Ushauri kwa Serikali na Huduma za Jamii Tanzania

Ushauri kwa Serikali na Huduma za Jamii Tanzania

Binafsi ni mwana CCM kindakindaki tokea ilipobuniwa 1977, kabla ya hapo nilikuwa TANU Youth League.

Ingawa ni mwana CCM lakini si kila jambo la serikali linaniridhisha, kuna ambayo tukipata nafasi tunayafikisha vikaoni lakini hivi sasa imekuwa ngumu sana kufikisha ujumbe kwenye ngazi za maamuzi, sifahamu kwanini wakati sasa hivi tunaishi kwenye dunia inayopitia kwenye miongo ya mawasiliano habari (IT).

Kwanza naishauri CCM iboreshe namna ya kuwasiliana na ngazi za uongozi; pili naishauri serikali kuu, mawaziri wote mpaka Rais wa Tanzania waige mfumo wa Zanzibar wa "sema na Rais".

Kwa kukosa njia za kufikisha ujumbe kwa haraka nimeona bora ushauri wangu niutoe hapa JF, nafahamu utawafikia walengwa wote.

1) Nashauri huduma zinazotelewa bure na serikali ziwe za kulipia rasmi, kwa zote namaanisha zote. Kuanzia huduma zinazotolewa Polisi, iwe mtu ukitaka huduma yoyote ya kipolisi ulipie, kama siyo siku hiyo hiyo basi uandikiwe una deni kwa kupewa huduma hiyo na utailipa kupitia control numbers.

Rushwa imezidi serikalini, kama haujaombwa waziwazi basi utazungushwa kupatiwa huduma mpaka utie akili utowe rushwa au atokee "kishoka" wa hapo akusomeshe utowe rushwa, ndipo huduma yako ishughulikiwe.

Kwa mambo kama hayo, iwekwe wazi tu, kuwa ukienda kushitaki Polisi unapewa control number unalipia unapewa huduma, na afisa ataekuhudumia atalipwa mgao wake hukohuko official kabisa.

Ili kupigana na rushwa, kama tumeshindwa kuweka sheria kali ni vyema tukaihalalisha tu malipo kwa kila huduma.

Au kama ilivyofanywa kwenye matibabu, iwekwe bima ya lazima kwa kila raia awe analipia hizo huduma, na pesa zitazotokana na hiyo bima waongezewe mishahara na posho watoa huduma badala ya kuzungusha watu ili wale rushwa serikalini. Hii ni kwa wizara na idara zote zinazotoa huduma za bure kwa jamii, ambako ndiko kunakonuka uozo wa rushwa.

Kauli za viongozi kama zile za "za polish ya viatu", "kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake" zimekuwa zikihalalisha rushwa kiaina, sasa iwe ni wazi kabisa ihalalishwe kwa kuzilipia hizo huduma.

Polisi, mahakama, uhamiaji, ardhi, huduma zote za bure za manispaa. Ongezea na wewe kwengine.

Tunataka tuwe ni wateja rasmi wenye kuweza kudai haki zetu tunaponyimwa huduma kwa wakati.
bado hujasema....na utasema.
 
Chama changu kinakusanya Kodi kutoka kwa wananchi?
Kama huna ujanja, kaa kimya. Kuna NGO kibao hazikusanyi kodi lakini zinafanyakazi nyingi sana kwa jamii. Hata watu binafsi wengi tu.

Ji chama zima linalopokea ruzuku hata mfano mdogo mnashindwa kuuonesha?
 
Chama changu kinakusanya Kodi kutoka kwa wananchi?
Kama huna ujanja, kaa kimya. Kuna NGO kibao hazikusanyi kodi lakini zinafanyakazi nyingi sana kwa jamii. Hata watu binafsi wengi tu.

Ji chama zima linalopokea ruzuku hata mfano mdogo mnashindwa kuuonesha?
 
Ni mawazo yako. Ila nakukumbusha tu kuwa hiyo siyo dawa ya kutibu Rushwa. Ni huduma ngapi watu wanalipia ila bado rushwa watu wanatoa? Shuleni, vyuoni, hospitalini.

