Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
alipokuwa akimnadi mama majukwaan kwa kusema '' fomu ni moja tu'' alikuwa halioni hili?
majaliwa ndiye wazir mkuu pekee ambae hajaapa kwa Rais.. yupo yupo tu.. ndio mana kawekewa naibu alieapa.. na kingine usijisahaulishe ile fitina waliyokuwa wanaipika wakati magufuli amebaki mwili na roho kutoka.. asingekuwa mabeyo huyu majaliwa angempiku huyu mama.....
kwa hiyo kwa namna yoyote ile huyu majaliwa hawezi kurudi kwenye circle ya kizimkazi...
 
alipokuwa akimnadi mama majukwaan kwa kusema '' fomu ni moja tu'' alikuwa halioni hili?
majaliwa ndiye wazir mkuu pekee ambae hajaapa kwa Rais.. yupo yupo tu.. ndio mana kawekewa naibu alieapa.. na kingine usijisahaulishe ile fitina waliyokuwa wanaipika wakati magufuli amebaki mwili na roho kutoka.. asingekuwa mabeyo huyu majaliwa angempiku huyu mama.....
kwa hiyo kwa namna yoyote ile huyu majaliwa hawezi kurudi kwenye circle ya kizimkazi...
Fitna baada ya kifo Cha Magufuli ilimuhusu zaidi Bashiru, ndo Maana baada bya kuingia madarakani alimpa Nafasi.

Kuapa kulifaa kama angevunja Baraza la mawaziri, na kumteua tena!!! Waziri Mkuu anapaswa baada bya kuteuliwa na kuidhinishwa na bunge ndani ya siku 14 kabla bya bunge jipya.

Samia hakuwa ametoka kwenye uchaguzi!!, Samia hakuwa amelivunja Baraza la mawaziri na kuteua Tena waziri mkuu!!

Kama katiba ilidai hivyo haikuwa wajibu wa Majaliwa KUDAI aape.

na kama alishiriki lile sakata basi anastahili sana pongezi, kwani akiona mbali sana kwa uongozi hovyo wa huyu Mama Abdul.
 
alipokuwa akimnadi mama majukwaan kwa kusema '' fomu ni moja tu'' alikuwa halioni hili?
majaliwa ndiye wazir mkuu pekee ambae hajaapa kwa Rais.. yupo yupo tu.. ndio mana kawekewa naibu alieapa.. na kingine usijisahaulishe ile fitina waliyokuwa wanaipika wakati magufuli amebaki mwili na roho kutoka.. asingekuwa mabeyo huyu majaliwa angempiku huyu mama.....
kwa hiyo kwa namna yoyote ile huyu majaliwa hawezi kurudi kwenye circle ya kizimkazi...
Fitna baada ya kifo Cha Magufuli ilimuhusu zaidi Bashiru, ndo Maana baada bya kuingia madarakani alimpa Nafasi.

Kuapa kulifaa kama angevunja Baraza la mawaziri, na kumteua tena!!! Waziri Mkuu anapaswa baada bya kuteuliwa na kuidhinishwa na bunge ndani ya siku 14 kabla bya bunge jipya.

Samia hakuwa ametoka kwenye uchaguzi!!, Samia hakuwa amelivunja Baraza la mawaziri na kuteua Tena waziri mkuu!!

Kama katiba ilidai hivyo haikuwa wajibu wa Majaliwa KUDAI aape.

na kama alishiriki lile sakata basi anastahili sana pongezi, kwani akiona mbali sana kwa uongozi hovyo wa huyu Mama Abdul.
 
alipokuwa akimnadi mama majukwaan kwa kusema '' fomu ni moja tu'' alikuwa halioni hili?
majaliwa ndiye wazir mkuu pekee ambae hajaapa kwa Rais.. yupo yupo tu.. ndio mana kawekewa naibu alieapa.. na kingine usijisahaulishe ile fitina waliyokuwa wanaipika wakati magufuli amebaki mwili na roho kutoka.. asingekuwa mabeyo huyu majaliwa angempiku huyu mama.....
kwa hiyo kwa namna yoyote ile huyu majaliwa hawezi kurudi kwenye circle ya kizimkazi...
Fitna baada ya kifo Cha Magufuli ilimuhusu zaidi Bashiru, ndo Maana baada bya kuingia madarakani alimpa Nafasi.

Kuapa kulifaa kama angevunja Baraza la mawaziri, na kumteua tena!!! Waziri Mkuu anapaswa baada bya kuteuliwa na kuidhinishwa na bunge ndani ya siku 14 kabla bya bunge jipya.

Samia hakuwa ametoka kwenye uchaguzi!!, Samia hakuwa amelivunja Baraza la mawaziri na kuteua Tena waziri mkuu!!

Kama katiba ilidai hivyo haikuwa wajibu wa Majaliwa KUDAI aape.

na kama alishiriki lile sakata basi anastahili sana pongezi, kwani akiona mbali sana kwa uongozi hovyo wa huyu Mama Abdul.
 
Ndiyo ukubali kuwa naye ni sehemu ya tatizo kubwa
Kuna tatizo la mfumo, na tatizo la an individual, Majaliwa as an individual Yuko Smart, lakini hana wakati na platform nzuri kuonesha hali yake ya utendaji nzuri, Yuko underrated na Boss.

" Don't over smart your boss"
 
Kuna tatizo la mfumo, na tatizo la an individual, Majaliwa as an individual Yuko Smart, lakini hana wakati na platform nzuri kuonesha hali yake ya utendaji nzuri, Yuko underrated na Boss.

