Ushauri kwa Serikali na Huduma za Jamii Tanzania

Ushauri kwa Serikali na Huduma za Jamii Tanzania

Serikali yenu ya CCM ndio haina ubunifu. Walinunua magari mengi Sana ya polisi Yale ya maji washawasha wakasahau kununua magari ya Zima Moto na ambulance. Wenyewe mmeona biashara zenu zilivyoteketea Kariakoo kwa sababu mlichagua kununua magari yakukabiliana na raia badala ya kuokoa Mali zao
Wewe usiye CCM chama chako kimefanya nini toka kianzishwe?
 
Ukawashitaki Kwa nani wakati walikwisha kuambiwa wale Kwa urefu wa kamba yao na mama yenu ? 😂😂
 
Rais mwenyewe akiwa ziarani huko mikoani hataki kusikiliza shida na malalamiko ya wananchi wake . Anaishia kusema malalamiko Wapelekewe wasaidizi wake . Yaani anakabidhi ng'ombe amlindie majani 😂😂😂
 
Binafsi ni mwana CCM kindakindaki tokea ilipobuniwa 1977, kabla ya hapo nilikuwa TANU Youth League.

Ingawa ni mwana CCM lakini si kila jambo la serikali linaniridhisha, kuna ambayo tukipata nafasi tunayafikisha vikaoni lakini hivi sasa imekuwa ngumu sana kufikisha ujumbe kwenye ngazi za maamuzi, sifahamu kwanini wakati sasa hivi tunaishi kwenye dunia inayopitia kwenye miongo ya mawasiliano habari (IT).

Kwanza naishauri CCM iboreshe namna ya kuwasiliana na ngazi za uongozi pili naishauri serikali kuu, mawaziri wote mpaka Rais wa Tanzania waige mfumo wa Zanzibar wa "sema na Rais".

Kwa kukosa njia za kufikisha ujumbe kwa haraka nimeona bora ushauri wangu niutowe hapa JF, nafahamu utawafikia walengwa wote.

1) Nashauri huduma zinazotelewa bure na serikali ziwe za kulipia rasmi, kwa zote namaanisha zote. Kuanzia huduma zinazotolewa Polisi, iwe mtu ukitaka huduma yoyote ya kipolisi ulipie, kama siyo siku hiyo hiyo basi uandikiwe una deni kwa kupewa huduma hiyo na utailipa kupitia control numbers.

Rushwa imezidi serikalini, kama haujaombwa waziwazi basi utazungushwa kupatiwa huduma mpaka utie akili utowe rushwa au atokee "kishoka" wa hapo akusomeshe utowe rushwa, ndipo huduma yako ishughulikiwe.

Kwa mambo kama hayo, iwekwe wazi tu, kuwa ukienda kushitaki polisi unapewa control number unalipia unapewa huduma, na afisa ataekuhudumia atalipwa mgao wake hukohuko official kabisa.

Ili kupigana na rushwa, kama tumeshindwa kuweka sheria kali ni vyema tukaihalalisha tu malipo kwa kila huduma.

Au kama ilivyofanywa kwenye matibabu, iwekwe bima ya lazima kwa kila raia awe analipia hizo huduma, na pesa zitazotokana na hiyo bima waongezewe mishara na posho watowa huduma badala ya kuzungusha watu ili wale rushwa serikalini. Hii ni kwa wizara na idara zote zinazotowa huduma za bure kwa jamii, ambako ndiko kunakonuka uozo wa rushwa.

Kauli za viongozi kama zile za "za polish ya viatu", "kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake" zimekuwa zikihalalisha rushwa kiaina, sasa iwe ni wazi kabisa ihalalishwe kwa kuzilipia hizo huduma.

Polisi, mahakama, uhamiaji, ardhi, huduma zote za bure za manispaa. Ongezea na wewe kwengine.

Tunataka tuwe ni wateja rasmi wenye kuweza kudai haki zetu tunaponyimwa huduma kwa wakati.
Akili imekukaa sawa sasa,mbona hayo madudu yakisemwa humu huwa unashupaza shingo kwa kutetea serikali.
Kwaiyo umekubali kuwa Samia kashindwa kuongoza nchi?[emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mfano mzuri ni jana kariakoo, moto uliotokea, hakuna huduma ya zima moto.