Kupambana na rushwa ni kutangazi vita na watanzania wengi wanaoishi kwa rushwa. Lazima ujitoe muhanga.
 
Kuna V8 nimeiona Majaliwa anatumia,haloo hii nchi ililaaniwa,inakuaje nchi masikini yenye huduma duni za jamii viongozi wanatumia magari ya kifahari namna ile.
Majaliwa alikwenda Japan akapokewa na Toyota Crown ambazo ni official kwa viongozi wa Ikulu ya Japan; kwanini taifa linalotengeneza V8 viongozi wake hawatumii?jibu ni rahisi wanaepusha gharama Ili kuwahudumia raia wao!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Ujue mie nachoshangaa ni kwamba pamoja na kuwalipa mishahara minono na miposho hao viongozi pamoja na kugharamia maisha yao ya kifahari kwa kodi zetu ila bado wanafanya ufisadi na ufanisi wao wa kazi ni mbovu, sasa sijaelewa kilikusudiwa nini kwa kufanya viongozi walipwe mishahara mikubwa na bado wakapewa huduma zote muhimu bure?
 
Binafsi ni mwana CCM kindakindaki tokea ilipobuniwa 1977, kabla ya hapo nilikuwa TANU Youth League.

Ingawa ni mwana CCM lakini si kila jambo la serikali linaniridhisha, kuna ambayo tukipata nafasi tunayafikisha vikaoni lakini hivi sasa imekuwa ngumu sana kufikisha ujumbe kwenye ngazi za maamuzi, sifahamu kwanini wakati sasa hivi tunaishi kwenye dunia inayopitia kwenye miongo ya mawasiliano habari (IT).

Kwanza naishauri CCM iboreshe namna ya kuwasiliana na ngazi za uongozi; pili naishauri serikali kuu, mawaziri wote mpaka Rais wa Tanzania waige mfumo wa Zanzibar wa "sema na Rais".

Kwa kukosa njia za kufikisha ujumbe kwa haraka nimeona bora ushauri wangu niutoe hapa JF, nafahamu utawafikia walengwa wote.

1) Nashauri huduma zinazotelewa bure na serikali ziwe za kulipia rasmi, kwa zote namaanisha zote. Kuanzia huduma zinazotolewa Polisi, iwe mtu ukitaka huduma yoyote ya kipolisi ulipie, kama siyo siku hiyo hiyo basi uandikiwe una deni kwa kupewa huduma hiyo na utailipa kupitia control numbers.

Rushwa imezidi serikalini, kama haujaombwa waziwazi basi utazungushwa kupatiwa huduma mpaka utie akili utowe rushwa au atokee "kishoka" wa hapo akusomeshe utowe rushwa, ndipo huduma yako ishughulikiwe.

Kwa mambo kama hayo, iwekwe wazi tu, kuwa ukienda kushitaki Polisi unapewa control number unalipia unapewa huduma, na afisa ataekuhudumia atalipwa mgao wake hukohuko official kabisa.

Ili kupigana na rushwa, kama tumeshindwa kuweka sheria kali ni vyema tukaihalalisha tu malipo kwa kila huduma.

Au kama ilivyofanywa kwenye matibabu, iwekwe bima ya lazima kwa kila raia awe analipia hizo huduma, na pesa zitazotokana na hiyo bima waongezewe mishahara na posho watoa huduma badala ya kuzungusha watu ili wale rushwa serikalini. Hii ni kwa wizara na idara zote zinazotoa huduma za bure kwa jamii, ambako ndiko kunakonuka uozo wa rushwa.

Kauli za viongozi kama zile za "za polish ya viatu", "kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake" zimekuwa zikihalalisha rushwa kiaina, sasa iwe ni wazi kabisa ihalalishwe kwa kuzilipia hizo huduma.

Polisi, mahakama, uhamiaji, ardhi, huduma zote za bure za manispaa. Ongezea na wewe kwengine.

Tunataka tuwe ni wateja rasmi wenye kuweza kudai haki zetu tunaponyimwa huduma kwa wakati.
Umenena kwa Hekima Sana yaani kuliko kuzubaishwa Bora ulipie tu
 
Binafsi ni mwana CCM kindakindaki tokea ilipobuniwa 1977, kabla ya hapo nilikuwa TANU Youth League.

