maguluashimba
Senior Member
- Sep 13, 2017
- 156
- 137
That's a crazy business, you will end up crying, forget about it.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mkuu bora kufungua sehemu ya kuuza mbogamboga, nyanya, vitunguu, matunda, n.k kuliko hii biasharaIyo biashara iyo tafuta sehemu yenye mzunguko mkubwa ndo utaiweza na kama utajitahidi usiuze vinywaj pekee uza bidhaa zote za azam au mo la sivyo loss, haina faida kabisa kile kitin cha maji faida yake mia mbili,
Nina milion 5naweza fungua duka la jumla la vinywaji baridi soda juice maji
Vip faida yake na changa moto zake
Vip kuhusu ntawezaje kununua kwa bei nafu ili niwauzie bei sawa na zinazouzwa na haya magari yanayo tembeza
Punguza kodi, na usitegemee kodi ndo iendeshe maisha yako ya kila sikuNishajaribu hiyo, wengine wanashindwa na inapokuja mda wa kodi inakua kutaftana! Nachokihitaji ni kama thread inavyojieleza kwa sasa.
Akhsante kwa kuliona hiloGlossary....
Vs
Grocery...
Umeelewa nachokitafuta lakini!? Mengine ni upeo wa mawazo yako!Punguza kodi, na usitegemee kodi ndo iendeshe maisha yako ya kila siku