Ushauri kwa Serikali: Nashauri Serikali iwanyang'anye passport za kusafiria wale wote waliotukana, kudhihaki na kumsema vibaya Rais wetu

Ushauri kwa Serikali: Nashauri Serikali iwanyang'anye passport za kusafiria wale wote waliotukana, kudhihaki na kumsema vibaya Rais wetu

Sihitaji kuteuliwa nafanya biashara zangu ili niipatie kodi nchi yangu. Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe. Fanyeni biashara acheni uvivu. Ukienda pale posta majengo yanapendeza eeeeee.

Yale majengo yamejenjwa na wafanya biashara. Ukizunguka hapa Dar unaona jiji linapendeza, eeeeee majengo mazuriiiiii. Hayo majengo yanapendeza kwasababu ya wafanya biashara Je wewe mchango wako ni upi hapa Tanzania?

Hii inahusiana vipi na mada yako?
 
Kumbuka passport sio kadi ya kliniki kusema kuwa watu wanapewa bure.
Passport zinanunuliwa kwa pesa 150K,JMT imedhamini raia wake kupitia passport.
Na hiyo serikali inayotukana viongozi wa upinzani na wananchi wenye kutofautiana nao kiwawazo yuwanyang'anye nini??
Nakushauri mleta mada weka jina lako halisi viti maalumu bado kuna nafasi za kumwaga.
Sipo kwaajili ya kuteuliwa. Jimbo langu lenyewe linanihitaji sana nigombee ubunge. Na nikigombea napita bila kupingwa.
 
Sawa, hebu twende taratibu. Nadhani kupinga kilicho kibaya kwenye ngazi ya kimataifa sio kosa na wala sio kudhalilisha. Inawezekana nafasi ya kukipinga mkiwa ndani ya Nchi haiwezekani tena, lazima utumie njia mbadala.

Sasa chukulia mfano mtu kama Tundu Lissu alivyonyanyaswa, amefunguliwa kesi za ajabu ajabu, za uchochezi wakataka na kumpima mkojo juu [emoji16]. Amepigwa risasi ndani ya makazi ya wabunge, waligoma kumtibu mpaka Bunge lipate ruhusa kutoka kwa Rais, polisi hawajafanya uchunguzi wanasema mpaka victim mwenyewe arudi nchini (maana nyingine ni kwamba angekufa kusingekuwa na uchunguzi), walizuia maombi kwaajili yake, wamekamata watu waliovaa Tshirt za "Pray for Lissu", wamezuia watu wasitoe damu hospitalini,,,haya yote amefanyiwa yeye unategemea akiwa huko nje atamuongelea vipi Raisi wa Nchi na vile yeye ndiye mhanga wa matendo ya Serikali??


Alafu chukulia mfano mwingine - unaongozwa na Serikali ambayo haifuati utawala wa sheria, watu wanabambikiziwa kesi za uongo, wenye mawazo mbadala wanaonewa na kunyanyaswa, watu wanawekwa mahabusu miaka zaidi ya saba kesi zao haziamuliwi (Masheikh), wafanyabiashara wananyanyaswa kwa kunyangwa mali zao (wa bureau de change Arusha) au kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi ili tu kukwapua mali zao kwa nguvu, wabunge wanafutwa uanachama alafu spika hawaondoi bungeni kama sheria inavyotamka wazi, chaguzi haziwi huru (mfano chaguzi za serikali za mitaa), alafu Serikali hiyo hiyo ikaondoa haki ya mtu binafsi au taasisi kuishitaki kwenye Mahakama ya Afrika (African Court on Human and Peoples' Rights). Unategemea watu watakimbilia wapi kuomba msaada?
Sasa huko wanakokimbilia huko ndiko ambako kunaharibu usalama wa taifa (National Security) so for the interests of our nation ili wasije wakatuharibia zaidi dawa nikunyang'anya passport ili wasisafiri kwenda huko.

Nazani unakumbumbuku kukamatwa kwa ndege zetu, kuziiliwa kwa zile fedha kutoka benk ya dunia n. k. Zote hizi ndizo interests za taifa nazozilenga hapo
 
Kumbuka passport sio kadi ya kliniki kusema kuwa watu wanapewa bure.
Passport zinanunuliwa kwa pesa 150K,JMT imedhamini raia wake kupitia passport.
Na hiyo serikali inayotukana viongozi wa upinzani na wananchi wenye kutofautiana nao kiwawazo yuwanyang'anye nini??
Nakushauri mleta mada weka jina lako halisi viti maalumu bado kuna nafasi za kumwaga.
Tulia chanjo ikuingie wewe,
 
Huo mpango wa kumnyan'ganya Lisu paspoti tayari upo, unajifanya kuweka hapa hii post hapa, ili ujifanye ww ndio uliyeshauri. Pumbavu kabisa.
Hahahaaaaaaa, mimi sijamsema Lisu hata wewe unanyang'anywe passport yako.
 