Ingawa ni mwana CCM lakini si kila jambo la serikali linaniridhisha, kuna ambayo tukipata nafasi tunayafikisha vikaoni lakini hivi sasa imekuwa ngumu sana kufikisha ujumbe kwenye ngazi za maamuzi, sifahamu kwanini wakati sasa hivi tunaishi kwenye dunia inayopitia kwenye miongo ya mawasiliano habari (IT).

Kwanza naishauri CCM iboreshe namna ya kuwasiliana na ngazi za uongozi; pili naishauri serikali kuu, mawaziri wote mpaka Rais wa Tanzania waige mfumo wa Zanzibar wa "sema na Rais".

Kwa kukosa njia za kufikisha ujumbe kwa haraka nimeona bora ushauri wangu niutoe hapa JF, nafahamu utawafikia walengwa wote.

1) Nashauri huduma zinazotelewa bure na serikali ziwe za kulipia rasmi, kwa zote namaanisha zote. Kuanzia huduma zinazotolewa Polisi, iwe mtu ukitaka huduma yoyote ya kipolisi ulipie, kama siyo siku hiyo hiyo basi uandikiwe una deni kwa kupewa huduma hiyo na utailipa kupitia control numbers.

Rushwa imezidi serikalini, kama haujaombwa waziwazi basi utazungushwa kupatiwa huduma mpaka utie akili utowe rushwa au atokee "kishoka" wa hapo akusomeshe utowe rushwa, ndipo huduma yako ishughulikiwe.

Kwa mambo kama hayo, iwekwe wazi tu, kuwa ukienda kushitaki Polisi unapewa control number unalipia unapewa huduma, na afisa ataekuhudumia atalipwa mgao wake hukohuko official kabisa.

Ili kupigana na rushwa, kama tumeshindwa kuweka sheria kali ni vyema tukaihalalisha tu malipo kwa kila huduma.

Au kama ilivyofanywa kwenye matibabu, iwekwe bima ya lazima kwa kila raia awe analipia hizo huduma, na pesa zitazotokana na hiyo bima waongezewe mishahara na posho watoa huduma badala ya kuzungusha watu ili wale rushwa serikalini. Hii ni kwa wizara na idara zote zinazotoa huduma za bure kwa jamii, ambako ndiko kunakonuka uozo wa rushwa.

Kauli za viongozi kama zile za "za polish ya viatu", "kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake" zimekuwa zikihalalisha rushwa kiaina, sasa iwe ni wazi kabisa ihalalishwe kwa kuzilipia hizo huduma.

Polisi, mahakama, uhamiaji, ardhi, huduma zote za bure za manispaa. Ongezea na wewe kwengine.

Tunataka tuwe ni wateja rasmi wenye kuweza kudai haki zetu tunaponyimwa huduma kwa wakati.
CCM ni adui wa taifa hili
 
