Ushauri kwa Serikali: Mtu anayepinga tozo na kodi kwa maendeleo ya Taifa akamatwe

Ushauri kwa Serikali: Mtu anayepinga tozo na kodi kwa maendeleo ya Taifa akamatwe

21C9F723-FB7B-4587-AA53-7AABEEFA6955.jpeg
 
Hilo ndio jambo la muhimu na serikali pia iongeze juhudi ktk kuelimisha wananchi pamoja na kuweka uwazi kwenye matumizi ya kodi hizo.
Wananchi wana elimu ya kutosha, hivyo serikali inapaswa kuwasikiliza. Elimu sio barabara ya njia moja. Hata serikali ina mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa wananchi na serikali zingine zilizofanikiwa.
 
Nyakati kama hiziz kujikwamua kiuchumi kwa maendeleo ya taifa ni muhimu sana kwa kila mwananchi kuunga mkono juhudi hizi zinazochukuliwa na Mh Rais Samia na serikali yake.

Hivyo natoa wito kwa kila mwananchi mzalendo kuunga mkono juhudi hizi za kujikomboa kama taifa dhidi ya mgogoro wa kiuchumi unaoliandama sio tu afrika bali dunia nzima kutokana na majanga ya Uviko-19 na vita ya Urusi huko Ukraine.

Mtu anayepinga Tozo na Kodi maana yake anapinga Serikali isijenge vituo vya afya na kuboresha huduma za Mama na watoto.

Mtu anayepinga tozo na kodi maana yake anapinga serikali isijenge miundo mbinu ya barabara madaraja na majengo.

Ukipinga tozo na kodi maana yake unapinga serikali isikusanye mapato kwa ajiri ya mishahara ya watumishi, malipo ya huduma mbali mbali kwa wananchi maskini ikiwemo pension kwa wazee.

Mimi naishauri serikali kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa tozo na kodi ili iweze kupokelewa vyema na wananchi woote na yule atakayw rudisha nyuma harakati hizi basi achukuliwe hatua stahiki.

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kazi iendeleee
Unaelewa double taxation ni nini?

Unaelewa ubaya wake katika uchumi?
 
Tatizo la nchi yetu, tunaiga mifumo ya ukusanyaji kodi wa nchi zilizoendelea.
Zenye viwanda na miundombinu rafiki kwa wananchi walio wengi kama si wote.
Sasa huku kwetu badoo. Wananchi wengi tunaganga njaa. Wenye hali nzuri kiuchumi ni wachanche na wananyonya wenzao. Hakuna uwiano kati ya wenye nacho na wasio nacho.

Angalau asilimia kubwa ya watanzania wangekuwa na nyumba bora, uhakika wa kula. Hapo hata tozo inatolewa bila shuruti.

Sasa mtu hata hela ya kula anawaza ataipata wapi, bidhaa bei ghali.

Na viongozi wanaujua ukweli wa maisha halisi ya watanzania, ila hawana roho ya utu na huruma. Ama sivyo wangepunguza misafara na ziara za ndani na nje ya nchi zisizo na tija!
Viongozi wengi tu kwa sasa wako nje ya nchi kiofisi/ziara/mikutano.

Kiukweli kwa hili la kuzidi kuwakamua maskini, nasema hivi: RIP JPM, mtetezi wa wanyonge. Kweli tutakukumbuka!
 
Mikono yenyewe ipo ya Kushoto na Kulia sembuse mtazamo wa kufikiri na kuona Mambo unataka ifanane?

Let's think and argue differently brother.
 
Nashauri tozo hizi ziendelee mpaka 2025 ili tuone tija yake. Ni uamuzi mzuri sana wa serikali
 
JPM aliwezaje kuendesha Nchi na kuanzisha miradi mikubwa hiyo bila tozo?
Muda mwingine Watanzania tuwe na akili.
Haupiti mwezi Bibie hajasafiri kwenda kupiga magoti ili kupata mikopo, sasa hizo fedha zinakwenda wapi?
 
Wapenzi wa bedui fulani lilokufa miaka kadhaa iliyopita wamemiss miguvu,kufokafoka na kutukana wananchi bila sababu.
Ndio maana kila kukicha wanalazimisha aliyepo awe kama yule bedui ambaye waliamini ni mungu mtu.
 