Sasa kwanini kujna vituo vya zimamoto kama hawana hata ubunifu wa kuwa na na malori kumi au kumi na tano ya maji wakati wote?

Au kuwa na ubunifu wa kuweka matank ya reserve -, mfano kariako ulipotokea moto karibia majumba yote yana visima vya maji.

Ubunifu unatushinda Watanzania, akili zetu zimelala sana, tunachowaza ni kulewa, ngoma, uasherati, kujionesha kwa watu na mambo ya kijingajinga tu.
CCM oyee![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado ujasema,na utasema tu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Umerumia akili gani hapo?

Kwa hiyo, kwa sababu rushwa imeshindikana kudhibitiwa na serikali yetu ya CCM, basi ihalalishwe kwa kulipia huduma ambazo kimsingi ni WAJIBU wa serikali.


Kwa nini usiishauri CCM isiibe kura na badala yake iwe ina concede kushindwa ikiwa kwa haki?


Umewaza ujinga
Mkuu unazunguka sana;sema Samia ajiuzulu maana ameshindwa kazi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi ni mwana CCM kindakindaki tokea ilipobuniwa 1977, kabla ya hapo nilikuwa TANU Youth League.

Ingawa ni mwana CCM lakini si kila jambo la serikali linaniridhisha, kuna ambayo tukipata nafasi tunayafikisha vikaoni lakini hivi sasa imekuwa ngumu sana kufikisha ujumbe kwenye ngazi za maamuzi, sifahamu kwanini wakati sasa hivi tunaishi kwenye dunia inayopitia kwenye miongo ya mawasiliano habari (IT).

Kwanza naishauri CCM iboreshe namna ya kuwasiliana na ngazi za uongozi pili naishauri serikali kuu, mawaziri wote mpaka Rais wa Tanzania waige mfumo wa Zanzibar wa "sema na Rais".

Kwa kukosa njia za kufikisha ujumbe kwa haraka nimeona bora ushauri wangu niutowe hapa JF, nafahamu utawafikia walengwa wote.

1) Nashauri huduma zinazotelewa bure na serikali ziwe za kulipia rasmi, kwa zote namaanisha zote. Kuanzia huduma zinazotolewa Polisi, iwe mtu ukitaka huduma yoyote ya kipolisi ulipie, kama siyo siku hiyo hiyo basi uandikiwe una deni kwa kupewa huduma hiyo na utailipa kupitia control numbers.

Rushwa imezidi serikalini, kama haujaombwa waziwazi basi utazungushwa kupatiwa huduma mpaka utie akili utowe rushwa au atokee "kishoka" wa hapo akusomeshe utowe rushwa, ndipo huduma yako ishughulikiwe.

Kwa mambo kama hayo, iwekwe wazi tu, kuwa ukienda kushitaki polisi unapewa control number unalipia unapewa huduma, na afisa ataekuhudumia atalipwa mgao wake hukohuko official kabisa.

Ili kupigana na rushwa, kama tumeshindwa kuweka sheria kali ni vyema tukaihalalisha tu malipo kwa kila huduma.

Au kama ilivyofanywa kwenye matibabu, iwekwe bima ya lazima kwa kila raia awe analipia hizo huduma, na pesa zitazotokana na hiyo bima waongezewe mishara na posho watowa huduma badala ya kuzungusha watu ili wale rushwa serikalini. Hii ni kwa wizara na idara zote zinazotowa huduma za bure kwa jamii, ambako ndiko kunakonuka uozo wa rushwa.

Kauli za viongozi kama zile za "za polish ya viatu", "kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake" zimekuwa zikihalalisha rushwa kiaina, sasa iwe ni wazi kabisa ihalalishwe kwa kuzilipia hizo huduma.

Polisi, mahakama, uhamiaji, ardhi, huduma zote za bure za manispaa. Ongezea na wewe kwengine.

