Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Mkuu kwa ujumla wake faida inaonekana au ndio yaleyale
 
Kubwa na la muhimu kuwa msimamizi wa biashara yako.

love thé love or hâte thé love.....
 
Umeandika yote sawa ila umesahau moja
11. Tafuta wahudumu wenye chura za kutosha.
 
Mkuu kati ya watu weledi wasio wachoyo wa mawazo ambao nimewahi kukutana nao naweza kudeclare leo nimeongeza mmoja muhimu. Stay blessed mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakikisha baada ya mwezi, unaingiza mzigo mpya wa wahudumu wenye sifa ulizotaja na wengine wawe tayari kwenda the extra mile na wateja wao!
 
Habari Jf, naomba kuelekezwa haya kuhusiana na biashara ya kuuza soda za jumla


Ni mtaji kiasi gani unahitajika ili niweze kufungua biashara hii ya kuuza soda kwa jumla?

Depot hii nahitaji iwe ya kawaida, yaani kiwango cha chini kabisa nitenge kiwango gani cha milions
Lakini pia, ningependa kufahamu ni changamoto, faida na hasara katika biashara hii

Hatua zipi nahitaji kuzipitia niweze kuunganishwa na makampuni ya soda eg pepsi

Chupa na kreti nazipata vp and kwa kuanzia natakiwa niwe na mzigo wa kreti ngapi?
 
Kuna Uzi upo humu was hayo mambo utafute

Mpe anae kupa
 
Wakuu naomba kuunganishwa na wadau wanaofanya kazi katika kampuni za vinywaji baridi (non alcohol) kama vile mo, azam, Sayona, Masafi, Afya,

Pia naomba kama mtu anauzoefu na biashara husika aniambie magumu na mazur yaliyoko kwa hiyo biashara tajwa hapo juu
 
Iyo biashara iyo tafuta sehemu yenye mzunguko mkubwa ndo utaiweza na kama utajitahidi usiuze vinywaj pekee uza bidhaa zote za azam au mo la sivyo loss, haina faida kabisa kile kitin cha maji faida yake mia mbili,
 
Iyo biashara iyo tafuta sehemu yenye mzunguko mkubwa ndo utaiweza na kama utajitahidi usiuze vinywaj pekee uza bidhaa zote za azam au mo la sivyo loss, haina faida kabisa kile kitin cha maji faida yake mia mbili,
Well said mi nilifanyaga utafiti nikaligundua hilo, usione MTU kazungukwa vinywaji ukafikiri anapiga hela kumbee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…