Ushauri kwa Mange Kimambi

Bahat mbaya nimeishia la saba, sna cheti
 
Anamnanga Makounder kwenye social networks ilhali yeye na usomi wake vyeti kafungia kwenye kabati, labda huko US haajiriki, hana kwolifikeshen za kupata ajira rasmi, anachoweza huyu dada ni kupiga domo mitandaoni.
Lakini si anapata ela ya kula na ana pa kulala huko ughaibuni sasa tatizo liko wapi?
 
mange nae tatizo wivu na uzandiki vinamsumbua... yaani saa hizi mwenzenu anajiona mwanaharakati wa mtandaoni....!!!!
Wivu yupo marekani lakini kafeli maisha, anapitwa hadi akina Lulu ambao anawez kumzaa, na bado atavuja bleed mwaka mzima kwa wivu
 
Sina uhakika kama anapitia Huku Mange ila unaweza ukamdm instagram au what's app namba yake ipo kwa page uone moto wake
Hapa hatukujui wewe jinsia gani ila kwa mange naamini tutakujua mpka bibi zako
Huku pia yumo, si ndo kazi yake ,unadhan anachakufanya US zaidi ya kuchunguza maisha ya watu waliomshinda kimaisha, mange ni fungu la kukosa
 
Naona unatafuta kupewa makavu live kuanzia kuku wa nyumbani kwenu mpaka mababu.
I am sure kuna watu humu wanakufahamu au mshawahi exchanhe number hao hao akiamua kukutukana ndiyo watampa details zako.
Utashangaa anaanza kuku post kama alivyomfahamu dullar square...
Au we warumi huogopi kutukanwa maana yule akikuamulia hata usiposema lakini utajuta.
 
Ana nuksi Yule, hana lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…