Binafsi ni mwana CCM kindakindaki tokea ilipobuniwa 1977, kabla ya hapo nilikuwa TANU Youth League.
Hongera sana dada yangu, na nakuomba unisamehe sana pale ninapokutukanaga kuwa una mdomo mchafu kila unapomsemaga vibaya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kwa lile neno lako lile!. Nimekuomba msamaha kwasababu kwa hesabu hizo kwa vile wewe umeingia CCM mwaka 1977, mimi nimeingia CCM mwaka 1987, hivyo umenipita miaka zaidi ya 10, na hivi sasa mimi naelekea miaka 60, inamaana wewe you are over 70!, sio vizuri kumtukana mtu aliyekuzidi umri hata kama amekosea!, nakuomba dada yangu FaizaFoxy , jitahidi uwe kama Alamaa, Mkuu Maalim Mohamed Said , hata atukanwe vipi kwenye minakasha yake, kamwe huwezi kumsikia akijibu kwa lugha ya machukizo, ni mtu anayetumia lugha ya staha wakati wote, ili tuufaidi ukubwa dawa wako badilika dada yangu, ila yale mambo mengine ya kwangu ya moyoni kukuhusu wewe, japo you might be over 70!, yale yako pale pale!, kwangu kwenye yale, age ain't nothing but a number!.
Ingawa ni mwana CCM lakini si kila jambo la serikali linaniridhisha, kuna ambayo tukipata nafasi tunayafikisha vikaoni lakini hivi sasa imekuwa ngumu sana kufikisha ujumbe kwenye ngazi za maamuzi, sifahamu kwanini wakati sasa hivi tunaishi kwenye dunia inayopitia kwenye miongo ya mawasiliano habari (IT).
Naunga mkono, ni ngumu kuzifikisha kero zetu kwenye vikao, kwasababu huku ngazi za chini, vikao statutory havifanyiki, mpaka wakati wa uchaguzi, na hata ukifikisha hazifikishwi juu kwenye ngazi za maamuzi, namna nzuri pekee ya kuzifikisha hoja zako kwenye ngazi ya maamuzi ni kujaza fomu kugombea uongozi wa nafasi yoyote ya Kitaifa, kwenye hiyo fomu unamwaga dukuduku lako lote, wakati wa vikao, kukujadili wataziana na kuzipeleka mbele.
Kwanza naishauri CCM iboreshe namna ya kuwasiliana na ngazi za uongozi; pili naishauri serikali kuu, mawaziri wote mpaka Rais wa Tanzania waige mfumo wa Zanzibar wa "sema na Rais".

Kwa kukosa njia za kufikisha ujumbe kwa haraka nimeona bora ushauri wangu niutoe hapa JF, nafahamu utawafikia walengwa wote.
Nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%.
1) Nashauri huduma zinazotelewa bure na serikali ziwe za kulipia rasmi, kwa zote namaanisha zote. Kuanzia huduma zinazotolewa Polisi, iwe mtu ukitaka huduma yoyote ya kipolisi ulipie, kama siyo siku hiyo hiyo basi uandikiwe una deni kwa kupewa huduma hiyo na utailipa kupitia control numbers.
Naunga mkono hoja, kila kitu kilipiwe just a token money!. Juzi kati nimeenda Hospital moja ya wilaya kuanza mchakato wa kupima DNA, nikaelekezwa lazima wote watatu tuandikishwe, nikapewa control number kulipia 10,000 each, x 3= 30 tumeingia kwa Daktari we hardly spent two minutes akatupa referral ya Muhimbili, kufika kule unaanza upya, unalipa upya unamuona Daktari Specialist 50,000 x3 = 150,000, analetewa watu wa social, kisha unakuwa referred kwa Mkemia Mkuu, unaanza upya kuandikisha upya kule ni 100,000 x 3=300,000 + 100,000 ya wakili!, jumla kuu ni 580,000!. Watanzania wangapi wana uwezo huu?.
Rushwa imezidi serikalini, kama haujaombwa waziwazi basi utazungushwa kupatiwa huduma mpaka utie akili utowe rushwa au atokee "kishoka" wa hapo akusomeshe utowe rushwa, ndipo huduma yako ishughulikiwe.


Kwa mambo kama hayo, iwekwe wazi tu, kuwa ukienda kushitaki Polisi unapewa control number unalipia unapewa huduma, na afisa ataekuhudumia atalipwa mgao wake hukohuko official kabisa.
Hili la kuhalalisha rushwa, nilitoa ushauri kwenye kikao cha CCM wilaya ya Kinondoni waruhusu rasmi takrima, na itangazwe wazi wazi mimi nikatangaza dau la milioni 10 kila kata.
Kauli za viongozi kama zile za "za polish ya viatu", "kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake" zimekuwa zikihalalisha rushwa kiaina, sasa iwe ni wazi kabisa ihalalishwe kwa kuzilipia hizo huduma.
Naunga mkono hoja
Polisi, mahakama, uhamiaji, ardhi, huduma zote za bure za manispaa. Ongezea na wewe kwengine.

