Mtafutaji80
Member
- Mar 24, 2018
- 34
- 0
Sawa mkuu wewe ni mwenyeji wa huko ili unipe ushirikiano ?Songea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu wewe ni mwenyeji wa huko ili unipe ushirikiano ?Songea
Kwa Dar ni maeneo Gani zaidi ,ni mazuri kibiashara Na unafuu wa gharama za upangishaji fremRiziki popote. Ila Dar panalipa zaidi. Hasa ujue kushona vile visuruali vya kubana bana kama anavyovaaga Diamond. utapiga pesa.
ukishona moja tu watakufuata hata chanika..... shona za wa mamaKwa Dar ni maeneo Gani zaidi ,ni mazuri kibiashara Na unafuu wa gharama za upangishaji frem
Nashkuru mkuu kwa ushauri wakoukishona moja tu watakufuata hata chanika..... shona za wa mama
Kweli mkuu ngoja nijipange nipate kiofisi hapa town nipambane Na maisha si unajua nimetokea mkoa so ndio nasoma mazingira ya town kwanzaBiashara ya kushona kwa sasa ina nguvu ukiangalia mitindo ya nguo sasa hivi wengi wanavaa nguo za kushona hivyo ukiwa fundi mzuri wa kushona popote unafanya biashara
cha umuhimu uvumilivu jipe mwaka mmoja wa uvumilivu yani usitegemee kikubwa ndani ya mwaka mmoja kujenga jina kazi kwaiyo uvumiluvu mzuri, pia uwaminifu ukizingatia hayo unatoboaKweli mkuu ngoja nijipange nipate kiofisi hapa town nipambane Na maisha si unajua nimetokea mkoa so ndio nasoma mazingira ya town kwanza
Exactly, nashkuru mkuucha umuhimu uvumilivu jipe mwaka mmoja wa uvumilivu yani usitegemee kikubwa ndani ya mwaka mmoja kujenga jina kazi kwaiyo uvumiluvu mzuri, pia uwaminifu ukizingatia hayo unatoboa
Sinza kwa wajanja.Kwa Dar ni maeneo Gani zaidi ,ni mazuri kibiashara Na unafuu wa gharama za upangishaji frem
Chato na kolomijeHabarini Wana jamvi ,nataka kujua mkoa ama wilaya hapa Tanzania kwamba nikiwekeza biashara ya ushonaji nguo nitapiga hela
Kweli kabisa kule nitawashonea wazazi wa wakubwaChato na kolomije
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli kabisa kule nitawashonea wazazi wa wakubwa
Habarini Wana jamvi ,nataka kujua mkoa ama wilaya hapa Tanzania kwamba nikiwekeza biashara ya ushonaji nguo nitapiga hela
[emoji106][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]