Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

Yani Tz tunaviwanda elf 4! Au zile people pale kimboka nazo zinaesabiwa ni viwanda? Anyway acha kijana apige kazi alipotoka na halipo anastahili pongezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio serikali inasema vipo elfu 4, maendeleo ambayo hayahawahi kutokea ulimwenguni, ni ndani ya miaka 4 tu kila mwaka viwanda elfu moja.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tell e`m..huwa nawashangaa watu ...huwa wanatoa wapi guts za kuwaamini wasanii !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Ukishamiliki 51% ya hisa kweny limited company wewe ndiye una maamuzi ya mwisho.
Aiseee, HAPANA ila i stand to be corrected kwa namna yoyote ile.

Ni hivi...kampuni yoyote itakua na hisa 100% by default, once a person acquires let say 40% of that shares na zikabaki 60% na hizo zilizobaki watu wakagawana hizo hisa na hakuna mtu atakayefikia hisa hizo 40% basi huyu mwenye 40% ndo atakua 'majority share holder' ikiwa na maana yeye ndo mwenye hisa nyingi na atakua na maamuzi ya mwisho.

Si lazima iwe 51% ya hisa zote ndo awe na maamuzi ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Na watu wanasahau kwamba kwa mgawanyo wa 51% kwa 49% yule mwenye 51% hawezi kujiita 'majority' hivivyo kwenye maamuzi. Inabidi maamuzi yawe kwa 'compromise'. La sivyo, mwenye 51% 'akigombana' na huyu wa 49% kampuni inakufa!!! Kwa hiyo ni 'win win' hakuna cha kusema nani mbabe kwenye maamuzi.

Ila sasa kama kampuni ina shareholders WENGI, kama 25%, 20%, 10%, 5%, 5%, 5% nk, nk, hapa ndio kuna suala la 'majority decision' sababu maamuzi hayawezi kusababisha kampuni kufa!!!
 
Jibu ni Moja tu Chuki na Roho mbaya imezidi sana kwa huyo jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana ukisoma mchango wangu nimeenda kwenye lower % ya hisa ya kwenye kampuni, 51% ya hisa ni inshu sana tena sana...hii hasa hasa hutokea kwenye kampuni ambazo kiasilia ni family companies.

Nahisi naeleweka.

Melvine
 
Jibu ni Moja tu Chuki na Roho mbaya imezidi sana kwa huyo jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio chuki bhana nawesa sema. Tatizo la Wa'tz wengi hawana 'info' ya inshu husika. Wanaendeshwa na mihemko na hisia.

Nikupe mfano tu kidogo na rahisi;
Wabongo wengi hawajui tofauti ya Diamond na Wasafi Crew, pia inaenda mbali sana tena sana.

Hawajui tofauti ya Wasafi media (Tv & Radio) na Wasafi Studio.

Kuna Wasafi Festival...elimu hii ni pana na Wabongo wengi hawana muda wa kusikia na eiza kujua kwa kina.

Melvine
 
Mkuu hebu fanya kutuchambulia tuelewew
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…