Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaani hata mimi nashangaa, naona ni mwendelezo wa Sabotage,kuvurugana kabla ya mwezi wa saba!!

Ningekuwa mimi najudhuru kabla ya mwezi wa saba, na bila notification kwa mkuu wa nchi, na kupost resignation letter kwenye social network ila aendelee Naibu waziri kumalizia uwaziri mkuu!!
 
Waziri Mkuu akishastaafu katika huo wadhifa hawezi kugombea Ubunge !
Wenye kulitaka hilo jimbo wajiandae tu !
 
Kassim Majaliwa ikifika mwezi wa kumi mwaka huu atakuwa kafikisha miaka 10 ya kuwa waziri mkuu.

Sawa na Fredrick Sumaye aliyedumu na Mkapa kwa kipindi cha miaka 10, itabidi aanze kuishi maisha ya waziri mkuu mstaafu na ataendelea kutunzwa kwa pesa ya hazina mpaka siku ya kuaga dunia.
 
Waziri mkuu kamaliza ten years apumzike tu hakuna namna ,tuongeze wastaafu wanaokula keki ya taifa
 
Siku utakapojua watu wa Kanda ya ziwa wanaitana home boy na home girl ndio utajua kwanini neno Kanda ya ziwa kwenye campaign za wanasiasa linatajwa sana na ni muhimu sana ,unafikiri ccm na chadema kwanini wanapenda kuzindua campaign Kanda ya ziwa na kufunga campaign Kanda ya ziwa?
 
Waziri mkuu kamaliza ten years apumzike tu hakuna namna ,tuongeze wastaafu wanaokula keki ya taifa
Ndivyo nilivyoshauri kama umesoma vizuri!! Unless kama Mama anataka kumwongezea muda wamalize wote
 
Mpe dozi haijui maana ya Demografia!!
 
Angekaa kimya kama kazi haikuwa yake! Kujitokeza na kusema mtu yuko anafanya kazi ili hali alishakuwa maiti halikuwa Jambo la kiungwana .
From that point on , he was no longer credible.
Tena akiwa msikitini πŸ˜€ very sad moment at that time.
 
Acheni kukuza mambo Dotto Biteko yuko pale kama waziri wa Nishati na mkutano wenyewe ni wa Nishati hajaenda pale kwa title ya naibu waziri mkuu. Mkutano ni wa wakuu wa nchi mkuu wa nchi yupo mbona hauulizi kutokuwepo kwa makamu wa rais na rais wa Zanzibar?
Kuhusu PM yuko wapi jpili alikuwa huko simiyu akiendeleza uchawa wake wa mitano tena akiwa kwenye shati lake la kijani pia leo alikuwa bungeni Dodoma.
 
Mkutano ule unawahusu mawaziri wa fedha na Marais tu, wewe ndo unakuza mambo ,eti doto kama waziri wa nishati πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£ unachekesha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…