Tunataka tuwe ni wateja rasmi wenye kuweza kudai haki zetu tunaponyimwa huduma kwa wakati.
Mi nilifikiri utatoa mapendekezo ya kunyonga wala RUSHWA. Kumbe unapendekeza RUSHWA ihalalishwe. We ni Bure kabisa
 
Suala la rushwa ni kwa serikali karibu zote za Afrika. Lazima tutibu kwanza mzizi wa tatizo.

Mishahara mingi ya wafanyakazi wa serikali ipo chini haikidhi uhalisia wa maisha.Hivyo wanajiongeza kwa kuomba rushwa.
Nadhani wadogo wanajiongeza kweli maana wakubwa huko siasani wanahomondola miposho kweli kweli !!
 
Tatizo la rushwa Tanzania linaanzia juu kushuka chini, utachukuaje rushwa kama boss wako siyo mla rushwa? Waziri kituo chake cha kazi kipo Dodoma analipwa perdiem 470,000 na yupo Dodoma(Bungeni) na wakati kuna VEO anadai nauli yake ya likizo 30,000 anazungushwa kila siku na ni halali yake, why asichukue rushwa kwa mnyonge wake ambaye ni mwananchi? Katibu Mkuu wa Wizara anajilipa per diem 250,000 siku 20 kuzunguka mikoani matokeo yake anaenda siku 3 anarudi ofisini hiyo siyo rushwa? mfumo wa kijinga uliopo umeletwa na CCM
Hatar sana. !
 
Umeongelea upande wa wananchi.

Viongozi je?

Mimi napendekeza viongozi wa serikali wapunguziwe posho na serikali ipunguze matumizi yasiyo na tija.

Mfano majuzi hapa wake wa wastaafu wanadai mafao je kuna haja gani ya kuwapa hawa watu mafao wakati wanahudumiwa chakula, malazi, matibabu ya ndani na nje ya nchi, usafiri, na ulinzi saa 24.

Hata viongozi wastaafu kama rais anapostaafu waache kumlipa 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakani , hii ni kwanini?

Sababu ni kuwa rais mstaafu anapewa gari mpya bure , mafuta bure, walinzi , malazi , chakula, matibabu ya ndani na nje ya nchi, nyumba mpya yenye kila kitu anachosubiri yeye ni kuingia tu achilia mbali marupurupu ya kazi zingine ziada mfano leo hii Mzee Mwinyi licha ya kustaafu ni chancellor wa chuo cha Muhimbili na tusidanganyane hiki ni cheo cha bure bure lazima analipwa , je hatuna young brains za kushika nafasi hizi hadi wastaafu watafutiwe nafasi kama kansela, wenyeviti wa bodi mbalimbali na ubalozi?
Kuna V8 nimeiona Majaliwa anatumia,haloo hii nchi ililaaniwa,inakuaje nchi masikini yenye huduma duni za jamii viongozi wanatumia magari ya kifahari namna ile.
Majaliwa alikwenda Japan akapokewa na Toyota Crown ambazo ni official kwa viongozi wa Ikulu ya Japan; kwanini taifa linalotengeneza V8 viongozi wake hawatumii?jibu ni rahisi wanaepusha gharama Ili kuwahudumia raia wao!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Akili imekukaa sawa sasa,mbona hayo madudu yakisemwa humu huwa unashupaza shingo kwa kutetea serikali.
Kwaiyo umekubali kuwa Samia kashindwa kuongoza nchi?[emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kitu unachoshindwa kuelewa wala sikushangai, nafahamu umejaa ujinga.

Nafahamu huu ujumbe kwa maono yako ni mzito sana kuuelewa.
 
Kuna V8 nimeiona Majaliwa anatumia,haloo hii nchi ililaaniwa,inakuaje nchi masikini yenye huduma duni za jamii viongozi wanatumia magari ya kifahari namna ile.
Majaliwa alikwenda Japan akapokewa na Toyota Crown ambazo ni official kwa viongozi wa Ikulu ya Japan; kwanini taifa linalotengeneza V8 viongozi wake hawatumii?jibu ni rahisi wanaepusha gharama Ili kuwahudumia raia wao!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
CCM ni laana tupu mkuu
 
Back
Top Bottom