Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

Una uhakika zile party zinarushwa bure? Una uhakika katika hizo party unazozionaga hakuna matangazo yanayopita au party kukwata kwa 'commercial break'..??

Unahisi party inatokea tu jioni na kurushwa hewan muda huo huo.??

Kwann mnachangiaga mada ambazo hata A, B, C na mada husika hamjui.???

INAKERA MNO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aunt Ezekiel na uwoya wamesema wenyewe walivyoulizwa wakiwa wanahojiwa na Aaliyah wa Wasafi media kwenye miaka 10 ya diamond kitu gani unaweza kuongea kwenye 10 za platnumz wakajibu ni sapoti wanayoipata kutoka kwa mondi ndo wakatolea mfano nilichosema.
 
Kama mnadhani mie kusaga ni mjinga mwambieni aondoe his a zake kwenye wasafi media. Nachowsifu Kusagas ni namba ya kuona mzinga wa nyuki na kwenda kurina asali.
For business perspective ni kwamba Johayna anatumia jina LA Wasafi kuingiza pesa na akijotoa yeye ndiye atapoteza.
 
Sio kweli mbona Kama ni hivyo mbona anarusha live WASAFI TV hata party za marafiki zake bila hata hela mfano party ya aunt Ezekiel, Irene uwoya ukiachana na hivyo hata matangazo ya sponsor aliyoingia nao mkataba Kama voda n.k kwenye Tv yake hii inaonesha namna alivyo na mamlaka makubwa kuliko hata huyo mwanamke
Hakuna party inarushwa Bure
 
Aunt Ezekiel na uwoya wamesema wenyewe walivyoulizwa wakiwa wanahojiwa na Aaliyah wa Wasafi media kwenye miaka 10 ya diamond kitu gani unaweza kuongea kwenye 10 za platnumz wakajibu ni sapoti wanayoipata kutoka kwa mondi ndo wakatolea mfano nilichosema.
Okay, let me tell u a dark side ya any artist and this goes 80% ya artist wote unaowajua wewe duniani.

Artist wengi ni waongo, husiamini 70% ya artist au star anachoongea kwenye media i.e Tv, Radio stations au magazeti...they live in total lie life.

Show kama hizo zinapangwa, zinaandikwa proposal na zinaenda katika makampuni husika...let say tiGo su voda. Hayo makampuni yanajua nguvu ya hao wasanii wenye hizo party, wanajua ni traffic kiasi gani itakuwepo siku iyo and that is point ya kutangaza products zao.

No free meal kiongozi...it is win win situation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is Bongo.
Wangapi mmekuja kukoment hapa mkiwa.
1. Mnajua sheria ya uendeshaji makampuni ya biashara ya mwaka 2002.
2. Wangapi mnajua mgawanyo wa hisa, umiliki wa kampuni na madaraka ya wana hisa katika kampuni ya ushirikiano.

Jaribu to hata kupitia maana ya MOU na AOA na sheria ya uendeshaji makampuni hususani ya Ushirokiano (Pertnership) ndio uje ulete comment zako.

Yaani kuna coment humu ukisoma unaishia kucheka tu😄😄😄😄😄 vitu vinavyoendeshwa proffesonally mtu anakuja kutapika tu cjui kamsikia nani kaandikaa Insta, facebook n.k
 
I don't understand someone please make me understand whats going on
 
Mwenye controlling interest (hisa nyingi zaidi) ndo mwenye usemi wa mwisho! Kwahiyo Johayna Kusaga ana uwezo wa kufanya maamuzi ambayo Diamond hawezi kukataa!


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama unataka waachane that means hakuna biashara yoyote ya kampuni duniani ingesimama. Mbona Samsung, CocaCola, Volkswagen,etc zote zinamilikiwa na watu kibao wenye hisa kiwango tofauti. Kwanza sheria ya kampuni kwa Tanzania sijui lakini najua nchi nyingi haziruhusu mtu mmoja kumiliki exactly 100% ya business entity. Una hofu ya bure
 
Kati ya Diamond na huyo MZEE nani anamuhitaji mwenzake? Diamond nae ana hisa kubwa sana kwa hiyo ni mmoja wa WAAMUZI wa mustakali wa hivyo vituo., sasa inatakiwa umshauri Diamond afungue kiwanda tena kinacho onekana sio hivyi vinavyosomwa tu kwenye makaratasi, viko elfu 4 sasa lakini ni kama havipo.
Yani Tz tunaviwanda elf 4! Au zile people pale kimboka nazo zinaesabiwa ni viwanda? Anyway acha kijana apige kazi alipotoka na halipo anastahili pongezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom