Mwenge karibu na kilipokuwa kituo cha zamani...
Ukimaliza tu stendi ya zamani kama unaelekea Nakiete kuna jamaa wanauza bidhaa za Cocacola kwa jumla...
Nadhani pia kiwanda cha Cocacola huwa kinauzia watu bidhaa zake kwa wale mnaotaka kwa jumla kama wewe na hukodisha/hutoa viti, meza na miamvuli...
Ahsante ninatakiwa kwenda kiwandani moja kwa moja ama kuna hatua za kufuata?
On their way coming ...
On their way coming ...
Ni pmHabari wakuu!!
Naombeni msaada tafadhali wa kufahamu kuhusu hii biashara hususani ni process zipi za kufuatilia kwenye makampuni haya ya bia?
Na pia wanahitaji nin hasa ili kumpatia mtu kua agent eneo fulani?..na mwisho nitapendelea kujua faida na changamoto za biashara hii.
Natanguliza shukrani za dhati
Asanteni sana!
Ni pm
Ki vipi ?Watu aina yako mnabore.
tafuta biashara ya halali mkuu hiyo biashara itakufanya ufe masikiniHabari wakuu!!
Naombeni msaada tafadhali wa kufahamu kuhusu hii biashara hususani ni process zipi za kufuatilia kwenye makampuni haya ya bia?
Na pia wanahitaji nin hasa ili kumpatia mtu kua agent eneo fulani?..na mwisho nitapendelea kujua faida na changamoto za biashara hii.
Natanguliza shukrani za dhati
Asanteni sana!
Weka mambo hadharani kwa faida ya wengiNi pm
Mungu amekataza ulevi na kamari hizo ni amali za shetani ndugu zangu,hakika Mungu anatupenda na atusamehe sana!Kwani hyo cyo halali inlipa cret ya bia rejrej yenywe faid 8000 kwa cret 1
Unataka ufanye biashara ya jumla au bar/grocery?Habari za muda huu, naombeni ushauri nataka kufanya biashara ya vinywaji vikali, nipeni uzoefu
Mmi Niko mbeya,Sema ulipo basi maana kuna sehemu zingine unaweza ukashindwa ku wine mfano, Kondoa, Mikindani, Zanzibar, Ujiji and the like.
Hiyo biashara ni nzuri sana na inawateja wazuri (si unajua ndio wanategemewa kwenye pato la nchi). Cha muhimu uwe makini hasa kukopesha wengi wanaokopa pombe huwa hawalipi. Pia uwe na choo safi, uwe MSIRI usiwe mdomo wazi. Uwe na vipozeo kama uko sehemu za joto. mwisho uweke wahudumu waliosomea masuala ya hotel sio utafute cheep labour ambao hata kufungua wine au vodka ana shindwa
Kimsingi kipaombele ni vya jumla, sasa kati ya vya jumla na reja reja ni kipi kinalipa sana?Unataka ufanye biashara ya jumla au bar/grocery?