Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,492
- 2,361
Wewe ni fund na uko mkoa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni fund na uko mkoa gani?
Shahada ya biashara katika fedhahaina shida mkuu, unachukua fani gani?
Ushonaji Ni hobby yangu...Unasomea ushonaji?
Vizuri,ukija huku itabidi uwe mshonaji tu na uwe na uwezo wa kutengeneza 150pc kwa mwezi ;si unajua sekta binafsi tunapenda sana 'output with zero defect'?
Najua,,,, I'll try my level best...nitakuja mkuu na kufanya Kaz kwa bidiiVizuri,ukija huku itabidi uwe mshonaji tu na uwe na uwezo wa kutengeneza 150pc kwa mwezi ;si unajua sekta binafsi tunapenda sana 'output with zero defect'?
uko mkoa gani mkuu kama hutojali niambie pia unataka kufungua biashara ili nikuunganisheWanazengo, Mimi nilikuwa na shida ya fundi cherehani/ nguo. Wapi naweza kuwapata au Kama mtu anaweza niunganisha na mmoja?
Hizo lebo za nguo unataka zenye logo yako au zenye size tu?
Ndio mkuu ila nawaza kushawishi watu wengine tuunganeFundi niwewe mwenyewe?
Mrejesho tafadhali. Ulifanikiwa? Kama ulifanikiwa, tunaomba utuwekee bei ya hivyo vitu na wapi ulinunulia?Wakuu natumaini kwema,
Nina ndoto yangu ya kujihusisha na ushonaji mapema mwakani. Nina uhitaji wa mtaalamu anayeifahamu hii biashara vizuri anielekeze machache kabla kuingia kwenye risk.
Pia natanguliza shukrani kwa anaejua upatikanaji wa hizi mashine kwa maana ya aina na model zake;
1. Overlock machine
2. Straight machine
3. Flat lock machine
4. Hand knitting machine for sweaters
5. Tshirt printing machine (digital)
6. Embroidery machine
7. Fabric cutting machine
8. Button hole machine
9. Button attach machine
Nashukuruni sana.
Kwa mawasiliano namba ni 0757528827
Njoo PMMrejesho tafadhali. Ulifanikiwa? Kama ulifanikiwa, tunaomba utuwekee bei ya hivyo vitu na wapi ulinunulia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hapa, mambo ya kwenda Pm ni ubinafsi maana hata mada yako uliweka hapaNjoo
Njoo PM