Sasa hao Si watoto WADOGO kwamba wasamehewe Kodi ilhali mkulima analipishwa Kodi 100% ya mapato yake ilhali mbunge alipe 25% tu ya mapato yake.Sina nia ya kuwa mtetezi wa wabunge.
Lakini, awali kabisa, kulipa sehemu ya unachotakiwa kulipa si sawa na kutolipa kabisa.
Miliini 4.6 wanayoilipia kodi wabunge ni sawa na 25% ya milioni 18 unayosema wanalipwa.
Sema wabunge wanalipia kodi 25% tu ya mapato yao, usiseme hawalipi kodi.
Kwanza kabisa, umekubali wabunge wanalipia kodi kipato chao kwa angalau 25%, kama kweli wanalipwa marupurupu yanayofanya kipato chao kufikia 18 milioni, na si kweli kwamba hawalipi kodi?Sasa hao Si watoto WADOGO kwamba wasamehewe Kodi ilhali mkulima analipishwa Kodi 100% ya mapato yake ilhali mbunge alipe 25% tu ya mapato yake.
Hivyo Kwakuwa hiyo 25% ya mapato Yao yaani 4ml kati ya ml 18 inayokatwa Kodi Kwakuwa ni kinyume na Utaratibu na HAKI, hao hawalipi Kodi.
Twende Kwa Rais, Yeye ndo sent Tano ya Kodi halipi!
Kwann?
I agree with you mkuu.Tatizo sio Makusanyo, Kodi tunalipa na wengi wanakamuliwa even beyond their means...., Issue ya muhimu kabisa ni matumizi ya hio Kodi hakuna Value for Money..., Kama watu wangeona Kodi zao zinatumika ipasavyo na hazivujwi basi wangekuwa hata wanakumbushia iwapo wakisahaulika...
Kwa kuwa ,Kwanza kabisa, umekubali wabunge wanalipia kodi kipato chao kwa angalau 25%, kama kweli wanalipwa marupurupu yanayofanya kipato chao kufikia 18 milioni, na si kweli kwamba hawalipi kodi?
Mkuu embu elezea...Family boundaries tax@ student 0.03% of total year fees for EM schools students and pupils.
Tuweke mipaka ya wanafunzi wanaosoma shule za binafsi kwa kutoza kodi ya ada kwa kila mwanafunzi kwa % 0.03 ya ada ya mwanafunzi kwa mwaka ili ata mawaziri wakiona ninyingi waboreshe shule za ummaMkuu embu elezea...
Wazo Zuri.Tuweke mipaka ya wanafunzi wanaosoma shule za binafsi kwa kutoza kodi ya ada kwa kila mwanafunzi kwa % 0.03 ya ada ya mwanafunzi kwa mwaka ili ata mawaziri wakiona ninyingi waboreshe shule za umma
Ukisema kuwa wabunge hawalipi kodi na ukisema wabunge hawalipi kodi kwa kiasi kikubwa cha kipato chao, hizo ni statements mbili tofauti.Kwa kuwa ,
Kuhamishia kipato kikubwa Cha mapato Yao kifikiacho ml 14 kati ya ml 18 ni Hila Ili kukwepa Kodi,
Wabunge hawalipi Kodi.
Wote wanatakiwa kuhesabiwa sawa mbele ya Sheria.
Hizi habari za "rais aanze kuonesha mfano" tulishazipita tangu miaka ya 1960s huko.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu walimlalamikia Nyerere, Nyerere kwa hasira akapunguza mshahara wake.
Lakini hilo lilitusaidia nini kikubwa? Halikutusaidia sana. It was a symbolic thing to do.
Kwa sababu hakukuwa na utaratibu wa kujipanga kuongeza ufanisi kwenye uchumi mkubwa zaidi.
So, essentially, if we are refocused on that whoke leaders nust pay tgeir taxes, without a larger strategy, we are asking the leadership to do the same thing again.
Watu wengi wana focus kwenye mambo ya juu juu, hawaangalii matatizo ya msingi.Unashauri nini kifanyike ili mambo yawe tofauti, ukizingatia hali halisi ilivyo?