Tunataka tuwe ni wateja rasmi wenye kuweza kudai haki zetu tunaponyimwa huduma kwa wakati.
Naunga mkono hoja
P
 
KWANINI KIPINDI HIKI CHA MAMA RUSHWA IMEZIDI NA UZEMBE KAZINI KULIKO KIPINDI CHA MAGUFULI? huduma zilipiwe hasa ya kipolisi.polisi ofisi za serikal za vijiji na mtaa ndyo maeneo yanayoongoza kwa rushwa.hata na hvyo bila uongoz imara hata km unalipia huduma mambo bdo n yaleyale
Mama aliruhusu watu wale kwa urefu wa kamba zao kwa "Mbongo" hiyo ni rukhsa.
 
KWANINI KIPINDI HIKI CHA MAMA RUSHWA IMEZIDI NA UZEMBE KAZINI KULIKO KIPINDI CHA MAGUFULI? huduma zilipiwe hasa ya kipolisi.polisi ofisi za serikal za vijiji na mtaa ndyo maeneo yanayoongoza kwa rushwa.hata na hvyo bila uongoz imara hata km unalipia huduma mambo bdo n yaleyale
Uongo mtupu,hakuna rushwa yoyote.ccm ni chama makini.na kinapinga rushwa waziwazi.kama kweli nenda takukuru
 
Hongera sana dada yangu, na nakuomba unisamehe sana pale ninapokutukanaga kuwa una mdomo mchafu kila unapomsemaga vibaya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kwa lile neno lako lile!. Nimekuomba msamaha kwasababu kwa hesabu hizo kwa vile wewe umeingia CCM mwaka 1977, mimi nimeingia CCM mwaka 1987, hivyo umenipita miaka zaidi ya 10, na hivi sasa mimi naelekea miaka 60, inamaana wewe you are over 70!, sio vizuri kumtukana mtu aliyekuzidi umri hata kama amekosea!, nakuomba dada yangu FaizaFoxy , jitahidi uwe kama Alamaa, Mkuu Maalim Mohamed Said , hata atukanwe vipi kwenye minakasha yake, kamwe huwezi kumsikia akijibu kwa lugha ya machukizo, ni mtu anayetumia lugha ya staha wakati wote, ili tuufaidi ukubwa dawa wako badilika dada yangu, ila yale mambo mengine ya kwangu ya moyoni kukuhusu wewe, japo you might be over 70!, yale yako pale pale!, kwangu kwenye yale, age ain't nothing but a number!.

Naunga mkono, ni ngumu kuzifikisha kero zetu kwenye vikao, kwasababu huku ngazi za chini, vikao statutory havifanyiki, mpaka wakati wa uchaguzi, na hata ukifikisha hazifikishwi juu kwenye ngazi za maamuzi, namna nzuri pekee ya kuzifikisha hoja zako kwenye ngazi ya maamuzi ni kujaza fomu kugombea uongozi wa nafasi yoyote ya Kitaifa, kwenye hiyo fomu unamwaga dukuduku lako lote, wakati wa vikao, kukujadili wataziana na kuzipeleka mbele.

Nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%.

Naunga mkono hoja, kila kitu kilipiwe just a token money!. Juzi kati nimeenda Hospital moja ya wilaya kuanza mchakato wa kupima DNA, nikaelekezwa lazima wote watatu tuandikishwe, nikapewa control number kulipia 10,000 each, x 3= 30 tumeingia kwa Daktari we hardly spent two minutes akatupa referral ya Muhimbili, kufika kule unaanza upya, unalipa upya unamuona Daktari Specialist 50,000 x3 = 150,000, analetewa watu wa social, kisha unakuwa referred kwa Mkemia Mkuu, unaanza upya kuandikisha upya kule ni 100,000 x 3=300,000 + 100,000 ya wakili!, jumla kuu ni 580,000!. Watanzania wangapi wana uwezo huu?.

Hili la kuhalalisha rushwa, nilitoa ushauri kwenye kikao cha CCM wilaya ya Kinondoni waruhusu rasmi takrima, na itangazwe wazi wazi mimi nikatangaza dau la milioni 10 kila kata.

Naunga mkono hoja

Naunga mkono hoja
P
Usijali, nimekuelewa. Ntafata falsafa ya mama Samia, ambayo nnauhakika 100% ni falsafa ya Kiislam.

Reconciliation, Resilience. Reform, Rebuilding.

Yameisha, tusameheane. No grudges.
 
Back
Top Bottom