Mfumo pia unachangia yeye ku under perform!!Ndiyo hivyo sasa kumbe huyu mzee ni sehemu ya tatizo
Fitna baada ya kifo Cha Magufuli ilimuhusu zaidi Bashiru, ndo Maana baada bya kuingia madarakani alimpa Nafasi.alipokuwa akimnadi mama majukwaan kwa kusema '' fomu ni moja tu'' alikuwa halioni hili?
majaliwa ndiye wazir mkuu pekee ambae hajaapa kwa Rais.. yupo yupo tu.. ndio mana kawekewa naibu alieapa.. na kingine usijisahaulishe ile fitina waliyokuwa wanaipika wakati magufuli amebaki mwili na roho kutoka.. asingekuwa mabeyo huyu majaliwa angempiku huyu mama.....
kwa hiyo kwa namna yoyote ile huyu majaliwa hawezi kurudi kwenye circle ya kizimkazi...
Fitna baada ya kifo Cha Magufuli ilimuhusu zaidi Bashiru, ndo Maana baada bya kuingia madarakani alimpa Nafasi.alipokuwa akimnadi mama majukwaan kwa kusema '' fomu ni moja tu'' alikuwa halioni hili?
majaliwa ndiye wazir mkuu pekee ambae hajaapa kwa Rais.. yupo yupo tu.. ndio mana kawekewa naibu alieapa.. na kingine usijisahaulishe ile fitina waliyokuwa wanaipika wakati magufuli amebaki mwili na roho kutoka.. asingekuwa mabeyo huyu majaliwa angempiku huyu mama.....
kwa hiyo kwa namna yoyote ile huyu majaliwa hawezi kurudi kwenye circle ya kizimkazi...
Fitna baada ya kifo Cha Magufuli ilimuhusu zaidi Bashiru, ndo Maana baada bya kuingia madarakani alimpa Nafasi.alipokuwa akimnadi mama majukwaan kwa kusema '' fomu ni moja tu'' alikuwa halioni hili?
majaliwa ndiye wazir mkuu pekee ambae hajaapa kwa Rais.. yupo yupo tu.. ndio mana kawekewa naibu alieapa.. na kingine usijisahaulishe ile fitina waliyokuwa wanaipika wakati magufuli amebaki mwili na roho kutoka.. asingekuwa mabeyo huyu majaliwa angempiku huyu mama.....
kwa hiyo kwa namna yoyote ile huyu majaliwa hawezi kurudi kwenye circle ya kizimkazi...
Ndiyo ukubali kuwa naye ni sehemu ya tatizo kubwaMfumo pia unachangia yeye ku under perform!!
Kuna tatizo la mfumo, na tatizo la an individual, Majaliwa as an individual Yuko Smart, lakini hana wakati na platform nzuri kuonesha hali yake ya utendaji nzuri, Yuko underrated na Boss.Ndiyo ukubali kuwa naye ni sehemu ya tatizo kubwa
Ni kweli kwa nafasi ya UP ndo maana nasema better asigombee ubunge, unless pana ahadi isiyo na shaka hata kidogo Toka kwa Rais anayemaliza Muda!!Kashapiga ten years inatosha
Hizo sababu zako ni za kipuuzi sn hazina mashiko, yupo kimaslahi zaidi, huwezi ukafumbia macho wizi mkubwa na matumizi ya anasa serikalini kisa boss wako hataki ushughulike na tatizo na huku umekula kiapo, ni ujinga tupu unatakiwa kuonyesha njia boss hata akikutoa wananchi wataamua, kwani uliapa kumtumikia boss au wananchi? tuna kwama hapoKuna tatizo la mfumo, na tatizo la an individual, Majaliwa as an individual Yuko Smart, lakini hana wakati na platform nzuri kuonesha hali yake ya utendaji nzuri, Yuko underrated na Boss.
" Don't over smart your boss"
Maoni yako yanaheshimiwa Mkuu, kwa mawazo Yako kuwa ni sababu za kipuuzi ni mtazamo wako baada ya tafakuri Yako NYEPESI.Hizo sababu zako ni za kipuuzi sn hazina mashiko, yupo kimaslahi zaidi, huwezi ukafumbia macho wizi mkubwa na matumizi ya anasa serikalini kisa boss wako hataki ushughulike na tatizo na huku umekula kiapo, ni ujinga tupu unatakiwa kuonyesha njia boss hata akikutoa wananchi wataamua, kwani uliapa kumtumikia boss au wananchi? tuna kwama hapo
Kwamba kushughulika na wezi mpk boss apende?Maoni yako yanaheshimiwa Mkuu, kwa mawazo Yako kuwa ni sababu za kipuuzi ni mtazamo wako baada ya tafakuri Yako NYEPESI.
Ukweli ni kwamba huwei ku outshine mbele bya Boss, " Don't over smart your boss" hata wewe usingefanya lolote mbele ya Rais kama ungekuwa PM.
Unapokuwa subordinate wa boss ni lazima u comply na Boss wako, huo ndo ukweli mahali popote!!
SΓ sa tuna mazungumzo nae, Γ takuwa mgombea kupitia Chadema ili uΓ§haguzi ukiisha awe pm mstaafu kama sumaye.Heshima kwenu,
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"
Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.
Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.
Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.
Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King π Maker "
Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.
Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.
Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??
Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.
Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.
Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.
Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.
Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.
Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.
Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.
Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.
Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.
Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"
Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.
Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.
"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.
Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.
Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu
Ndimi "Mjomba"
Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
ππ
We mjomba ni wa kwako, ila Akiwa waziri mkuu ni wetu sote. WATANZANIA hatuna udini, Wala vyeo hatupeani Kwa unafiki au undugu hayo ya kumtaka mjomba wako awe mgombea mwenza zinatoka wapi.Heshima kwenu,
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"
Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.
Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.
Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.
Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King π Maker "
Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.
Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.
Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??
Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.
Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.
Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.
Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.
Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.
Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.
Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.
Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.
Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.
Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"
Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.
Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.
"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.
Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.
Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu
Ndimi "Mjomba"
Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
ππ
Tangu tupate uhuru ni Nyerere tu aliyepata kuwa Waziri Mkuu kwa muda mfupi na baadaye kuwa Rais !Heshima kwenu,
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"
Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.
Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.
Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.
Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King π Maker "
Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.
Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.
Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??
Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.
Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.
Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.
Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.
Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.
Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.
Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.
Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.
Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.
Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"
Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.
Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.
"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.
Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.
Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu
Ndimi "Mjomba"
Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
ππ
Soma vizuri andiko, Kisha ulielewe sio kuokota neno moja neno Mjomba nimeliwekea ".............." kama unaelewa stadi za uandishi utaelewa nachomaanisha!!We mjomba ni wa kwako, ila Akiwa waziri mkuu ni wetu sote. WATANZANIA hatuna udini, Wala vyeo hatupeani Kwa unafiki au undugu hayo ya kumtaka mjomba wako awe mgombea mwenza zinatoka wapi.