" Don't over smart your boss"
Hizo sababu zako ni za kipuuzi sn hazina mashiko, yupo kimaslahi zaidi, huwezi ukafumbia macho wizi mkubwa na matumizi ya anasa serikalini kisa boss wako hataki ushughulike na tatizo na huku umekula kiapo, ni ujinga tupu unatakiwa kuonyesha njia boss hata akikutoa wananchi wataamua, kwani uliapa kumtumikia boss au wananchi? tuna kwama hapo
 
Hizo sababu zako ni za kipuuzi sn hazina mashiko, yupo kimaslahi zaidi, huwezi ukafumbia macho wizi mkubwa na matumizi ya anasa serikalini kisa boss wako hataki ushughulike na tatizo na huku umekula kiapo, ni ujinga tupu unatakiwa kuonyesha njia boss hata akikutoa wananchi wataamua, kwani uliapa kumtumikia boss au wananchi? tuna kwama hapo
Maoni yako yanaheshimiwa Mkuu, kwa mawazo Yako kuwa ni sababu za kipuuzi ni mtazamo wako baada ya tafakuri Yako NYEPESI.

Ukweli ni kwamba huwei ku outshine mbele bya Boss, " Don't over smart your boss" hata wewe usingefanya lolote mbele ya Rais kama ungekuwa PM.

Unapokuwa subordinate wa boss ni lazima u comply na Boss wako, huo ndo ukweli mahali popote!!
 
Maoni yako yanaheshimiwa Mkuu, kwa mawazo Yako kuwa ni sababu za kipuuzi ni mtazamo wako baada ya tafakuri Yako NYEPESI.

Ukweli ni kwamba huwei ku outshine mbele bya Boss, " Don't over smart your boss" hata wewe usingefanya lolote mbele ya Rais kama ungekuwa PM.

Unapokuwa subordinate wa boss ni lazima u comply na Boss wako, huo ndo ukweli mahali popote!!
Kwamba kushughulika na wezi mpk boss apende?
 
Heshima kwenu,

Moja kwa moja kwenye mada husika.

Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"

Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.

Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.

Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.

Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King 👑 Maker "

Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.

Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.

Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??

Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.

Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.

Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.

Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.

Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.

Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.

Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.

Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.

Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.

Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"

Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.

Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.

"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.

Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.

Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu

Ndimi "Mjomba"

Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
🙏🙏
Sàsa tuna mazungumzo nae, àtakuwa mgombea kupitia Chadema ili uçhaguzi ukiisha awe pm mstaafu kama sumaye.
 
Heshima kwenu,

Moja kwa moja kwenye mada husika.

Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"

Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.

Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.

Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.

Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King 👑 Maker "

Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.

Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.

Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??

Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.

Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.

Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.

Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.

Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.

Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.

Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.

Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.

Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.

Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"

Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.

Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.

"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.

Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.

Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu

Ndimi "Mjomba"

Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
🙏🙏
We mjomba ni wa kwako, ila Akiwa waziri mkuu ni wetu sote. WATANZANIA hatuna udini, Wala vyeo hatupeani Kwa unafiki au undugu hayo ya kumtaka mjomba wako awe mgombea mwenza zinatoka wapi.
 
Ni kweli ni muda wa mzee mzima kujitafakari na kuamua kumpumzika - ukiona shughuli za maana wanakuruka basi jua washakukalia kikao kizito.
 
Ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.
 
Ushauri Mzuri sana, hata mimi naunga Mkono hili. Huyu jamaa namkubali sana na isingekuwa vyema kuja kuishia kuwa Mwenyekiti wa Baadhi ya Kamati za Bunge au Naibu Waziri TAMISEMI. Angepumzika abaki na kulinda heshima yake. Forever he will be remembered!!
 
Heshima kwenu,

Moja kwa moja kwenye mada husika.

Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"

Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.

Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.

Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.

Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King 👑 Maker "

Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.

Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.

Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??

Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.

Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.

Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.

Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.

Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.

Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.

Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.

Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.

Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.

Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"

Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.

Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.

"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.

Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.

Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu

Ndimi "Mjomba"

Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
🙏🙏
Tangu tupate uhuru ni Nyerere tu aliyepata kuwa Waziri Mkuu kwa muda mfupi na baadaye kuwa Rais !
Na Mawaziri Wakuu wote waliofuata wapo waliohudumu kwa miaka 10 yaani vipindi vyote viwili vya Rais aliyemteua na wengine hawakupata bahati hiyo !

Kwani ni lazima watu wazeekee madarakani kama yule wa miaka 80 ??!
🤣🤣 😂 !
Na wastaafu wengine hawataki kustaafu 😅😄😂

Kazi kweli kweli. 😳🙄 !
 
Tanzania PM mwisho miaka 10. And he knows that. Hiyo nafasi October 2025 inakuwa Vacant.
 
We mjomba ni wa kwako, ila Akiwa waziri mkuu ni wetu sote. WATANZANIA hatuna udini, Wala vyeo hatupeani Kwa unafiki au undugu hayo ya kumtaka mjomba wako awe mgombea mwenza zinatoka wapi.
Soma vizuri andiko, Kisha ulielewe sio kuokota neno moja neno Mjomba nimeliwekea ".............." kama unaelewa stadi za uandishi utaelewa nachomaanisha!!

Ukanda na Dini ni vigezo ambavyo havisemwinwazi, huwezi weka wakristu tupu au waslamu tupu kwenye TOP LAYER ya uongozi wa juu, haitakiwi.

Pili kanda kama Kuna maslahi ya chama au nchi, kanda ukanda lazima utumike
 
Back
Top Bottom