Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umeongea point mkuu,nipe idear nyngine bslNaona kama faida yake ndogo, maana faida ya kreti ya soda ni Tsh 2000 na maji ni 1500 sasa ili upate faida angalau Tsh 10000,inakubidi uuze kreti 5 sawa na soda 120, biashara ngumu.
Duuh nashkur bas nipe idear tofaut n hii mkuu...Hiyo biashara ni ya watu wavivu, afu hamna hela humo.
[emoji102] [emoji102] kama ndio hivyo bora juicelNaona kama faida yake ndogo, maana faida ya kreti ya soda ni Tsh 2000 na maji ni 1500 sasa ili upate faida angalau Tsh 10000,inakubidi uuze kreti 5 sawa na soda 120, biashara ngumu.
Nunua laptop ya laki 3, laki moja ifanye working capital na laki moja nyingine ifanye capital employed kwenye forex trading hautojutia.Habar wanajamvi
Nina mtaji wa sh 500,000 nawaza kufungua biashara ya kuuza soda na maji.
Mwenye uzoefu na biashara hii anipe experience yake.
Nataka kujua kama inalipa.
Ahsante!
Naomba unielekeze dear hiyo kitu ni pm basiNunua laptop ya laki 3, laki moja ifanye working capital na laki moja nyingine ifanye capital employed kwenye forex trading hautojutia.
Forex Beginner.
Hii ni biashara ya kuuza na kununua fedha za kigeni .mimi ni beginner wa hii kitu na naendelea na kusoma vitabu mbalimbali naomba nicheck kwa text 0656673083 jitambulishe vizuri ukituma text yako.Naomba unielekeze dear hiyo kitu ni pm basi
https://www.facebook.com/BrightForexTanzaniainstitutes/ KARIBU kwa maelezo zaidiNaomba unielekeze dear hiyo kitu ni pm basi
karibu https://www.facebook.com/BrightForexTanzaniainstitutes/Hii ni biashara ya kuuza na kununua fedha za kigeni .mimi ni beginner wa hii kitu na naendelea na kusoma vitabu mbalimbali naomba nicheck kwa text 0656673083 jitambulishe vizuri ukituma text yako.
Forex Beginner.
Usije ukathubutu kuanza forex na hela yako tegemezi utalia.n biashara hatar haifai kwa mtu kuanza kama main businessNaomba unielekeze dear hiyo kitu ni pm basi
Uza biaHabar wanajamvi
Nina mtaji wa sh 500,000 nawaza kufungua biashara ya kuuza soda na maji.
Mwenye uzoefu na biashara hii anipe experience yake.
Nataka kujua kama inalipa.
Ahsante!