Hayana akili. Yanasoma utetezi halafu yanaona majina ya viongozi tu bila kujua yametokeaje.Mbona mnaingilia uhuru wa mahakama kushughulikia kesi na uhuru wa mtuhumiwa kujitetea!?
====
Hii wapi dhana ya kuhubiri uhuru wa vyombo vya kutoa maamuzi ikiwemo mahakama?
Mnaangukia padogo sana!
Tulieni mahakama ifanye kazi yake. Sidhani kama, nawe ni mmoja wa jopo la waendesha mashtaka!Nachojua hakuna alipopigiwa simu kuagizwa hayo, isipokua majina aliyotaja kamwe haya wezi kusimama mahakamani kutoa ushahidi so anahisi atachomokea hapo
Sjui aliowataja wanajiskiaje,ujue hii dunia huwa inatujitu Fulani hiviHuyo hana tena cha kupoteza, na ndio maana kaona aseme liwalo na liwe.
Ndio angebinjuaIssue ni kwamba anawachafua tu lakini nina uhakika hana credible and reliable evidence kwasababu hata kama ni kweli basi alikuwa anapigiwa tu simu na kupewa maelekezo naye akawa anaingia mzima mzima, atulize tu mshono afe kiume. Hizo mambo za kuanza kutaja majina makubwa haiwezi kuwa kinga kwake na sio sababu ya yeye kutenda makosa ya wazi. Ina maana wangemwambia ainame na chupi mkononi angeinama?
Usishangae mkaambiwa crona ampita naye, huwezi kubaragaza mamlaka ukaachwa.Huyo hana tena cha kupoteza, na ndio maana kaona aseme liwalo na liwe.
Majambazi hawasemnagiSasa kama walimtuma na ameshikwa afanyaje sasa
Hatimae magaidi wamejulikana. Ni CcmHuyo hana tena cha kupoteza, na ndio maana kaona aseme liwalo na liwe.
... enzi hizo mtu wa pili kwa mamlaka Kanda ya Kaskazini baada ya Rais Magufuli hajui kidhungu? You must be joking.
Lakini baada ya kuwa mmekubaliana,uwenda maafisa vipenyo wamemgutua dogo yaani baada ya maboss hao kuombwa uokozi wakajitenga, akaona bwanae liwalo naliwe.Mimi niliyewahi kufanya kazi ya umafia ni kosa ambalo halisameheki kumtaja bosi wako. Inatakiwa upambane mwenyewe na kukiri ni wewe tu hujui zaidi, halafu mabosi zako ndo wanafanya umafia wa kukuokoa
watamuuliza where is the evidence ya kutumwa huko. maana mtu akikutuma kwa simu ni rahis sana ku kana maana hakuna physical evidence itakayodhibitha hivyo... more precisely; anamaanisha yeye ni mbuzi wa kafara tu maana alikuwa anatumwa na amiri jeshi Mkuu mwenye majeshi na zana zote. Kuna tofauti gani na utawala wa Idd Amin? Amin angekutuma kweli ukatae? Huwezi kuwa hata na wazo hilo.
Hapo ni pale ambapo umeshtakiwa na second part. Sasa hii ya kushtakiwa na first part unarembaje?Mimi niliyewahi kufanya kazi ya umafia ni kosa ambalo halisameheki kumtaja bosi wako. Inatakiwa upambane mwenyewe na kukiri ni wewe tu hujui zaidi, halafu mabosi zako ndo wanafanya umafia wa kukuokoa
Ki ukweli kabisa mpango hakua na sifa za kua vpNimefurahi sana Mpango na Luoga kutajwa , waje wajitetee tuone , tulionya kuhusu uteuzi wa Dr Mpango kuwa Makamu wa Rais , hii ni kwa sababu huyu alihusika na uporaji wote wa fedha za watu kuanzia kwenye akaunti zao hadi Bureu De Change
Hujui ushahidi wa simu ee? Upo karne ya 15 wewe.watamuuliza where is the evidence ya kutumwa huko. maana mtu akikutuma kwa simu ni rahis sana ku kana maana hakuna physical evidence itakayodhibitha hivyo
Kwani Epstein alitolewa kafara na royal family ili kumsafisha prince Andrew?Mnataka kumfanya kama Epstein
Yaani wame comment wachangiaji zaidi ya 40, kumbe mwenye kutafakari utetezi wa Sabaya ni wewe tuu. You are more capable to carefully listen to Sabaya's defence than 40 together who have commented,Hata sauti za simu ni ushahidi. Acheni kujifanya wenye akili kuliko watu wengine. Someni pia utetezi wa sabaya vizuri.
Well said! He should take it like a man!🙂Kijana Sabaya hayo unayoropoka mahakamani hayana faida kwako wala kwa hao unaowataja.
Kama bosi wako alikua anakutuma kufanya ujambazi na wewe ukadhani unayo kinga kama yeye basi huo ulikua ni upumbavu wako.
Ulipaswa kutekeleza majukumu hayo kwa akili ja weledi wa hali ya juu bila kujiweka matatizoni.
Kwenye umafia kuna kitu kinaitwa 'tying loose ends'. Hao unaowataja taja mahakamani kuwa walikua wanakutuma kwenye uhalifu wako hawawezi kulifurahia kupakwa tope la ujambazi wako.
They will be forced to tie loose ends, which is you and your little gang of stooges. Be a pro, take a fall for the team and go quietly, your bosses might remember you after a while and rescue you.