Nyakati kama hiziz kujikwamua kiuchumi kwa maendeleo ya taifa ni muhimu sana kwa kila mwananchi kuunga mkono juhudi hizi zinazochukuliwa na Mh Rais Samia na serikali yake.

Hivyo natoa wito kwa kila mwananchi mzalendo kuunga mkono juhudi hizi za kujikomboa kama taifa dhidi ya mgogoro wa kiuchumi unaoliandama sio tu afrika bali dunia nzima kutokana na majanga ya Uviko-19 na vita ya Urusi huko Ukraine.

Mtu anayepinga Tozo na Kodi maana yake anapinga Serikali isijenge vituo vya afya na kuboresha huduma za Mama na watoto.

Mtu anayepinga tozo na kodi maana yake anapinga serikali isijenge miundo mbinu ya barabara madaraja na majengo.

Ukipinga tozo na kodi maana yake unapinga serikali isikusanye mapato kwa ajiri ya mishahara ya watumishi, malipo ya huduma mbali mbali kwa wananchi maskini ikiwemo pension kwa wazee.

Mimi naishauri serikali kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa tozo na kodi ili iweze kupokelewa vyema na wananchi woote na yule atakayw rudisha nyuma harakati hizi basi achukuliwe hatua stahiki.

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kazi iendeleee
Ingekua vizuri kama ungeshauri wanaobainika kufuja mali za umma na mafisadi wafilisiwe mali zao ingekua vizuri zaidi. Kuliko kupambania kulipa tozo alafu wakazifaidi wachache.
 
Hawalipi kutoka na previleges walizopewa kwa mujibu wa katiba na sheria za Nchi.
Uongozi ni mfano, kwanini hawakuwekwa wawe mfano kwenye kila jambo jema la kizalendo?

Kuondolewa kwenye kodi na tozo zingine maana yake sio wazalendo bali wanadanganya umma.
 
Kamua tu hadi watoe damu. Kamshahara kamepitia bank unataka kumtumia kijana ada ya shule. Unatoa ada bank TOZO,unaweka kwenye simu unatuma TOZO, anatoa kwa agent TOZO-je tutafika?
 
Tatizo rasilimali zipo nying hazisimamiw ipasavyo kukusanya kod kwa faida ya taifa Bali mwananchi ndiy anabeba mzigo wote wa tozo hali yakua Kuna inflation kubwa ya bidhaa,lakin pia hakuna usimamiz mzr wa fedha zitolewazo kweny mirad mbali mbali Kuna inch wanahitaji hat wangekua n bandari mija to kuisimamia ipasavyo kwa manufaa ya taifa,tunapotoka tuna pajua lakin tunakoenda hatupajui Kwan giza linatanda na usingizi hakuna....
TANZANIA WE ARE POOR BECAUSE WE CHOOSE TO BE POOR.
 
Nyakati kama hiziz kujikwamua kiuchumi kwa maendeleo ya taifa ni muhimu sana kwa kila mwananchi kuunga mkono juhudi hizi zinazochukuliwa na Mh Rais Samia na serikali yake.

Hivyo natoa wito kwa kila mwananchi mzalendo kuunga mkono juhudi hizi za kujikomboa kama taifa dhidi ya mgogoro wa kiuchumi unaoliandama sio tu afrika bali dunia nzima kutokana na majanga ya Uviko-19 na vita ya Urusi huko Ukraine.

Mtu anayepinga Tozo na Kodi maana yake anapinga Serikali isijenge vituo vya afya na kuboresha huduma za Mama na watoto.

Mtu anayepinga tozo na kodi maana yake anapinga serikali isijenge miundo mbinu ya barabara madaraja na majengo.

Ukipinga tozo na kodi maana yake unapinga serikali isikusanye mapato kwa ajiri ya mishahara ya watumishi, malipo ya huduma mbali mbali kwa wananchi maskini ikiwemo pension kwa wazee.

Mimi naishauri serikali kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa tozo na kodi ili iweze kupokelewa vyema na wananchi woote na yule atakayw rudisha nyuma harakati hizi basi achukuliwe hatua stahiki.

