Ushauri: Kuongeza Tax base, Rais na Wabunge walipe Kodi

Ushauri: Kuongeza Tax base, Rais na Wabunge walipe Kodi

Ni Kweli,

Numbers don't lie,

Rais na wasaidizi wake na wabunge na high ranking Government officers ni kundi dogo lisilolipa Kodi ila ndilo litumialo pesa za umma Kwa ukubwa sana kuliko walimu wote nchini ambao ni 150,000+

Numbers don't lie!!
hapa sasa umeanza kunishawishi kwa numbers
 
Inabidi vyote kwa pamoja vifanyike. Kodi ni lazima iwe jumuishi hata hao viongozi waone umuhimu wa kupitisha sera zinazokuza uchumi.

Vinginenvyo huwezi kuwa unamtungia mtu kitu ambacho wewe hakikugusi. Kila mtu alipe kodi, kama kunufaika wanamalupulupu mengi hakuna anayepinga kwa kiongozi kupewa.

Milioni 360 haiwezi kuwa hela ndogo kamwe. Hizo fedha zikielekezwa sehemu moja zinaenda kuleta mabadiliko makubwa na kuacha alama.
Sijasema milioni 360 ni hela ndogo. Comprehemsion please.

Nimesema milioni 360 ni hela ndogo katika hesabu za kuendesha nchi.

Ukiwa fixated kwenye kuwabana wabunge walipe kodi na viongozi wasitumie vibaya fedha bila ya kuwa na mpango mzuri wa kuongeza ufanisi katika uchumi mkubwa, hizo fedha utakazoziokoa kwa viongozi zitapotea tena tu, kwa sababu huna mpango wa kuongeza ufanisi na uzalishaji in the larger econony.

Kuna nchi zina viongozi wana matumizi mabaya sana ya pesa, wengine wamehalalisha hilo kama.sehemu ya usalama, lakini chumi zao haziyumbi, kwa nini? Kwa sababu uzalishaji ni mkubwa, unafunika hayo matumizi mabaya. Mlipa kodi mmoja au wachache tu kodi zao zinalipia gharama za Ikulu na bunge lote.

Sasa katika dunia hiyo, ukiwa fixated kwenye kubana matumizi ya viongozi, which is a right thing to do, but not the primary problem, naweza kuelewa kuwa it is the human thing to do, unataka fairness, but it is not the primary economic thing to do.

Economy is about priorities, the problemmof choice, how to allocate resources, what to start, what to do second, etc,.

Hizo hela unazoziokoa unatakiwa kuwa na mpango mzuri wa kuzitumia, ama sivyo utaziokoa zisipotezwe na mbunge zikaenda kupotezwa na mkuu wa wilaya.
 
Sijasema milioni 360 ni hela ndogo. Comprehemsion please.

Nimesema milioni 360 ni hela ndogo katika hesabu za kuendesha nchi.

Ukiwa fixated kwenye kuwabana wabunge walipe kodi na viongozi wasitumie vibaya fedha bila ya kuwa na mpango mzuri wa kuongeza ufanisi katika uchumi mkubwa, hizo fedha utakazoziokoa kwa viongozi zitapotea tena tu, kwa sababu huna mpango wa kuongeza ufanisi na uzalishaji in the larger econony.

Kuna nchi zina viongozi wana matumizi mabaya sana ya pesa, wengine wamehalalisha hilo kama.sehemu ya usalama, lakini chumi zao haziyumbi, kwa nini? Kwa sababu uzalishaji ni mkubwa, unafunika hayo matumizi mabaya. Mlipa kodi mmoja au wachache tu kodi zao zinalipia gharama za Ikulu na bunge lote.

Sasa katika dunia hiyo, ukiwa fixated kwenye kubana matumizi ya viongozi, which is a right thing to do, but not the primary problem, naweza kuelewa kuwa it is the human thing to do, unataka fairness, but it is not the primary economic thing to do.

Economy is about priorities, the problemmof choice, how to allocate resources, what to start, what to do second, etc,.

Hizo hela unazoziokoa unatakiwa kuwa na mpango mzuri wa kuzitumia, ama sivyo utaziokoa zisipotezwe na mbunge zikaenda kupotezwa na mkuu wa wilaya.
Ukitaka kujua ukiwabana watu fedha zinaonekana angalia awamu ya jiwe. Njaa inaleta nidhamu pia watu walizingatia sana kazi na kufanya mambo ya msingi hasa kuongeza ufanisi.
 
Ukitaka kujua ukiwabana watu fedha zinaonekana angalia awamu ya jiwe. Njaa inaleta nidhamu pia watu walizingatia sana kazi na kufanya mambo ya msingi hasa kuongeza ufanisi.
Fedha zitaonekana hilo ni moja, lakini zitatumika kwa ufanisi? Hilo ni tatizo tofauti.