Sihitaji kuteuliwa nafanya biashara zangu ili niipatie kodi nchi yangu. Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe. Fanyeni biashara acheni uvivu. Ukienda pale posta majengo yanapendeza eeeeee.

Yale majengo yamejenjwa na wafanya biashara. Ukizunguka hapa Dar unaona jiji linapendeza, eeeeee majengo mazuriiiiii. Hayo majengo yanapendeza kwasababu ya wafanya biashara Je wewe mchango wako ni upi hapa Tanzania?

Inaonekana hujui hata kodi ni nini ww punga, kwa taarifa yako kila mtu nchi hii analipa kodi. Ukinunua bidhaa yoyote umelipa Kodi, ukipanda chombo chochote cha usafiri umelipa kodi, ukinunua voucher, luku nk tayari umelipa kodi. Lakini kwakuwa ww ni zoba fulani, unadhani ww peke yako ndio unalipa kodi kwa kuleta uzalendo uchwara. Hata wageni ambao hawana huo upuuzi unaouita uzalendo wanalipa kodi. Kenge mkubwa ww.
 
Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu.

Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi wale wanaoishi ughaibuni.

Hawa mabwana wamekuwa wakitukana, kudhihaki na kumdharau sana Rais wa nchi yetu na wamekuwa wakifanya hivyo kupitia mitandao ya kijamii.

Binafsi nimekuwa nikikerwa sana na hawa watu waliokosa hekima na hata chembe ya heshima na adabu ndani ya mioyo yao.

Pengine ni mihemuko ya kiasiasa walio nayo kutokana kujenga mifumo ya siasa za kishabiki ndani yao.

Mimi kama raia mwema na mzalendo wa kweli, nimekuwa nikiwaza kitu kwamba mbali na adhabu za kuwapeleka mahakamani naishauri serikali yangu iwaongezee na adhabu nyingine ya kuwanyang'nya passport zao za kusafiria kwasababu passport ni mali ya serikali kupitia taasisi yetu ya uhamiaji.

Hivyo nawaomba uhamiaji wawanyang'anye passport hizo kwasababu wemeshindwa kuzitumia kwa heshima na adabu.

Lakini pia nawashauri TCRA watafute vijana wabobezi kwenye fani ya mitandao ili wawafuatilie watu kama hawa popote walipo. Kwasababu haya mambo yanawezekana.

Mbali na kufuatilia wezi wanao tutapeli fedha kwenye mitandao, tafadhali TCRA isaidieni serikali kufuatilia taarifa za watu wanamna kama hiyo. Kama mmekosa vijana hao mnaweza kuomba ushauri kwenye kitengo cha mawasiliano nchini China wao wanafanyaje.

Ningependa swala la kunyang'nya passport lihusiane na watuhumiwa ambao wanaitukana Serikali wakiwa nje ya Tanzania. Pamoja na watuhumiwa ambao wanamtukana Rais wakiwa nje ya mipaka ya Tanzania.

Mfano mtuhumiwa anayewaita waandishi wa habari na kumtukana Rais pamoja na serikali ya Tanzania mbele ya waandishi wa habari hao nje ya mipaka ya Tanzania. Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Pili mtuhumiwa anaye kwenda kwenye kituo cha kurusha matangazo ya habari nje ya mipaka ya Tanzania na kuanza kulisimanga vibaya taifa letu pamoja na kumsimanga vibaya Rais wetu.
Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Kwa hivyo ili kumfunza adabu mtuhumiwa huyo inatakiwa anyang'anywe passport ili abaki ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi kuheshimu taifa lako akiwa nje ya mipaka ya taifa letu.

Mtuhumiwa mwengine ni yule ambaye anatukana viongozi kwa njia ya mtandao ila akiwa nje ya mipaka ya Tanzania. Anapata uhuru wa kufanya hivyo eti kwa vile yuko nje ya Tanzania.
Sasa huyu naye inatakiwa anyang'anywe passport ya serikali ili atulie ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi ya kuheshimu taifa letu.

