% profit. Waislam ndiyo wafanyaji wakubwa wa biashara hii ingawa wao wengi wao si wanywaji
Unachokitafuta utakipata,ni wapi mleta mada amekuuliza dini za watu? Kulikua na umuhimu gani wa wewe kutaja dini ya wenzako? acha kujumuisha dini nzima kwa upuuzi wa wachache, jitafakari sana.
 
Si chini ya 1.7 million.
Mhhh hiyo labla kwa kigrocery.

Mie ninauzoefu kidogo na hii biashara kwa kuanzia mtaji angalau 10ml atafanya vyema zaidi, kumbuka kuna carton za whisky moja tu inazidi hadi 300k
 
Habari wanajamvi,

Nina mtaji wa sh 500,000 nawaza kufungua biashara ya kuuza soda na maji.

Mwenye uzoefu na biashara hii anipe experience yake.

Nataka kujua kama inalipa.

Ahsante!
 
Last edited by a moderator:
Upo maeneo gani. Huwezi kuanzisha Biashara Eti kisa Una Hela hata Uwe na Mamillioni kama Huna Business Plan Nzuri zitaisha Zote kwa hasara

Fanya Utafiti eneo lako kama Biashara ya Soda Na Maji inafanyika Au laaah . usije ukaiga tu kisa unaona wengine wanafanya.
 
Upo maeneo gani... Huwezi kuanzisha Biashara Eti kisa Una Hela hata Uwe na Mamillioni kama Huna Business Plan Nzuri zitaisha Zote kwa hasara

Fanya Utafiti eneo lako kama Biashara ya Soda Na Maji inafanyika Au laaah . usije ukaiga Tu kisa Unaona Wengine wanafanya
Nipo tabata but nawaza nifungue maeneo ya segerea stend
 
Back
Top Bottom