Ushauri kwa Serikali na Huduma za Jamii Tanzania

Kwahiyo unashauri kifanyike nini hapo Tanesco?

Unaweza kutupa tukio moja la namna ulivyoelekeza ili tuhamishie post kwenye uzi wa Tanesco watupe majibu?

Maana kuja na tuhuma na wao wana uzi wao humu watakwambia tupe tukio.
 
Kwahiyo unashauri kifanyike nini hapo Tanesco?

Unaweza kutupa tukio moja la namna ulivyoelekeza ili tuhamishie post kwenye uzi wa Tanesco watupe majibu?

Maana kuja na tuhuma na wao wana uzi wao humu watakwambia tupe tukio.

Uzi wako umesema "huduma zote za jamii"... nami ndipo nikakupa huo mfano halisi upande wa Tanesco.

Ama Uzi wako huu unaexclude Tanesco kwavile wana uzi humu jf?

-Kaveli-
 
Mfano mwingine ni kwenye hospital... wananchi mbona wanalipia huduma na bado kuhudumiwa hadi utoe chochote kitu kwa dokta au nesi ndipo mgonjwa achangamkiwe?!

Uzi wako huu ni just nonsense.

-Kaveli-
 
Umeongelea upande wa wananchi.

Viongozi je?

Mimi napendekeza viongozi wa serikali wapunguziwe posho na serikali ipunguze matumizi yasiyo na tija.

Mfano majuzi hapa wake wa wastaafu wanadai mafao je kuna haja gani ya kuwapa hawa watu mafao wakati wanahudumiwa chakula, malazi, matibabu ya ndani na nje ya nchi, usafiri, na ulinzi saa 24.

Hata viongozi wastaafu kama rais anapostaafu waache kumlipa 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakani , hii ni kwanini?

Sababu ni kuwa rais mstaafu anapewa gari mpya bure , mafuta bure, walinzi , malazi , chakula, matibabu ya ndani na nje ya nchi, nyumba mpya yenye kila kitu anachosubiri yeye ni kuingia tu achilia mbali marupurupu ya kazi zingine ziada mfano leo hii Mzee Mwinyi licha ya kustaafu ni chancellor wa chuo cha Muhimbili na tusidanganyane hiki ni cheo cha bure bure lazima analipwa , je hatuna young brains za kushika nafasi hizi hadi wastaafu watafutiwe nafasi kama kansela, wenyeviti wa bodi mbalimbali na ubalozi?
 
Uzi wako umesema "huduma zote za jamii"... nami ndipo nikakupa huo mfano halisi upande wa Tanesco.

Ama Uzi wako huu unaexclude Tanesco kwavile wana uzi humu jf?

-Kaveli-
Tanesco tayari ni huduma ya kulipia na kama hujapewa huduma na umeilipia una haki ya kuwashitaki, unakuwa umeshaingia nao biashara.

Tanesco siyo huduma ya msaada kwako au kusaidiwa, tanesco ni biashara baina ya mteja na mtoa huduma.

Nakushauri kama wanakupiga dandana tafuta wakili yeyote ukapige pesa za TANESCO, kwanza wanasheria wao mkifika mahakamani wao wenyewe wanakupa mchongo wa vipi mtengeneze pesa vizurui.

Hayo ni kwa taasisi zote za huduma za kulipia serikalini. Wakikupa shida, funguwa kesi ya madai tu, wala huna haja ya wakili mzuri, wakili yeyote tu anaweza.
 
Mfano mwingine ni kwenye hospital... wananchi mbona wanalipia huduma na bado kuhudumiwa hadi utoe chochote kitu kwa dokta au nesi ndipo mgonjwa achangamkiwe?!

Uzi wako huu ni just nonsense.

-Kaveli-
"nonsense" halafu upo unachangia mada?

Basi wewe umeuzidi uzi kwa u nonsense.
 
Yaan kama Polisi naona wakate na leseni kabisa ni biashara wanafanya ukiwa na shida hupati msaada Hadi uwe na pesa
 
Vichekesho vingine bana, yaani mshindwe kusikilizana humo kwenye vikao vyenu ndio waje wakusikilizie humu jf?!

Iwapo rais anapatikana kwa rushwa na chaguzi za kihayawani, itakuwa unapoteza muda wako kushauri njia za upambanaji wa rushwa. Siku chaguzi za nchi hii zitaanza kuheshimiwa ndio tunaweza kupambana na rushwa. Ifahamike rushwa nchi hii inaanzia kwenye ofisi ya rais kushuka huku chini.
 

Unaongea pumba tu za kisiasa.

-Kaveli-
 
Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Unaweza kuwasilisha kupitia e-mrejesho (e-Mrejesho) ila kupata majibu/mrejesho wa suala lako inaweza kuwa changamoto kwa sababu taasisi nyingi za serikali bado zinafanya kazi ki mazoea, na ukizingatia tupo zama za kula kwa urefu wa kamba baaasi unaweza usijibiwe kabisa. e-Mrejesho
 
Serikali yenu ya CCM ndio haina ubunifu. Walinunua magari mengi Sana ya polisi Yale ya maji washawasha wakasahau kununua magari ya Zima Moto na ambulance. Wenyewe mmeona biashara zenu zilivyoteketea Kariakoo kwa sababu mlichagua kununua magari yakukabiliana na raia badala ya kuokoa Mali zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…