Kama hujanielewa naomba urejee hii attachment
View attachment 1514597
Wenu katika ujenzi wa taifa,
Meneja wa Makampuni.
shida nchi hii haina Vita hivyo mnawashwawashwa kweli kufanya kwa vitendo,Yale mazoezi mnaona ndo wazalendo kweli nyinyi msiolipa Kodi siku ikikosekana pesa ya kuwapa posho,mishahara na mkapanda daladala kwa kulipa nauli mtaelewa wananchi wanachopigia kelele kila siku
 
Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.

Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu.

Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi wale wanaoishi ughaibuni.

Hawa mabwana wamekuwa wakitukana, kudhihaki na kumdharau sana Rais wa nchi yetu na wamekuwa wakifanya hivyo kupitia mitandao ya kijamii.

Binafsi nimekuwa nikikerwa sana na hawa watu waliokosa hekima na hata chembe ya heshima na adabu ndani ya mioyo yao.

Pengine ni mihemuko ya kiasiasa walio nayo kutokana kujenga mifumo ya siasa za kishabiki ndani yao.

Mimi kama raia mwema na mzalendo wa kweli, nimekuwa nikiwaza kitu kwamba mbali na adhabu za kuwapeleka mahakamani naishauri serikali yangu iwaongezee na adhabu nyingine ya kuwanyang'nya passport zao za kusafiria kwasababu passport ni mali ya serikali kupitia taasisi yetu ya uhamiaji.

Hivyo nawaomba uhamiaji wawanyang'anye passport hizo kwasababu wemeshindwa kuzitumia kwa heshima na adabu.

Lakini pia nawashauri TCRA watafute vijana wabobezi kwenye fani ya mitandao ili wawafuatilie watu kama hawa popote walipo. Kwasababu haya mambo yanawezekana.

Mbali na kufuatilia wezi wanao tutapeli fedha kwenye mitandao, tafadhali TCRA isaidieni serikali kufuatilia taarifa za watu wanamna kama hiyo. Kama mmekosa vijana hao mnaweza kuomba ushauri kwenye kitengo cha mawasiliano nchini China wao wanafanyaje.

Ningependa swala la kunyang'nya passport lihusiane na watuhumiwa ambao wanaitukana Serikali wakiwa nje ya Tanzania. Pamoja na watuhumiwa ambao wanamtukana Rais wakiwa nje ya mipaka ya Tanzania.

Mfano mtuhumiwa anayewaita waandishi wa habari na kumtukana Rais pamoja na serikali ya Tanzania mbele ya waandishi wa habari hao nje ya mipaka ya Tanzania. Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Pili mtuhumiwa anaye kwenda kwenye kituo cha kurusha matangazo ya habari nje ya mipaka ya Tanzania na kuanza kulisimanga vibaya taifa letu pamoja na kumsimanga vibaya Rais wetu.
Sasa kwa vile passport ambayo ni mali ya serikali ndio imempeleka huko na hiyo passport ni mali ya serikali, sio vibaya mtuhumiwa huyo akanyang'anywa hiyo passport.

Kwa hivyo ili kumfunza adabu mtuhumiwa huyo inatakiwa anyang'anywe passport ili abaki ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi kuheshimu taifa lako akiwa nje ya mipaka ya taifa letu.

Mtuhumiwa mwengine ni yule ambaye anatukana viongozi kwa njia ya mtandao ila akiwa nje ya mipaka ya Tanzania. Anapata uhuru wa kufanya hivyo eti kwa vile yuko nje ya Tanzania.
Sasa huyu naye inatakiwa anyang'anywe passport ya serikali ili atulie ndani ya mipaka yetu ajifunze jinsi ya kuheshimu taifa letu.

Kama hujanielewa naomba urejee hii attachment
View attachment 1514597
Wenu katika ujenzi wa taifa,
Meneja wa Makampuni.
Kazi ya Askari ni kutii maagizo ya wanasiasa kwa maslai ya mwanasiasa,thus ukawa huko.
Ulitakiwa uishi zama za Giza sio hizi.
Hizi Ni zama za hoja ujibiwa kwa hoja.
Mwanadamu yeyeto anapokwenda kinyume na taratibu zimpasazo ni wajibu kukumbushwa.
 
Mtoa mada ni mpuudhi na very narrow minded.
Kwanza unajua watanzania wangapi wanamiliki passport?
Kuna watanzania wengi tu wanamtukana au kumdhihaki jiwe mitandao na hawamiliki passport ukilinganisha na wanaomiliki passport.
Kutukana (insult) ni tusi kwa mujibu wa penal code na lina adhabu zake ikithibitika mahakamani,
Na adhabu sio kumnyanganya mtuhumiwa passport.
 
Back
Top Bottom