Mimi sikatai fedha zitaonekana. Lakini nasema hilo halitoshi, inabidi uwe na mpango nzuri wa kutumia hizo fedha kwa ufanisi.

Na ninasema huo mpango wa kutumia fedha kwa ufanisi ni muhinu iwepo kwanza, kabla hata hujaokoa hizo fedha.

Waswahili walisema "Mali bila daftari, hupotea bila habari".
 
Na yale marupurupu je? Posho ya kikao, posho ya kujikimu, kiinua mgongo etc etc ?
Kwanza kabisa tulikuwa tunasawazisha ukweli kwenye hoja ya kwamba wabunge hawalipi kodi.

Tumeona kwenye mshahara, kwa mujibu wa Kibajaji, wabunge wanalipa kodi kwa asilimia 26. Kibajaji kasema analipwa milioni 4.6, analipa kodi milioni 1.2.

Kwa hivyo hilo la "wabunge hawalipi kodi" kiujumla tumelimaliza. Wanalipa.

Kwenye marupurupu, marupurupu yapo complex. Hata mimi nishawahi kulipwa marupurupu yasiyotozwa kodi, Marekani, nchi inayotoza kodi sana. Kwa hiyo hilo si suala la wabunge wa Tanzania tu.
 
Kwanza kabisa tulikuwa tunasawazisha ukweli kwenye hoja ya kwamba wabunge hawalipi kodi.

Tumeona kwenye mshahara, kwa mujibu wa Kibajaji, wabunge wanalipa kodi kwa asilimia 26. Kibajaji kasema analipwa milioni 4.6, analipa kodi milioni 1.2.

Kwa hivyo hilo la "wabunge hawalipi kodi" kiujumla tumelimaliza. Wanalipa.

Kwenye marupurupu, marupurupu yapo complex. Hata mimi nishawahi kulipwa marupurupu yasiyotozwa kodi, Marekani, nchi inayotoza kodi sana. Kwa hiyo hilo si suala la wabunge wa Tanzania tu.
Wabunge hawalipi Kodi.

Mshahara wa mbunge sasa ni ml 18 Kwa mwezi.

Ml 4 pekee kati ya ml 18 ndiyo inakatwa Kodi. Ml 14 ambayo ni posho na marupurupu ambayo ni mengi kuliko mshahara, hayakatwi Kodi.

Karibu 🙏
 
Wabunge hawalipi Kodi.

Mshahara wa mbunge sasa ni ml 18 Kwa mwezi.

Ml 4 pekee kati ya ml 18 ndiyo inakatwa Kodi. Ml 14 ambayo ni posho na marupurupu ambayo ni mengi kuliko mshahara, hayakatwi Kodi.

Karibu 🙏
Hapa umeweka statement mbili tofauti, hawalipi kodi na wanalipa kodi.

Nyoosha maelezo kwanza.
 
Fedha zitaonekana hilo ni moja, lakini zitatumika kwa ufanisi? Hilo ni tatizo tofauti.

Mimi sikatai fedha zitaonekana. Lakini nasema hilo halitoshi, inabidi uwe na mpango nzuri wa kutumia hizo fedha kwa ufanisi.

Na ninasema huo mpango wa kutumia fedha kwa ufanisi ni muhinu iwepo kwanza, kabla hata hujaokoa hizo fedha.

Waswahili walisema "Mali bila daftari, hupotea bila habari".
Matumizi sahihi yatatokea endapo kuna usimamizi mzuri wa rasilimali fedha. Project ni nyingi sana ila fedha za mradi huujumiww
 
Wanakwepa Kodi. Hawalipi.
Sasa mbona wewe mwenyewe tena umesema "Ml 4 pekee kati ya ml 18 ndiyo inakatwa Kodi.".

Haiwezekani iwe wanalipa kodi kwenye milioni 4 halafu hapo hapo hawalipi kodi.

Nyoosha maelezo.
 
Matumizi sahihi yatatokea endapo kuna usimamizi mzuri wa rasilimali fedha. Project ni nyingi sana ila fedha za mradi huujumiww
Unaweza kuwa na usimamizi mzuri wa rasilimali fedha bila ya kuwa na matumizi sahihi.

Hivi ni vitu viwili tofauti.

Yani ni hivi, unaweza kudhibiti matumizi mabaya yaliyopo yasiendelee, halafu usiwe na matumizi mazuri, yakatungwa matumizi mabaya mapya.

Kwa sababu huna matumizi mazuri.
 
Salaam, Shalom!!

Akiongelea Suala la Kodi, Mh Rais amesema kuwa tax Base ya nchini petu ni chini ya milioni mbili.

Hili limefika hapa Kwa sababu nyingi ambazo tumekkuwa tukizipigia kelele Kila kukicha,

Kwa kuwa kiongozi wetu amedhamiria kuongeza Tax base Ili wengi zaidi wapate hamasa ya kulipa Kodi, ninamshauri yafuatayo:

1. Kiongozi wetu Mh Rais SSH aelekeze hazina Ili mshahara wake utajwe hadharani na ukatwe Kodi na posho zote zikatwe Kodi.

