Ushauri kwa Rais Samia: Acha kutumia kauli "Nawasalimu kwa jina la Jamhuri (ya Muungano wa Tanzania")

Ushauri kwa Rais Samia: Acha kutumia kauli "Nawasalimu kwa jina la Jamhuri (ya Muungano wa Tanzania")

Wagalatia Tupo Tupo Tunam~Zoom Na Hoja Zake Za Alfu, Be, Te
 
Kwahiyo wasio kuwa waislamu wao hawatasalimiwa?
Au ndio itakua
Asaalm aleikum...
Tumsifu yesu kristu..
Bwana yesu asifiweee
Mwanakondoo ameshindaa
Mwamposa oyeee🙄

Unakompliketisha tu mambo
 
serikali haina dini, Akisimama pale anawakilisha serikali, usitake achanganye mambo.
 
Hiyo ni slogani yake mwache aende nayo ndugu!!
Kenyata pia alikua na yake Harambeeeeeee!!
Mama yetu SSH indelea kutujengea Taifa
 
mimi ni mwislamu na nimetoa ushauri kwa mwislamu wala sijagusia maswala ya kiserikali au kinchi hapa wala sija... sasa nashangaa matusi kwa kwenda mbele sijui kilichokukereni ni kipi?. vinginevyo angekuja shekhe hapa anielimishe hiyo "kwa jina la jamhuri" kama haina shirk ili niondokane na hiki ninachokielewa kuhusu kauli hiyo.

narudia tena "SALAMU TUNAYOELEKEZWA KUTUMIA WAISLAMU NI ASSALAAMU ALAYKUM" nyinyi wengine salimieni vyovyote mlivyofundishwa lakini ninachokazia ni kwamba JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KAZI IENDELEE siyo salamu bali ni kibwagizo kama watumishi wasemavyo solidarity forever (mshikamano daima) au wanamichezo wanavyosema michezo safii

narudia tena kushauri watu (hasa waislam akiwemo mama yangu rais samia) wasiseme "...kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania" bali waseme tu "jamhuri ya muungano wa tanzania" kuitikia kutabakia ni vilevile kwamba "kazi iendelee"

na mwenyezimungu ndiye mjuzi zaidi
 
Kwahiyo wasio kuwa waislamu wao hawatasalimiwa?
Au ndio itakua
Asaalm aleikum...
Tumsifu yesu kristu..
Bwana yesu asifiweee
Mwanakondoo ameshindaa
Mwamposa oyeee🙄

Unakompliketisha tu mambo
Duuh...Hadi mwamposa anasalamu yake 😂😂😂😂
 
Binafsi nilipoona raisi amekuja na hii salaam, nikapata faraja sana. Maana ilikua niyakutuunganisha.
Sasa anakuja mtu mmoja na kushauri namna ya kututenganisha. Nashangaa sana
 
mimi ni mwislamu na nimetoa ushauri kwa mwislamu wala sijagusia maswala ya kiserikali au kinchi hapa wala sija... sasa nashangaa matusi kwa kwenda mbele sijui kilichokukereni ni kipi?. vinginevyo angekuja shekhe hapa anielimishe hiyo "kwa jina la jamhuri" kama haina shirk ili niondokane na hiki ninachokielewa kuhusu kauli hiyo.

narudia tena "SALAMU TUNAYOELEKEZWA KUTUMIA WAISLAMU NI ASSALAAMU ALAYKUM" nyinyi wengine salimieni vyovyote mlivyofundishwa lakini ninachokazia ni kwamba JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KAZI IENDELEE siyo salamu bali ni kibwagizo kama watumishi wasemavyo solidarity forever (mshikamano daima) au wanamichezo wanavyosema michezo safii

narudia tena kushauri watu (hasa waislam akiwemo mama yangu rais samia) wasiseme "...kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania" bali waseme tu "jamhuri ya muungano wa tanzania" kuitikia kutabakia ni vilevile kwamba "kazi iendelee"

na mwenyezimungu ndiye mjuzi zaidi
Ndio ila rais ni wa wote hayo unayotaka mwambieni akafanyie msikitini au kwenye shughuli zenu ila kama unataka asalimie kwa salaam za kidini uwe na uhakika atatumia salaam zote na zile usizozipenda.
 
... actually, Bwana Yesu Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo ni salamu baina ya waliokombolewa kwa damu ya Yesu na sio ya kutamkwa na kila mtu. Amefanya vizuri sana kuja na salamu neutral ambayo hata kwa kibaka haina shida kuitamka maana naye ni mtanzania ila sio wa Ufalme wa Mbinguni.
 
Back
Top Bottom