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kazi iendeleee
Nchi yetu huru hivyo usitutishe,tunao uhuru Kwa mujibu wa sheria kuongea na kutoa maoni na mawazo yetu,pia tunaamini katika utawala wa sheria na SII wamabavu.
 
Nyakati kama hiziz kujikwamua kiuchumi kwa maendeleo ya taifa ni muhimu sana kwa kila mwananchi kuunga mkono juhudi hizi zinazochukuliwa na Mh Rais Samia na serikali yake.

Hivyo natoa wito kwa kila mwananchi mzalendo kuunga mkono juhudi hizi za kujikomboa kama taifa dhidi ya mgogoro wa kiuchumi unaoliandama sio tu afrika bali dunia nzima kutokana na majanga ya Uviko-19 na vita ya Urusi huko Ukraine.

Mtu anayepinga Tozo na Kodi maana yake anapinga Serikali isijenge vituo vya afya na kuboresha huduma za Mama na watoto.

Mtu anayepinga tozo na kodi maana yake anapinga serikali isijenge miundo mbinu ya barabara madaraja na majengo.

Ukipinga tozo na kodi maana yake unapinga serikali isikusanye mapato kwa ajiri ya mishahara ya watumishi, malipo ya huduma mbali mbali kwa wananchi maskini ikiwemo pension kwa wazee.

Mimi naishauri serikali kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa tozo na kodi ili iweze kupokelewa vyema na wananchi woote na yule atakayw rudisha nyuma harakati hizi basi achukuliwe hatua stahiki.

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kazi iendeleee

Umesahau hii:

"Unapopinga Tozo unawakosesha usingizi walamba asali jambo ambalo halikubaliki."

Kwani utakuwa unataka walambe nini sasa?
 
UJINGA ,MARADHI NA UMASKINI BADO NI TATIZO.KAMA UNGEWEZA KUNAMBIA VAT NA TOZO NANI ANACHUKUA KWENYE MUAMALA NA UKANAMBIA MAANA YA DOUBLE TAXATION NINGEUNGA MKONO HOJA.
 
Nyakati kama hiziz kujikwamua kiuchumi kwa maendeleo ya taifa ni muhimu sana kwa kila mwananchi kuunga mkono juhudi hizi zinazochukuliwa na Mh Rais Samia na serikali yake.

Hivyo natoa wito kwa kila mwananchi mzalendo kuunga mkono juhudi hizi za kujikomboa kama taifa dhidi ya mgogoro wa kiuchumi unaoliandama sio tu afrika bali dunia nzima kutokana na majanga ya Uviko-19 na vita ya Urusi huko Ukraine.

Mtu anayepinga Tozo na Kodi maana yake anapinga Serikali isijenge vituo vya afya na kuboresha huduma za Mama na watoto.

Mtu anayepinga tozo na kodi maana yake anapinga serikali isijenge miundo mbinu ya barabara madaraja na majengo.

Ukipinga tozo na kodi maana yake unapinga serikali isikusanye mapato kwa ajiri ya mishahara ya watumishi, malipo ya huduma mbali mbali kwa wananchi maskini ikiwemo pension kwa wazee.

Mimi naishauri serikali kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa tozo na kodi ili iweze kupokelewa vyema na wananchi woote na yule atakayw rudisha nyuma harakati hizi basi achukuliwe hatua stahiki.

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kazi iendeleee
Tatizo ni wenye nyumba, watakubali kupokea kiasi kinachobaki baada ya kulipa tozo?

Mimi nafikiri, Serikali iwe serious kidogo, kabla ya kuanzisha hizi tozo na kuzizindua waweke mazingira mazuri kwa mlaji wa mwisho.

Leo hii unataka 10% ya pango, mwenye nyumba nae anasema nataka unipe kodi yangu kama ilivyo bila kukatwa TRA utajuana nao wewe, au anaongeza kidogo badala ya sh 200 anapangisha kwa 250, hivi hapa nani anateseka?

DHIBITI BEI YA KUPANGISHA NYUMBA KWANZA. Kama haiwezekani tuondolee huu mzigo.
 
Back
Top Bottom