Huu ni ushauri kwa Rais wetu kipenzi Cha Watanzania, mama Samia Suluhu Hassan.
Nafahamu kwamba pamoja na Mambo mengine serikali ya mama Samia ina nia njema ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi hapa nchini wawe wa sekta binafsi ama wale wa serikalini.
Ushauri wangu kwa mama kuelekea mei mosi, asijikite kwenye kupandisha mishahara ya wafanyakazi Bali ajikite zaidi katika kupunguza Kodi inayokatwa kwenye mishahara maarufu Kama PAYE.
Unapoponguza Kodi unakuwa tayari umegusa sekta zote yaani serikalini na wale wa mashirika au taasisi binafsi.
Kodi ikipungua tayari kipato au take home inaongezeka na hii inakuwa faida au nyongeza kwa wote ( walioko serikalini na walioko private sekta)
Rais akipandisha mishahara bila kupunguza Kodi wanufaika peke watakuwa wafanyakazi wa serikalini tu.
Tunafahamu malengo ya serikali ya awamu ya sita ni kuboresha maisha ya mtanzania bila ubaguzi, hivyo ni Imani yangu kuwa Rais atapokea ushauri huu na kuufanyia kazi.
Amen.
Nafahamu kwamba pamoja na Mambo mengine serikali ya mama Samia ina nia njema ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi hapa nchini wawe wa sekta binafsi ama wale wa serikalini.
Ushauri wangu kwa mama kuelekea mei mosi, asijikite kwenye kupandisha mishahara ya wafanyakazi Bali ajikite zaidi katika kupunguza Kodi inayokatwa kwenye mishahara maarufu Kama PAYE.
Unapoponguza Kodi unakuwa tayari umegusa sekta zote yaani serikalini na wale wa mashirika au taasisi binafsi.
Kodi ikipungua tayari kipato au take home inaongezeka na hii inakuwa faida au nyongeza kwa wote ( walioko serikalini na walioko private sekta)
Rais akipandisha mishahara bila kupunguza Kodi wanufaika peke watakuwa wafanyakazi wa serikalini tu.
Tunafahamu malengo ya serikali ya awamu ya sita ni kuboresha maisha ya mtanzania bila ubaguzi, hivyo ni Imani yangu kuwa Rais atapokea ushauri huu na kuufanyia kazi.
Amen.