Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Nadhani wengi humu hamjamuelewa Pasco, mimi nimemuelewa vizuri sana, inahitaji uwe ni mtu wa tafakuri ya kina ili kumuelewa Pasco.

Msiomuelewa Pasco iko hivi, IGP Omary Mahita, CDF Robert Mboma, Tiss DG Hans Kitine na Apson Mwang'onda na chief Judge Augustino Ramadhani hawa wote ni ccm na licha ya hizo nafasi kutokuwaruhusu kuwa kwenye siasa lakini waligombea.

Ila katika hao wote mwenye dhambi kuu ni Jaji/Padre Augustino Ramadhani ambaye ameinajisi mahakama kwa kitendo chake cha kukatwa jina tano bora na majina ya wahuni tu wengine yakapelekwa kupigiwa kura Nec.

Sina maneno mazuri ya kuwataka huyu mtu mumuelewe kivingine ila hata lugha ya picha hufikisha ujumbe pia.




Mapinduzi si lazima yawe ya kijeshi tu yapo ya kiraia pia tena kupitia sanduku la kura ili jumuiya za kimataifa zisikutenge.
 
Huyo unayesema ana nguvu una uhakika kwamba hizo nguvu anazo ? Hakuna binadamu aliyeumbwa kwa udongo mwenye nguvu ya kuwazidi wengine .
 
Great words....


Mm nilizani IPTL ingetaifishwa na serekali kama bunge lilivyo adhimia....

Mm nilizan waliochukuwa Mapesa ya escrow thru Stanbank kwa marumbesa wangekuwa Jela sasahivi...lakin wapi?
Mi nilidhani cdm mngetupa mzoga ili msifuatwe na nzi
 
Unadanganya kushauri lakini kumbe umekuja kutisha ! Very poor !
 
Uko sahihi 100% mwenye nguvu mpishe, after all cdm ilishapoteza watu wengi, mawazo, mwangosi, arusha, morogoro, iringa, etc etc, na hakuna aliyewajibika, majority of people in remote rural areas of Tz conspicuously displayed big ignorance of an irresponsible country
 
Not Sustainable
 
Chadema walijichimbia kaburi July 2015. Sasa hivi wanajifukia wenyewe, mwaka mmoja baadae.

Miaka mitano baadae wataibuka kama wafu?
 
Kimsingi hakuna dikiteta mzalendo, dikiteta ni dikiteta tu. Hivi dikiteta wa wapi umemsikia akisema yeye sio mzalendo?. Dalili ya kwanza ya udikiteta ni kuwaona wengine sio wazalendo.

Issue ya kusafisha uozo uliopo ndio kazi raisi aliyo-omba na wengi wanamuunga mkono.

Nisichokielewa ni yeye kutaka kufanya siasa za kitaifa peke yake. Waliwaita vyama vya upinzani vyama vya musimu (JK et al), sasa wanasema 2020. Sasa vyama vitajijenga vipi kama havifanyi siasa? Hili JK alilizungumzia juzi-Kinana alifanya hivyo kuipandisha chati CCM.

Sisi waoga tutajifungia na kusema nyuma ya key boards, wenye uwezo watasema mchana kweupe na walio na uthubutu watatenda. Tuki-surrender atakavyo PASCO hujui kipi kitafuata. Na hapa siongelei strategy ya CDM-ninachosema ni kuwa hii hali inahitaji concerted effort ili tuwe na siasa huru vinginevyo tuzike democrasia ya vyama ving turudi kule tulikotoka. Hawa jamaa wanataka tueleweke tuna demokrasia wakati hawapractice hiyo kitu.
 
Huu mchezo hauhitaji hasira!
Ili tuendelee tunahitaji siasa safi, ardhi, uongozi bora na ......... Mwl. Nyerere.
 
Ushauri umefika!!
Inabidi tujifunze juu ya mfuma wa uongozi wa nchi tulionao.Raisi ni mkuu wa nchi na mkuu wa serikali, yeye ni tofauti na wakuu wa mihimili mingine nchini.
Mwajiri mkuu wa watumishi wa umma ni Rais.
JPM amekuja na mpango wa kubana matumizi ya serikali- hata mahakama na bunge kwenye maumizi yanayofadhiliwa na serikali lazima wahusikie.
 
granted Pasco.

kwa hiyo wapinzani waendelee kusubiri kushushiwa "mana toka mbinguni", siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…