2. Wabunge mishahara Yao ukatwe Kodi na posho zao zikatwe Kodi.

Si vyema watunga Sheria na sera za Kodi nchini wasamehewe kulipa Kodi ilhali viongozi wa juu Wachache hawalipi Kodi, hii Si HAKI.

Yakifanyika hayo, wote tutakuwa sawa mbele ya Sheria na tulipe Kodi na wote tuhisi uchungu wa kulipa Kodi Ili pia tuzisimamie vizuri.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏

wao ni halali kula kutokana na kodi za watu wengine. Ukimsikiliza Rais, anatamani kuona mambo yanakuwa mazuri. mambo yanakuwa tofauti.
Kitu kinachosumbua ni nidhamu ya watumishi na wasaidizi wake katika kuhakikisha wanatekeleza wajibu wao kama sheria inavyotaka.
Hata wizi na ubabaishaji wa kukusanya kodi, ni moja ya matukio ya kihalifu yanayofanywa ndani kwa ndani ya utaratibu wenyewe.
 
Sasa mbona wewe mwenyewe tena umesema "Ml 4 pekee kati ya ml 18 ndiyo inakatwa Kodi.".

Haiwezekani iwe wanalipa kodi kwenye milioni 4 halafu hapo hapo hawalipi kodi.

Nyoosha maelezo.
Kulipa kiduchu isivyostahili ni ukwepaji Kodi, hivyo ni sawa tu na kutolipa.

Kinachotakiwa marupurupu yote yaunge na mshahara Kisha ukatwe Kodi kwenye 18 ml, sio ml 4 pekee.
 
Unaweza kuwa na usimamizi mzuri wa rasilimali fedha bila ya kuwa na matumizi sahihi.

Hivi ni vitu viwili tofauti.

Yani ni hivi, unaweza kudhibiti matumizi mabaya yaliyopo yasiendelee, halafu usiwe na matumizi mazuri, yakatungwa matumizi mabaya mapya.

Kwa sababu huna matumizi mazuri.

Kuna kitu hakiko sawa na kwa bahati mbaya, tumekuwa waongeaji zaidi kuliko watekelezaji. Rais aanze kuonyesha mfano, wale wanaozingua katika kukusanya kodi na wale wanaotumia vibaya rasilimali za umma.
 
Kulipa kiduchu isivyostahili ni ukwepaji Kodi, hivyo ni sawa tu na kutolipa.

Kinachotakiwa marupurupu yote yaunge na mshahara Kisha ukatwe Kodi kwenye 18 ml, sio ml 4 pekee.

Kulipa kodi kunatakiwa kuwa kisheria na sio kwa mihemko na kutunga kodi zisizokuwepo. Hii base ya tax payer inaweza kabisa kukua kama namna ya kuijenga itabadilika.
 
Kulipa kiduchu isivyostahili ni ukwelaji Kodi, hivyo ni sawa tu na kutolipa.

Kinachotakiwa marupurupu yote yaunge na mshahara Kisha ukatwe Kodi kwenye 18 ml, sio ml 4 pekee.
Sina nia ya kuwa mtetezi wa wabunge.

Lakini, awali kabisa, kulipa sehemu ya unachotakiwa kulipa si sawa na kutolipa kabisa.

Miliini 4.6 wanayoilipia kodi wabunge ni sawa na 25% ya milioni 18 unayosema wanalipwa.

Sema wabunge wanalipia kodi 25% tu ya mapato yao, usiseme hawalipi kodi.
 
Kuna kitu hakiko sawa na kwa bahati mbaya, tumekuwa waongeaji zaidi kuliko watekelezaji. Rais aanze kuonyesha mfano, wale wanaozingua katika kukusanya kodi na wale wanaotumia vibaya rasilimali za umma.
Hizi habari za "rais aanze kuonesha mfano" tulishazipita tangu miaka ya 1960s huko.

Wanafunzi wa Chuo Kikuu walimlalamikia Nyerere, Nyerere kwa hasira akapunguza mshahara wake.

Lakini hilo lilitusaidia nini kikubwa? Halikutusaidia sana. It was a symbolic thing to do.

Kwa sababu hakukuwa na utaratibu wa kujipanga kuongeza ufanisi kwenye uchumi mkubwa zaidi.

So, essentially, if we are refocused on that whoke leaders nust pay tgeir taxes, without a larger strategy, we are asking the leadership to do the same thing again.
 
Angeweka kiasi kisichoumiza kwa kila mtu watu wasingefanya jitihada kukwepa kulipa. Pili,kuwe na matumizi sahihi ya kodi,kila mtu angekuwa anaona kodi yake inavyomsaidia angekuwa responsible, sio sasa hivi kila kitu kinaishia kwenye ufisadi.
 
Back
Top Bottom