Haki inaenda na wajibu, kila mwananchi walipe kodi lkn serikali ifanye wajibu wa matumizi sahihi ya kodi. 1. Kununua magari ya bei ya kawaida km hardtop na hilux kwa wakuu wa mikoa na wakurugenzi mpaka mawaziri. Mashangingi iwe kwa Rais, makamu wa Rais, na waziri mkuu. 2. Report ya CAG ifanyiwe kazi, ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa hatua wezi wa kodi zetu.Salaam, Shalom!!
Akiongelea Suala la Kodi, Mh Rais amesema kuwa tax Base ya nchini petu ni chini ya milioni mbili.
Hili limefika hapa Kwa sababu nyingi ambazo tumekkuwa tukizipigia kelele Kila kukicha,
Kwa kuwa kiongozi wetu amedhamiria kuongeza Tax base Ili wengi zaidi wapate hamasa ya kulipa Kodi, ninamshauri yafuatayo:
1. Kiongozi wetu Mh Rais SSH aelekeze hazina Ili mshahara wake utajwe hadharani na ukatwe Kodi na posho zote zikatwe Kodi.
2. Wabunge mishahara Yao ukatwe Kodi na posho zao zikatwe Kodi.
Si vyema watunga Sheria na sera za Kodi nchini wasamehewe kulipa Kodi ilhali viongozi wa juu Wachache hawalipi Kodi, hii Si HAKI.
Yakifanyika hayo, wote tutakuwa sawa mbele ya Sheria na tulipe Kodi na wote tuhisi uchungu wa kulipa Kodi Ili pia tuzisimamie vizuri.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA ๐น๐ฟ
Karibuni ๐
Sasa wewe unaona ni Haki wakwepa Kodi na wezi wa Kodi kuchukuliwa hatua ilhali Rais na Wabunge hawalipi na wanakwepa Kodi?Haki inaenda na wajibu, kila mwananchi walipe kodi lkn serikali ifanye wajibu wa matumizi sahihi ya kodi. 1. Kununua magari ya bei ya kawaida km hardtop na hilux kwa wakuu wa mikoa na wakurugenzi mpaka mawaziri. Mashangingi iwe kwa Rais, makamu wa Rais, na waziri mkuu. 2. Report ya CAG ifanyiwe kazi, ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa hatua wezi wa kodi zetu.
Ina maana hawalipi hata witholding tax?Salaam, Shalom!!
Akiongelea Suala la Kodi, Mh Rais amesema kuwa tax Base ya nchini petu ni chini ya milioni mbili.
Hili limefika hapa Kwa sababu nyingi ambazo tumekuwa tukizipigia kelele Kila kukicha,
Kwa kuwa kiongozi wetu amedhamiria kuongeza Tax base Ili wengi zaidi wapate hamasa ya kulipa Kodi, ninamshauri yafuatayo:
1. Kiongozi wetu Mh Rais SSH aelekeze hazina Ili mshahara wake utajwe hadharani na ukatwe Kodi na posho zote zikatwe Kodi.
2. Wabunge mishahara Yao ikatwe Kodi na posho zao zikatwe Kodi.
Si vyema watunga Sheria na sera za Kodi nchini wasamehewe kulipa Kodi ilhali viongozi wa juu Wachache hawalipi Kodi, hii Si HAKI.
Yakifanyika hayo, wote tutakuwa sawa mbele ya Sheria na tulipe Kodi na wote tuhisi uchungu wa kulipa Kodi Ili pia tuzisimamie vizuri.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA ๐น๐ฟ
Karibuni ๐
Siyo sahihi kabisa, posho na mshahara wa wabunge est 12m per month x no of MB x 12months = lost tax income. 2. Siyo tax exempted hata sheria ya mafao ni double standard. Wabunge hawasubiri miaka ya ku retire kupata mafao yao.Sasa wewe unaona ni Haki wakwepa Kodi na wezi wa Kodi kuchukuliwa hatua ilhali Rais na Wabunge hawalipi na wanakwepa Kodi?
Kwani wanaajiriwa ili wapate pesa za kutunza familia zao?Hili la wabunge walipe kodi nasema hapana, hawa wanazo familia mbili mbili za kutunza, yaani Dodoma na jimboni kwake na mwisho hawatakiwa kuwa na mawazo ya siku ya mshahara ili waweze kututumikia vizuri.
Boda na guta na Bajaj za abiria nowadays wanalipa Kodi ya mapato, 150,000 Kwa mwaka kama sikosei.Bodaboda na winga walipe kodi